marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
Sikulipend lile tukioUjute nini,walikushirikisha ukashauri...kwan kuachana kuna ajabu sikuhizi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikulipend lile tukioUjute nini,walikushirikisha ukashauri...kwan kuachana kuna ajabu sikuhizi mkuu?
Amuombe kijambio tu,kila maraMwachie ghetto sepa
mkishakuwa wawili hapo ni mambo yenu sio mambo yake.Usimuache, ila mambo yake muachie mwenyewe...
Jifanye una matatizo,huna pesa mpeleke kwao kwamba utamfuata.Kisha badilisha vitasa na asirudi Tena.Au kama umepanga,mwachie kila kitu kaanze mbele.wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton..akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nmtolee posa il kwao wajue nko nae..sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeur kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu..ko mnsaidie mbinu za kuachana nae ncje nkamtia kilema bure
Utakuwa unatuma pesa ya matunzo kwa simu.kwel asee asa huyu mtoto itakuaje
Umeanza hufukuzia Jimbo mdogo mdogoSamahani mie ni Mdada bado sijazeeka mkuu
HahahahaYaani umechakaza na umembiduabidua binti wa watu, ziwa limening’inia kama pazia ya mama ntilie ndio unataka umuache hapana sio sawa, ongea nae muelekeze sababu ni nini yawezekana wewe ndio sababu ya yeye kubadilika hasa kama ulimpa mwanga wa maisha na baadae ameishia kuona giza ni hatari sana
Kwa sasa mambo yake muachie mwenyewe, ujinga ni mambo yake mwenyewe...mkishakuwa wawili hapo ni mambo yenu sio mambo yake.
Mwanamke ukimuhidi usafiri ukiwa bado ndio Giza lenyewe. Maana haelewiYaani umechakaza na umembiduabidua binti wa watu, ziwa limening’inia kama pazia ya mama ntilie ndio unataka umuache hapana sio sawa, ongea nae muelekeze sababu ni nini yawezekana wewe ndio sababu ya yeye kubadilika hasa kama ulimpa mwanga wa maisha na baadae ameishia kuona giza ni hatari sana
Hii hata akiwambia ndugu na wazazi wake hawatataka kukusikia.muombe Tigo, utakuja kunishukuru
Unajivunjian heshima yako..Hii hata akiwambia ndugu na wazazi wake hawatataka kukusikia.
wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton..akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nmtolee posa il kwao wajue nko nae..sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeur kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu..ko mnsaidie mbinu za kuachana nae ncje nkamtia kilema bure
Hakuna anayependa uzee ni basi vile hatuna namna[emoji23][emoji23][emoji23]Samahani mie ni Mdada bado sijazeeka mkuu