Mwijaku: Arusha ndio mji pekee Mlima Kilimanjaro unapatikana

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania. Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.

Mwijaku amekuwa msitari wa mbele katika kuonesha uzalendo kwa kutambua na kuunga mkono harakati za rais wa Tanzania katika kuwaletea Watanzania maendeleo na kukiri kuwa chawa wa kudumu wa rais mama Samia Suluhu.

 
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania.Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.

Mwijaku amekuwa msitari wa mbele katika kuonesha uzalendo kwa kutambua na kuunga mkono harakati za rais wa Tanzania katika kuwaletea Watanzania maendeleo na kukiri kuwa chawa wa kudumu wa rais mama Samia Suluhu.
Huyo tabia zake hizo za ajabu ndio zinampa kula yake
 
anamiliki Masters degree toka chuo kikuu cha Dsm
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania.Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.

Mwijaku amekuwa msitari wa mbele katika kuonesha uzalendo kwa kutambua na kuunga mkono harakati za rais wa Tanzania katika kuwaletea Watanzania maendeleo na kukiri kuwa chawa wa kudumu wa rais mama Samia Suluhu.
 
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania.Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.

Mwijaku amekuwa msitari wa mbele katika kuonesha uzalendo kwa kutambua na kuunga mkono harakati za rais wa Tanzania katika kuwaletea Watanzania maendeleo na kukiri kuwa chawa wa kudumu wa rais mama Samia Suluhu.

Ndiyo tatizo la kuweka Front ZERO BRAIN kwa kigezo cha kujua KUBWABWAJA.
 
Kosa la kukurupua watu. bila kuwapa hits za vitu wanavyokwenda kufanya.kuna siku wamasai waliandamana kutoka loliondo mpaka Arusha wakaulizwa .mmekuja kufanya nini wakasema hawajui ila wakiambiwa watawaambia.
Bila elimu na watu kujitambua.tuna kazi kubwa sana tz.
90% wasanii hawajielewi wamefanywa ndo chanzo cha kuwakusanya wadanganyika kwenye mikutano
 
Katika kipindi cha redio cha Leo Tena cha Clouds FM watangazaj
wa kipindi hicho wameonesha mshangao kwa kitendo cha mtangazaji mwenzao Mwijaku kusema Mlima Kilimanjaro uko mkoani Arusha.

mtangazaji amesema hata mtoto wa shule ya msingi anafahamu kwamba mlima huo uko mkoani Kilimanjaro kwani hata jina lenyewe ni la mkoa wa Kilimanjaro.

Katika utetezi wake Mwijaku amesema alipitiwa na kupata mhemuko hasa baada ya Rais Samia Suluhu kurudi nchini kwani hajamuona muda mrefu.

Mwijaku alikuwa Arusha katika uzinduzi wa documentary ya Royal Tour inayotangaza utalii nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom