Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mimi ni victim wa hii kitu, just three weeks ago, ni pesa ya kazi na ilizuiliwa kwa zaidi ya two days wakitaka mkataba na aiana ya kazi naenda kufanyaHata kwenda kuchukua pesa zako ulizoweka mwenyewe unapigwa Interview kama unaomba kazi
Sijui unachukua z kazi gani, ulizipata wapu…hawaulizi ukiweka wanauliza siku ukichukua
Matokeo yake watu wakaanza kuweka fedha zao kwa Ma Sheikh Waaminifu wa Mjini interms of foreign currency!
Mwambieni Mwigulu Nchemba aache mbwembwe.Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
Taskforce ya kukusanya pesa za kununua ndege, ujenzi wa uwanja Chato na SGRNa nani Bwashee! Na kwa sababu zipi huyo mtu/taasisi achukue/ichukue hela za mtu pasipo na ridhaa yake?
Kwa kuanzia ni kuzishitaki bank husika kwa kutoa fedha zako bila idhini ya mteja baada ya hapo bank na TRA watajuana.Zile pesa zote walizoibia wafanyabiashara huko kwenye mabenki inabidi wawarudishie wafanyabiashara ama sivyo inatakiwa washitakiwe kwa wizi wa
uporaji.
Sisi wenye nyumba za kupangisha, awamu ya nne ilikua unamwambia mpangaji aweke kodi bank kila mwezi. Yalipoanza haya ya account kupigwa pin, unamwambia mpangaji akusanye kodi ya mwaka akupe mkononi. Tena unampa punguzo la miezi miwili, kama ni laki mbili kwa mwezi akikupa milioni mbili unashukuru.These days biashara ni cash kwa cash. Mtu yupo radhi mkutane uchochoroni umkabidhi kijibegi chenye milioni 30 kuliko mambo ya kuziweka bank then zipigwe pin mpaka ukaseme umezitoa wapi na kama TRA ushawapa chao..
Hapana huu si wakati wa kudhoofisha kwa mawazo hasi.Za kuambiwa changanya zako..
Usimuamini mwana siasa hata siku moja..
Mkuu mimi nakomaa kuweka ndani tu, bank siweki zaidi ya Milioni 3.Mimi ni victim wa hii kitu, just three weeks ago, ni pesa ya kazi na ilizuiliwa kwa zaidi ya two days wakitaka mkataba na aiana ya kazi naenda kufanya
Kwani Mwigullu Nchemba ni Chadema?Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
Ndio waziri anaona leo kuwa walikuwa wanawapiga waganya biashara hela sio.Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
Kwanza atwambie zile fedha zetu za kigeni tunarudishiwa lini?Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
Hapo mtu wa kumbana ni Dottoaanze na CRDB malalamiko ya upotevu wa pesa yanazidi kila kukicha
Bado anakumbukizi ya jiwe alivyo kuwa anataifisha utadhani za familia yakeHazitachukuliwa na nani kwani! Tena kinyume cha utaratibu?