shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Ohh ni kweli mkuu, nilidhani unashabikia kuwa wananchi hatushiriki kulipa madeni, samahani mkuu, nabadili kauli. Eti Mh. Mwigulu ana PhD ya uchumi anashindwa kuelewa kuwa hata Baba yake anachangia kulipa deni, yaani hata yeye Mwigulu anachangia kulipa deni kupitia PAYEHaya sio maneno yangu mkuu; ni maneno ya Mwigulu. Hebu msikilize kwenye klipu hapo juu.
Kama vile ulikuwepo mkuu.......walimshangilia na nderemo na vifijo lakini kuna mkuu wa mkoa mmoja anaitwa Mh Anthony Mtaka, yeye alitikisa kichwa kwa masikitiko 😳 😳Waweza kuta baada ya kutoa kauli hiyo wale wahudhuriaji walipiga makofi mengi na vigelegele( mtoa mada nisaidie kujua kama hilo lilitokea maana utakuwa ulifuatilia mwanzo mwisho)
Serikali ina Shamba?Waziri wa Fedha na Mipango Dr Mwigulu Lameck Nchemba (PhD) leo amewaondoa wasiwasi wananchi wanaolia kwa sababu ya ukubwa wa deni la taifa (Trilion 70+) kwamba hakuna mtanzania hata mmoja atakayegongewa mlango au kutakiwa kutoa mali zake binafsi ili kulipia deni la taifa. Amesema deni hilo litalipwa na serikali yenyewe kwa fedha zake bila mwananchi yeyote kutakiwa kutoa hata senti moja ili kulipia deni. Msikilize wewe mwenyewe kwenye klipu hii hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇View attachment 2068601
Dr Mwigulu alisema hayo wakati Rais Samia alipokuwa akihutubia Baraza la Mawaziri ikulu Jijini Dodoma ili kuweka mambo sawa baada ya Spika wa Bunge kuwa mbogo kuhusiana na ukubwa wa deni la taifa ambapo Spika alisema kuwa serikali ya Samia isipokuwa makini kwenye ukopaji, ipo siku nchi hii itauzwa ili zipatikane fedha za kulipia madeni.
MAONI YANGU
Nawaomba wananchi tutulie, tuache kupapalika bila sababu kwa kuwa sasa tumehakikishiwa kwamba hatutahusika hata chembe kwenye ulipaji wa deni la taifa. Nawashangaa sana watu wanaowapotosha wananchi kwa makusudi kuwa watahusika kwenye ulipaji wa deni la taifa huku wakijua fika kwamba serikali itajilipia yenyewe deni lake. Tuache upotoshaji ndugu watanzania. Kuna makundi ya watu wabaya wanaotumiwa na watu wasioitakia mema nchi hii kuifarakanisha serikali na wananchi wake. Tuwe makini! ✍️
Ina hela zake hazina ✍️Serikali ina Shamba?
Kama Waziri hafahamu mapato ya serikali yanatoka wapi na bado ni Waziri unafikiri mwenye tatizo hapo ni nani? Aibu kubwa sana hii.Waziri wa Fedha na Mipango Dr Mwigulu Lameck Nchemba (PhD) leo amewaondoa wasiwasi wananchi wanaolia kwa sababu ya ukubwa wa deni la taifa (Trilion 70+) kwamba hakuna mtanzania hata mmoja atakayegongewa mlango au kutakiwa kutoa mali zake binafsi ili kulipia deni la taifa. Amesema deni hilo litalipwa na serikali yenyewe kwa fedha zake bila mwananchi yeyote kutakiwa kutoa hata senti moja ili kulipia deni. Msikilize wewe mwenyewe kwenye klipu hii hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇View attachment 2068601
Dr Mwigulu alisema hayo wakati Rais Samia alipokuwa akihutubia Baraza la Mawaziri ikulu Jijini Dodoma ili kuweka mambo sawa baada ya Spika wa Bunge kuwa mbogo kuhusiana na ukubwa wa deni la taifa ambapo Spika alisema kuwa serikali ya Samia isipokuwa makini kwenye ukopaji, ipo siku nchi hii itauzwa ili zipatikane fedha za kulipia madeni.
MAONI YANGU
Nawaomba wananchi tutulie, tuache kupapalika bila sababu kwa kuwa sasa tumehakikishiwa kwamba hatutahusika hata chembe kwenye ulipaji wa deni la taifa. Nawashangaa sana watu wanaowapotosha wananchi kwa makusudi kuwa watahusika kwenye ulipaji wa deni la taifa huku wakijua fika kwamba serikali itajilipia yenyewe deni lake. Tuache upotoshaji ndugu watanzania. Kuna makundi ya watu wabaya wanaotumiwa na watu wasioitakia mema nchi hii kuifarakanisha serikali na wananchi wake. Tuwe makini! ✍️
Mkuu KODI unayolipa sio kodi ya MADENI. Unalipa kodi ya MAENDELEO ✍️Kodi ndio italipa madeni asidanganye watu,
Wakiona yamekuwa mengi watatafuta pa kupachika kodi.
Vizuri, umemsikiliza."Hakuna siku Mtanzania mmojammoja atagongewa hodi mlangoni kwamba tunakudai Shillingi hizi kwasababu Nchi yako ilikopa, haipo Nchi hiyo, hivi ni vitu vya Kitaasisi na vinaangaliwa kutoka kwenye mapato ya Kiserikali"——— Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Nchemba
Hayo madeni yanayolipwa kilamwezi yanalibwa kutoka wapi?Mkuu KODI unayolipa sio kodi ya MADENI. Unalipa kodi ya MAENDELEO ✍️
Yanalipwa na serikali kutokana na fedha za serikali ✍️Hayo madeni yanayolipwa kilamwezi yanalibwa kutoka wapi?
Hicho cha arusha au..Yanalipwa na serikali kutokana na fedha za serikali ✍️
Serikali inakopa fedha kulipia madeni ya zamani iliyokopa; haimgongei mlango mwananchi yeyote kumuomba asaidie kulipa deni ✍️Hicho cha arusha au..
Serikali inafanya biashara au kojoa ulale shule zimekaribia kufunguliwa.
Sawa madelu.Serikali inakopa fedha kulipia madeni ya zamani iliyokopa; haimgongei mlango mwananchi yeyote kumuomba asaidie kulipa deni ✍️
Karibu tena 🤝Sawa madelu.
unafikiri Kwa kutumia ubongo au matako wewe jamaa,una ujinga mkubwa sanaMkuu iamini serikali; hakuna mwananchi atakayeombwa fedha ya kulipa deni la taifa. Serikali italipa. Full stop.