Mwijaku: Arusha ndio mji pekee Mlima Kilimanjaro unapatikana
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania. Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.

Mwijaku amekuwa msitari wa mbele katika kuonesha uzalendo kwa kutambua na kuunga mkono harakati za rais wa Tanzania katika kuwaletea Watanzania maendeleo na kukiri kuwa chawa wa kudumu wa rais mama Samia Suluhu.

View attachment 2204651
Mlima Kilimanjaro upo Mkoa wa Arusha? [emoji23]

Mlima Kilimanjaro upo Mkoa wa Kilimanjaro, Mlima Meru ndo upo Mkoa wa Arusha
 
Duuh!! Sasa heka heka zote zile za jana mabarabarani za kazi gani kumbe hamna anachojua. Lol.
 
A
Mlima Kilimanjaro upo Mkoa wa Arusha? [emoji23] Watu huwa wanasahau kwamba Kilimanjaro ni Mkoa

Mlima Kilimanjaro upo Mkoa wa Kilimanjaro, Mlima Meru ndo upo Mkoa wa Arusha
Mwijaku ameaibisha tasnia ya habari, ana upeo mdogo wa kufikiri.
 
Kama uchawa unalipa vizuri, hata Mimi nita- join the chain.
IMG_20220404_104552_969.jpg
 
shida ni kuwa mropokaji ropokaji
ukipewa mic tu ulimi unakua hauna break
Watangazaj wenzie walikuwa studio wakawapigia sm,Geah akaongea kidogo tu,alipopewa mwijaku nafasi ya kuongea aliongea mpaka watangazaj wa studio walichoka na hapo alititirka bila hata kuwa anahojiwa

Kwa kwel kuongea sana,mwsho wa siku lazma uongee yasiyo
Na hapo huwa anajifanya kuwa shule alikuwa nondo hatari
 
Yule ni mtu anayependa kutrend aongelewe....mnadhan angejibu Kwa usahihi angetrend?...Anafahamu vyema alichokijibu
 
Hivi mlimaa Kilimanjaro unapatikana Arusha au Moshi?je mlimaa meru?jamaa Kama hajui vitu aache kuropokaa....hiyo sio sababuu ya uzinduzi kufanyikaa huko.....moja ya reason kubwa nali kwamba Arusha li lango la utalii.huyuu mswailiii wa ujiji Ni mropokajiii
 
Hivi mlimaa Kilimanjaro unapatikana Arusha au Moshi?je mlimaa meru?jamaa Kama hajui vitu aache kuropokaa....hiyo sio sababuu ya uzinduzi kufanyikaa huko.....moja ya reason kubwa nali kwamba Arusha li lango la utalii.huyuu mswailiii wa ujiji Ni mropokajiii

Unapatikana K I L I M A N J A R O
 
Sasa unashangaa nini jibu kama hilo kutolewa na Mwinjaku?hapo hamna kitu kajitoa ufahamu mradi mkono uende kinywani hamna mtu pale box tu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom