Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Wacha kumsingizia BWANA YESU mambo ya kijinga. YESU hakukusanya sadaka wala hakutembeza kapu la sadaka katika mikutano yake ya Injili. Kilichofanyika ni baadhi ya matajiri wachache walikuwa wanatoa pesa zao kwa hiari yao wenyewe.

Wanachokifanya sasa hivi hao wahuni akina Mwamposa na wengine kama yeye ni kuuza huduma ya Injili kwa kivuli cha "sadaka". Mbaya zaidi Injili yenyewe wanayoihubiri ni "injili ya uongo".

Wanachofanya ni kuchanganya mazingaombwe na mistari ya kwenye Biblia na kujifanya wao ni manabii wa MUNGU kumbe ni mawakala wa shetani.
Hayo mahubiri ya uongo Ni yapi aliyahubiri mwamposa

Acha upumbavu kuwasingizia watumishi wa mungu uongo ,uzushi bila shahidi zozote

Wee tulia sss tuende huko

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wacha kumsingizia BWANA YESU mambo ya kijinga. YESU hakukusanya sadaka wala hakutembeza kapu la sadaka katika mikutano yake ya Injili. Kilichofanyika ni baadhi ya matajiri wachache walikuwa wanatoa pesa zao kwa hiari yao wenyewe.

Wanachokifanya sasa hivi hao wahuni akina Mwamposa na wengine kama yeye ni kuuza huduma ya Injili kwa kivuli cha "sadaka". Mbaya zaidi Injili yenyewe wanayoihubiri ni "injili ya uongo".

Wanachofanya ni kuchanganya mazingaombwe na mistari ya kwenye Biblia na kujifanya wao ni manabii wa MUNGU kumbe ni mawakala wa shetani.
NAONGEZEA HAPO, ALIWAAMBIA WANAFUNZI WAKE "MSICHUKUE FEDHA YA MTU YEYOTE HUKO MUENDAKO(KUHUBIRI INJILI)".

ILA KUMUHUKUMU MTUMISHI WA MUNGU NAONA KAMA NI DHAMBI HIVI. REJEA KISA CHA MIRIAM NA HARUNI, WALIVYOADHIBIWA BAADA YA KUMSEMA MUSA.

TUWE MAKINI SANA NA VINYWA VYETU JUU YA HAWA WATUMISHI.
 
NAONGEZEA HAPO, ALIWAAMBIA WANAFUNZI WAKE "MSICHUKUE FEDHA YA MTU YEYOTE HUKO MUENDAKO(KUHUBIRI INJILI)".

ILA KUMUHUKUMU MTUMISHI WA MUNGU NAONA KAMA NI DHAMBI HIVI. REJEA KISA CHA MIRIAM NA HARUNI, WALIVYOADHIBIWA BAADA YA KUMSEMA MUSA.

TUWE MAKINI SANA NA VINYWA VYETU JUU YA HAWA WATUMISHI.
Nina uhakika na nilichokiandika. Huyo "Mwamposa" siyo mtumishi wa BABA MUNGU. Narudia tena kusema, "Mwamposa ni nabii wa uongo".

Kuhubiri kwa kulitaja jina la YESU, na kutumia vifungu vya Biblia na kufanya "mazingaombwe" siyo kigezo cha kuwa mtumishi wa MUNGU.

Dunia nzima imejaa manabii wa uongo, wakifundisha "udanganyifu" na kujitajirisha kwa sadaka na michango ya "wapumbavu".

UKRISTO unaohubiriwa na watu aina ya kina "Mwamposa" na makanisa makubwa kama Romani Katoliki, Lutheran church, nk wote hao na wengine ambao sijawataja wanahubiri "ukristo wa uongo".

Siku utakapoujua UKRISTO WA KWELI ni nini, hakika utapigwa na butwaa na utashangaa na kuogopa ni jinsi gani makanisa yanafundisha "udanganyifu" na kuuita "Ukristo".
 
Nina uhakika na nilichokiandika. Huyo "Mwamposa" siyo mtumishi wa BABA MUNGU. Narudia tena kusema, "Mwamposa ni nabii wa uongo".

Kuhubiri kwa kulitaja jina la YESU, na kutumia vifungu vya Biblia na kufanya "mazingaombwe" siyo kigezo cha kuwa mtumishi wa MUNGU.

Dunia nzima imejaa manabii wa uongo, wakifundisha "udanganyifu" na kujitajirisha kwa sadaka na michango ya "wapumbavu".

UKRISTO unaohubiriwa na watu aina ya kina "Mwamposa" na makanisa makubwa kama Romani Katoliki, Lutheran church, nk wote hao na wengine ambao sijawataja wanahubiri "ukristo wa uongo".

Siku utakapoujua UKRISTO WA KWELI ni nini, hakika utapigwa na butwaa na utashangaa na kuogopa ni jinsi gani makanisa yanafundisha "udanganyifu" na kuuita "Ukristo".
Ukristo wa kweli? Bado upo?
 
Ndiyo, bado upo na utakuwepo mpaka siku ile atakaporudi tena MWANA WA MUNGU.

Ni kanisa dogo sana linaloshika na kuitunza IMANI YA KWELI YA KRISTO pamoja na AMRI ZOTE ZA MUNGU.

Mkuu unataka kwenda mbinguni peke yako? Hebu tuvujishie siri, ni kanisa lipi hilo ili na sisi tuhamie huko?

Masuala ya imani ni magumu sana, inawezekana hivyo hivyo unavyoamini kwamba unachokiamini ni sahihi na mwingine ndivyo anavyoamini anachokiamini ni sahihi.

Kwa kifupi tunaowaona wamepotea na wao wanatuona tumepotea.

Usikute waliosababisha haya wamekaa kando wanatucheka.
 
Marehemu babu yangu alikuwa akiniambia mara kwa mara kuwa ni heri uamini kuwa Mungu yupo halafu usimkute hukumuni kuliko kuamini kuwa Mungu hayupo halafu ukamuona hukumuni.
 
Mkuu unataka kwenda mbinguni peke yako? Hebu tuvujishie siri, ni kanisa lipi hilo ili na sisi tuhamie huko?

Masuala ya imani ni magumu sana, inawezekana hivyo hivyo unavyoamini kwamba unachokiamini ni sahihi na mwingine ndivyo anavyoamini anachokiamini ni sahihi.

Kwa kifupi tunaowaona wamepotea na wao wanatuona tumepotea.

Usikute waliosababisha haya wamekaa kando wanatucheka.
Unakijua Kiingereza vizuri? Kama unakijua basi ingia hapa, CCOG - Continuing Church of God
Kuna mengi utajifunza ikiwa tu una nia ya dhati ya kuujua UKWELI.
 
Shida anawatupia mwenyewe na anaziondoa mwenyewe. Yule ni mjasiriamali pure.....anatengeneza tatizo halafu analiondoa.

Anawatupia mapepo mkiwa kanisani kwake halafu anayaondoa mwenyewe. Wajinga ndiyo waliwao
Acha uongo wewe, watu wanaponywa halafu acha wivu
 
Unafahamu kuwa hata shetani anaponya? Kwahiyo kufunguliwa kwa watu siyo hoja.

Je, wajua kwamba jina Yesu linatumikq hata ktk nguvu za giza? Kwahiyo kutajwa kwa jina la Yesu kisikuzubaishe.

Mwamposa mhuni Kama wahuni wengine. Umewahi kumshuhudia akishuka ama kupata gari lake? Kama bado tuulize sisi tuliyowahi kuwa waambata wake tukujuze. Unaibiwa wewe.
Tupe hints
 
Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka.

Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona


Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yake inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
Aiseeee
 
Mathayo 24:4 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
 
Hayo ni kweli lakini Yale SIO mafuta ya upako ni mafuta yanayotengenezwa kwa formula za kushirikina.
Na zinajukana . MTU yeyote anaweza kuyanunua Kwa maustadhi na yanafanya KAZI Kwa Hiyo SIO upako Wa Kikristo Bali ni mchanganyiko Wa mitishamba kama Dawa nyingine za kisuna. KUWADANGANYA watu Kuwa ni upako Wa Roho Wa MUNGU ni kupotosha na kumwandolea MUNGU sifa za Upekee.

Natamani kuwaambia ukweli Wakristo wenzangu mana wamepotoka sana. Uliona Mashekhena ubwabwa wameenda kumuunga mkono Nabii Mkuu . Ni Muislam Gani anayekubali Kuwa kuna Nabii mwingine baada ya Nabii Mohamad (SAW)? Wale ni wataalam Wa Dawa za Kisuna wanajua Kuwa zipo Dawa za Kisuna na za majini zinazotumiwa kutibu Kwa uwezo Wa Allah MTU akapona mana Kila kitu alikiumba yeye na akaumba Dawa za Kila Ugonjwa Katika miti aliyoiumba ?


Nikuulize Swali ?

Hiví Unaonaje kama Madaktari Wa Muhimbili wangesema Kuwa tunatibu Kwa Jina la Yesu ! Njooni Juma Pili mlete wagonjwa wenu WOTE waliovuniika miguu ,wenye matatizo ya macho tuna macho ya KIROHO,macho ya upako Yaani miwani. Wakati huo binadam wawe hawajapata elimu Juu ya sayansi rasmi ya tiba ? Je, watu wasingefurika Muhimbili nakujua Kuwa ni Imani ya Kikristo kutibu Kumbe ni sayansi ya Kigiriki na Kirumi ?

Kwa Sasa Imani zimegubikwa na Sayansi ya Kale ya MISRI .
Wayahudi wamegubikwa na Sayansi ya Kimisri ikiwemo Mussa Aliyekulia Kwa Faraoh kama Mtoto Wa Mfalme. Mussa alijua sayansi na ushirikina WOTE mana alikulia NDANI ya Ikulu ya Faraónh Lakini aliuacha akamwamini MUNGU Mmoja na Kupinga Imani za kishirikina . Waisraeli wengi walijua mbinu za wamisri za kishirikina lakini walikua wanaamrishwa waepukane nazo na wakawa wanatungiwa Sheria Kali sana kuachana nazo.
Musa alichelewa kurudi Toka mlimani Siku 40 tu Waisraeli wakaanza ibada za Sanamu Kwa kuchonga Sanamu ya Ng'ombe na kuiabudu.

MANABII WENGI WANATAMANI MIUJIZA LAKINI HAWATAIPEWA KAMWE NA MUNGU ANAACHA MAKUSUDI ILI KUWAJUA WATU WAKE HALISI. SASA WENGI WANAPOONA MUNGU ANACHELEWA KUJIBU MAOMBI YAO YA MIUJIZA WANAAMUA KUCHONGA SANAMU ZA NG'OMBE YAANI VITAMBAA ,MAFUTA ,KEKI, CHUMBI N.K. HIZI NI IBADA ZA WAMISRI. NA MPAKA LEO KULE MISRI KUNAVYUO VYA KICHAWI LAKINI KWA SABABU WANAFUNDISHA KWA KIARABU BASI WATU WANAJUA KUWA NI VYA KIDINI HIVYO KUNA WATU WENGI WANASOMEA KULE NA WANAJUA FOMRULA NYINGI ZA DAWA ZA KUONA ,KUFUGA NA KUTOA MAJINI. NDIZO WANAZOWAPA MANABII NA MAKRISTO WA UONGO WALIOCHOKA KUOMBEA KWA JINA LA YESU BILA MAFUTA NA KUONA KUWA WANATUMIA NGUVU KUBWA SANA KUOMBA NA HAKUNA MUUJUZA WALA NINI.
MAFUTA ni Ibada ya Sanamu.

YESU alimpaka MTU matope machoni kama Dawa lakini na kumwambia Kuwa Imani yake imemponya. Ile ilikuwa ni Dawa tu kama Panadol . Hakusema Kuwa ni matope ya upako.
Someni Vitabu .
Umemaliza Kila kitu
 
Kuna jamaa alipeleka simu yake ikaombewe baada ya hapo ilianza kuingiza milioni kumi kumi kila siku na namba inayotuma haifahamu .Jamaa kajenga kanunua usafiri, Akafanikiwa kuoa mzungu kabisa. Napicha akaonesha. Watu makofi na vigelegele
Hahahaha
 
Back
Top Bottom