Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

Unatosha kuwadanganya wafaidika wenzio, sisi tunaoumizwa na tozo zisizo na uhalali huwezi kutudanganya. Acha tuendelee na kampeni, bora hela iibiwe na mwizi anayehangia maisha kama Mimi kuliko mwizi anayetumbua maisha kama wewe.
 
Unatosha kuwadanganya wafaidika wenzio, sisi tunaoumizwa na tozo zisizo na uhalali huwezi kutudanganya. Acha tuendelee na kampeni, bora hela iibiwe na mwizi anayehangia maisha kama Mimi kuliko mwizi anayetumbua maisha kama wewe.
Akitoka hapo anapanda kwenye V8 anaenda hotelini
 
kumekucha.
Utajuta kuwajua ndugu zako watanzania[emoji1787][emoji1787].
pia uache UTAPELI.ada za miamala zinatosha.hzo tozo za serikali ni utapeli.
Ada za miamala mnakula,pia na too mnakula.tunasaidia kutafuta hela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…