The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Hatuilaumu serikali kwa kuua watu. Bali tunawalaumu kwa mambo 2.Vifo vingine vinatokana na dhuruma kuiba wake za watu nk. Sidhani kama kufikiria serekali ya fisiemu inauwa hawa watu wote ni sahihi
let be reasonable guys. Serekali haiwezi kuuwa watu hovyo ikuuwe ww nani!!?? Yani serekali ije ikuuwe ww tigopesa kuweni na heshima kidogo basi
Yes,....tukate tamaa-------tuendelee TU kutesekaJe tukate tamaa kama wananchi wa kawaida kwamba nothing can be done to change the situation and lead our country into a true and rightful way of governance and transparency?
Mkuu tuna safari ndefu kama vichwa vyetu wenyewe havijaamua kufikiria vizuri na kuchukua hatuaKwamba hujui wanaopeleka ni squad ya kuteka na kuua kama walivyopeleka mwili wa Mzee Kibao?
Huwezi kuona ajabu kwamba wanasema mwili " umekutwa hospitali" Badala ya mwili umeletwa hospitali na watu xxx baada ya KUMKUTA sehemu xxx ? Mkuu haya mambo ni systematized na wanajua wanachokifanya! Kamanda alipowahi kusema tu uongo kwamba aliuza sijui gari aliyokodi Kwa ajili ya harusi, tra wakakana nk tayari red light ishawaka! Wamemtafuna
Hili ni tatizo na haya ndio mambo ambayo yanafaa kutoyafumbia macho. Kwa hatua tuliyofikia hii nchi inahitaji watu wenye uthubutu wa kuamsha vichwa vya watanzania mbele ya watawala bila kuogopa kama kina Tundu Lissu.Huo uchunguzi ataufanya nani ndugu yangu na kwa kutumia ushahidi gani?maana hata ukienda leo ukauliza hapo mwili ulikopatikana watoe wajihi wa aliyeupeleka na kuwakabidhi hawajui hata waanzie wapi.
Upo udhaifu Tanzania hii namna miili inavyokabidhiwa hospital,hawaulizi chochote kama ID zaidi ya jina ambalo mtu anaweza akabahatisha lolote akajiandika.
Hatari sana polisi na wenyewe wamekua sehemu ya kutengeneza story ya kupindisha ukweli!Mkuu tuna safari ndefu kama vichwa vyetu wenyewe havijaamua kufikiria vizuri na kuchukua hatua
Bado hujasema 😂Natubu mbele ya Mola wangu kwa kuhisi mkono wake unahusika kwenye yale na kuwaza mambo yangeisha aisee
so sad
Muamshe kwanza mumeoYuko Chato kalala kamuamshe.
Katombwege huko malaya usiye na ubongo wewe !CHADEMA MNATUMIA MISIBA KUFANYIA KAMPENI, KWANZA HAMNA USHAHIDI WOWOTE ، CHA PILI CHADEMA HAKUNA MLICHOFANYA MLIVYOKUWA BUNGENI MPAKA WANANCHI WAKAWAFUKUZA NYOTE KWA KUWANYIMA KURA, TUNAMSUHUKURU HAYATI MAGUFULI KWA KAZI NZURI ALIZOFANYA MPAKA WATU WAKAONA COVID 19 YA WABUNGE IKAE PEMEBENI. HAYATI MAGUFULI AKAWAONEA HURUMA AKAWALETA BUNGENI KAMA VITI MAALUM SIJUI, HAKUTUFANYIA JAMBO ZURI ILA HATUWEZI MLAUMU COZ AMEFANYA MAZURI MENGI NA TULIAMINI ANAWALETA BUNGENI KUNA KITU AMEONA. ILA CHADEMA HAISTAHIKI HATA KUPEWA MTAA KUONGOZA. MAMA ANA HURUMA ANAWEZA WAPA UBUNGE BAADHI LAKINI NAMSIHI AFUATE KURA. KAMA WANANCHI TUMEAMUA KUWAWEKA BENCHI COVID 19 TUNAOMBA WASIINGIZWE KWENYE BUNGE. KODI ZETU NDIO ZINAWALIPA SIO VIONGOZI. SIWAPANGII KAZI VIONGOZI ILA NI OMBI HILO KWA MAMA SAMIA، IKIWA TUMEWATOA CHADEMA TUNAOMBA KURA ZETU ZITHAMINIWE NA WASILETWE BUNGENI KUJA TOA MATUSI. RAISI ANA HAKI YA KUCHAGUA MTU YYTE ILA HAWA VIUMBE WA MACHAME WASICHAGULIWE
Logic ndogo kama hizi mnashindwa ,we kuangalia circumstances Tu za mauaji na kuona kwamba kuna tatizo kubwa na ukiangalia trend ya mauaji na pattern zake zilivyo nchi hii ?Yani upo sahihi kabisa mkuu mi nashangaa wanaoitupia lawama Gavoo, mtu kama umeishi nchi zenye matukio utaelewa mambo ya kisasi unaweza mpiga mtu ukampasua ila kisasi chake akikudaka anakumwagia njugu
Kabisa. He was not that much bad. Sasa Binadamu wanachinjwa kama Kuku and no body caresJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Wewe unadhani alipatwa na nini?Una uhakika alipata ajali?
Asee unashangaza kwenye ishu ya uhai na kifo unaleta ishu za uchama? Kwahiyo mtu akihoji kuhusu uwajibikaji wa serikali inayotawala kushindwa kukomesha haya yanayotokea anaonekana ni mpinzani. Asee tuna safari ndefu ya kwenda kama taifa.CHADEMA NI KELELE ZA MITANDAONI. UKITOA HOJA HAKUNA ANAYEJIBU. NI MATUSI NA KULALAMIKA KWAMBA TUMETUMWA. MAJUKWAA YENU YOTE NI KUISEMA CCM, NA MNAFANYA HIVI KWA SABABU CCM IMEWASHINDA KIMAENDELO NDIO MAANA MNA CHUKI NAYO. WANANCHI HAWAHITAJI CHAMA KINGINE KISICHOJIELEWA KAMA CHADEMA, CHAMA CHA KIDICTETA MWENYEKITI ANAKAA MIAKA ZAIDI YA KUMI HATAKI KUACHIA NGAZI.
Ongezea pia kua na ma deal machafu pia wanakuanayo, na hayo ma deal machafu ndiyo huwa yanawaponza hadi wanaangukia kwenye umauti!!akili huna au unauwezo mdogo wa kufikiri watu invest sehemu tofauti mtu anaweza kua wakala lakini ana deal na vifaa vya magari,vya ujenzi n.k