Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

kwani sisi ni warundi?kama anaona burundi ni sehemeu sahihi si aanze yeye kwenda huko.?hiyo tai na skafu anavaa za nini?uzalendo wake ni upi wa kuwanyonya wanyonge.madaraka yana mwisho wake na hicho kiburi kitakuja kwisha tu very soon.
 
Anasema uchumi hauathiriki kwa namna yoyote meanwhile Vodacom wanaripoti matumizi ya M-PESA yameshuka, soon Atakana hii kauli yake.
 
uongozi ni dhamana naona mwingulu kalewa madaraka , yaani sisi watanzania tuhamie burudi kweli waziri ana akili timamu huyu kweli. Mwalimu nyerere aliheshimu watanzania , Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa , mzee kikwete na Mzee Magufuli na Mama yetu samia . hawajawai kutuambia tuhamie nchi nyingine hata siku moja . kimtokacho mtu ndicho kilicho moyoni. Hafai kuwa waziri wala mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
 
Huyu Mwigulu Nchemba ndo alijaribu kunyemelea urais 2015?
Hopeless kabisa! Tungekuwa na rais wa hovyo pengine kuliko hata mwendazake!
Braza Mwigulu Nchemba wewe ni hovyo kabisa, huna hadhi ya kuitwa mheshimiwa, huwezi kuwaambia wananchi ambao ndo msingi wa serikali eti wahamie Burundi kwa vile hawawezi kukatwa tozo, umewadharau majirani zetu, umetuonyesha jeuri sisi wenye nchi.
Nadiriki kukuita mjinga, huna hekima wala busara, hufai kuwa kiongozi
 
But inaelekea ana nyota ya kupendwa na mamlaka ya uteuzi...how can he survive in such hostile environment?...yaani iko wazi kwamba kuna hate kubwa Sana Kati ya wananchi na huyu Waziri...KAZI ya hivi anaifurahia kweli!?
labda anajua kujenga hoja zenye mashiko anapokuwa kwenye baraza la mawaziri
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

Hajui akili ndogo haiwezi kuendesha akili kubwa? PhD aliyonayo ndo akili au ujanja ukanja tu? Hii haipo good at all mwisho wake mfupi Sana hajui Kuna kipaji na uzoefu ktk kila fani? Huyu kavamia nawaza Sana if awamu iliyopita angedumu Hadi muda huu...
😈 ngoja nilale zangu chini ya mbaula yangu 682 nisubiri dili la miwa Turiani maana naweza mtukana mtu leo
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

Hii jeuri enzi za mwendazake hakuwa nayo, ila sasa kila mtu ana sharubu.
 
Huyu Mwigulu Nchemba ndo alijaribu kunyemelea urais 2015?
Hopeless kabisa! Tungekuwa na rais wa hovyo pengine kuliko hata mwendazake!
Braza Mwigulu Nchemba wewe ni hovyo kabisa, huna hadhi ya kuitwa mheshimiwa, huwezi kuwaambia wananchi ambao ndo msingi wa serikali eti wahamie Burundi kwa vile hawawezi kukatwa tozo, umewadharau majirani zetu, umetuonyesha jeuri sisi wenye nchi.
Nadiriki kukuita mjinga, huna hekima wala busara, hufai kuwa kiongozi
Aachen upotoshaji sikiliza vizuri hiyo clip alikuwa akirudia alichosema mtazamaji wa kipindi wala hayo maneno sio ya waziri.
 
Mwigulu Nchemba ajue ni mtu mdogo sana,hata akifa hatutaona mazishi yake kwenye TV....atazikwa tu na ndugu na marafiki kama sie.
 
Vetting inafeli sana inawezekana kweli tulitawaliwa na Warundi ila bado hawajaisha
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

Dr wa uchumi wa hovyoooo kuwahi kutokea tz.Acheni utani huyu halingani na jpm hata kidodo. Mnalinganisha kichuguu na ml.Kilimanjaro.
 
Hv burundi wanajisikiaje sasa hv kuwa nchi yao imekuwa ya wakwepa kodi
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

Ewallah sheikh lkn wamekusikia wenyewe, na Burundi hakuna visenti kama Asia naona ingependeza zaidi tukienda Kule.
 
Back
Top Bottom