Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Wait...WHAT?!!

Kwa hiyo uchumi wa MTANZANIA siyo uchumi wa TANZANIA?! Kwa hiyo tunakaribisha wawekezaji wa kigeni ila watanzania wasioridhishwa na hali ya uchumi wanaambiwa wahamie Burundi? SHERIA ni MSAHAFU au BIBLIA kwamba haziwezi kubadilishwa?! Bunge ndio linatunga KANUNI?

Labda ni mimi wa darasa la saba B sielewi Daktari wa Uchumi anasema nini. Basi sawa.
Kauli kama hizi kwa kiongozi unayetumainiwa na umati wa watu ni JANGA LA TAIFA!

Halafu anautaka Urais si ataua watu huyu?

Unakosaje maadili

Jeuri

Kiburi

Fedhuli

Si maungwana.....


HAFAI ATUMBULIWE!
 
Damu ya mtu haiendi bure,mikono yake inanuka damu,serial killer
 
Kama mwigulu ni PhD wa uchumi na anajitapa tusimtilie mashaka basi hiyo wizara ni bora ateuliwe kibajaji au msukuma, hauwezekani Dr nzima wa uchumi pamoja team yake nzima ya wizara washindwe kujua double taxation ni illegal na ni uvunjaji wa sheria.
Nitamshangaa Rais Samia Kama atamuacha huyo muuaji kwenye iyo wizara ya Fedha, Mwigulu yupo hapo kimkakati,mama inatakiwa ampige chini haraka, hiyo WIZARA apewe dokta Kimei itamfaa
 
Mwigulu hana nyota na Watanzania
Kila akitajwa kuwa waziri Fulani huwa anaandamwa sana.
Tatizo Mwigulu Ni kiburi na muuaji mkubwa, haiwezekani atuletee kiburi,wakati huo mshahara unaomtia kiburi Ni Kodi zetu sisi wananchi, huyu mbwa hafai kupewa nafasi yoyote kwenye hii Nchi kumbe
 
Huyu jamaa ni mpuuzi sana,udakitari wa falsafa sio kujitapa,ni matendo,yeye kuwa na ka PHD ka uchumi,anajiona mwamba,amefanya tafiti ngapi na wapi zilizoleta tija?watu waliokuwa wamebobea kwenye uchumi kama Prof Ndulu,walikuwa na CV nzito kuanzia UN,sasa huyu kasoma hajawahi hata kufundisha,au kufanyia kazi hako ka PHD lake,anatutambia hv
NAsikia alimlipa mtu milioni 15 akaandikiwa na kupewa digrii. UD nayo imejaa uchafu tu!
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

MAMA YETU RAIS WETU MPENDWA SSH

TUNAKUPENDA SANA!

KUNA BAADHI YA VIONGOZI WALIO KUZUNGUKA HAWAKUTAKII MEMA MMOJA WAPO NI HUYU MWIGULU NCHEMBA!

FISADI MUHARIBIFU ANAYEJITAHIDI KUKUFISIDI NA KUKUCHAFUA KWA WANANCHI WAKO!


TUMEMSHTUKIA!!!!!.........


HAFAI!!!!

MUONDOE KABLA HAJA KUHARIBIA!
 
Huyu jamaa ni mpuuzi sana,udakitari wa falsafa sio kujitapa,ni matendo,yeye kuwa na ka PHD ka uchumi,anajiona mwamba,amefanya tafiti ngapi na wapi zilizoleta tija?watu waliokuwa wamebobea kwenye uchumi kama Prof Ndulu,walikuwa na CV nzito kuanzia UN,sasa huyu kasoma hajawahi hata kufundisha,au kufanyia kazi hako ka PHD lake,anatutambia hv
PhD yakuloga ili apendwe huku hapendeki.
Aje aloge huku Jf
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

Uwiii???! PhD yake ichunguzwe. Hata hivyo wa-Tz hatushitushwi na kauli za viongozi hawa. Kuna mwingine, mkubwa tu, alishawahi kutamuka: "Hata msipotuchagua tutaunda serikali tu". Wamelewa na "sixty years in power".
 
Mkuu lipa kodi vibonzo haviwezi kuleta maendeleo
Screenshot_20210719-225727~2.png
 
Ni vigumu sana kumtofautisha
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

 
Tuombe Mungu sana....

Maana 2030 atakuwa front kuchukua form ya urais huyu jamaa. Ni dikteta kamili.
 
Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.

Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.

Tumpongeze anaupiga mwingi sana.

 
Utaratibu wakujiuzuru haupo Tanzania watu hawapendi kulinda heshima zao mpaka watoke kwa kufutwa kazi dah!!
 
Back
Top Bottom