Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa tunaishi nao sayari 2 tofauti kabisaDuh!
Hatari...
Kwa jina hili hili la Ester?Namfahamu vizuri sn huyo Ester hata hapa JF yumo sn
Pambana upate hela mkuu, acha wivu na mafanikio ya wenzio.
Kwani hizo kodi mnampa bure bila kufanya kazi?
Yap, nyumbani kwao ni OleleKwa jina hili hili la Ester?
Ni sawa kila mtu ana haki yake ya kuchagua, lakini ktk Hali ya kawaida ya neno "uongozi,"Kila mtu ana Haki na uhuru wa kuchagua maswala yake binafsi
Mbowe aongezewe asali [emoji16]
Kwani uongo unayo kampuni tena tatu nne hivi… Unashupaza shingo…Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Acha comments za kimasikini, kwani Feza wanasoma watoto wa mwigulu tuu? Tunaongelea wizi wa fedha za wananchi hadi kununua yutong 60 kwa wakati mmoja.Watoto wake wanasoma wapi?
Kwanini asiwapeleke watoto wote wa Iramba wakasome Feza? kwahiyo Yutong siyo umaskini?Acha comments za kimasikini, kwani Feza wanasoma watoto wa mwigulu tuu? Tunaongelea wizi wa fedha za wananchi hadi kununua yutong 60 kwa wakati mmoja.
Ni ya kwake pia?M-Bet
Wabongo ni wapuuzi kupita maelezo. Dawa ni moja tu, kuishi kwa nidhamu. Mambo ya kupenda kula bata wakati pesa haipo lazima watu walalamike.Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Uongo hakuna shule inatoza hiyo ada Tanzania kwa mwakaIle Tanganyika sijui nini ada per year ni milioni 50 lakini hapo ana watoto wa 4
Mchumba ako kabanwa mkuuUongo hakuna shule inatoza hiyoada Tanzania kwa mwaka
Nenda website.za shule kaangalie.Mwongo mkubwa wewe
Yeye kama waziri wa Fedha lazima ajue kuna mabasi 60 yameingizwa .... hakuna haja ya kumtaja mwenye mbasi walau angekubali kuwa kweli kuna mtu kaagiza hayo mabasi na kiwango cha kodi kilicholipwa.Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.