Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Leo nimewaza sana hiliHawa watu wanadakwa na kuuliwa bila maelezo ukute ndio hawa hawa wanaochangia mitandaoni.. Tulinde accounts zetu
Uongozi wa polisi sio shida.Kama ni kweli hivi vikundi vinavyoendesha huu uharamia havihusiki na serikali na serikali imeshindwa kuvishughulikia ili kukomesha hayo mauaji basi ni dhahiri uongozi uliopo madarakani haufai kuendelea kutuongoza.
Nimeshawahi kutoa ushauri humu kwamba uongozi wa polisi ubadilishwe na naendelea kushauri tena ni muda muafaka sasa kubadilisha uongozi wa vyombo vyote vinavyohusika na usalama wa raia maana hali imezidi kuwa mbaya na hatuoni juhudi za dhati kukomesha mauaji yanayoendelea kutokea kila kukicha zaidi ya kauli za kejeli za watawala kwa watu wanaopiga kelele kuhusu hiki kinachoendelea kwamba eti wanaopotea wanajiteka wenyewe!
Hata wanywaji wa k vant ukiwastua wanastuka, huyu ni kama kapigwa nusu kaputiIGP mauaji yanatokea yeye kapiga kimya,utadhani kanywa Kvant
๐คฃHata wanywaji wa k vant ukiwastua wanastuka, huyu ni kama kapigwa nusu kaputi
Maana yake hakuna tukio lililobainika? Mfano ajali akienda bandarini? Au vipi
He laid down the foundation and the remaining crew see it as a good way to deal with innocent civilians..Kabisa. He was not that much bad. Sasa Binadamu wanachinjwa kama Kuku and no body cares
Kazi wameshamaliza na report imekamilika mengine ni kusahau tu!
Acha kuandika upumbavu wewe taahira na wajinga wenzako , ina maana siku hizi kuna watu wanafanya visasi vya kuua watu na kisha kuwapeleka hospitali au sio ?Yani upo sahihi kabisa mkuu mi nashangaa wanaoitupia lawama Gavoo, mtu kama umeishi nchi zenye matukio utaelewa mambo ya kisasi unaweza mpiga mtu ukampasua ila kisasi chake akikudaka anakumwagia njugu
Watu wanapotezwana kuuawa kama kuku na majitu yanasheregekea kwa kejeli na dharau na yanaona kawaida ,aiseee hii trend sio poa kabisa ,hii nchi watakuja watu kuanza kutengeneza vigilantees na vikundi vya kujihami na kujibu mapigo kwa kushindana ,hapatakalika ,kmamae yaani haiwezekani kuwe na kundi la Kenge flani wawe ndio wana haki ya kuishi na wengine wawe kama kuku ,kuchinjwa muda wowote ,no wayTunawahitaki sana watu wa namna hii kwenye nchi ya kiboya kama hii
Yaani Uwe Mchaga, halafu uwe mfuasi wa CHADEMA, halafu ulete nyenyenye....Alikuwa Mchaga?
Mzigo ulikuwa wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya finishing ya nyumba yake.Taarifa za awali wakati wa kupotea kwake zilisema alikuwa anaelekea kufuatilia mizigo yake (Kontena) bandarini, na TRA wakatoa ufafanuzi kuwa wao hawahusiki na kwamba marehemu alikuwa akimtumia wakala mwingine wa forodha (binafsi)
Kwa aina ya biashara zilizoorodheshwa hapa sijaona yoyote inayohusiana na masuala ya kufuatilia mizigo.
Marehemu ana biashara nyingine? Kufuatilia kwake mizigo yake kuna uhusiano wowote na kifo chake?
Maswali ni mengi, apumzike kwa amani.
Ni huzuni...Kiutani tu jamaa ameenda!
Hali inatisha sana aisee๐ฅฒ
๐๐๐๐๐๐๐ dah uko makini sana mkuuMimi baada ya Jamiiforums mtandao mwengine naoutumia ni Facebook na huko nachoangalia mimi ni memes tu niki-comment sana utakuta ni โhahaโ tu sina kingine cha kuandika
Ila chadema bado wamekaza kichwa, bado lawama wanampa JPM ๐Kabisa. He was not that much bad. Sasa Binadamu wanachinjwa kama Kuku and no body cares
Hii naamini ni Jinai,na Jinai haina ukomo!!Unakwepesha lawama kwa nguvu kubwa sana..
Kazi ya Kulinda Raia na Mali zao ni ya nani?
Mfano tukadhulumiana hapa ukapotea mwili ukutwe mochwari... Will that be okay?
Unajua taratibu za kupeleka mwili mochwari? Au hata mahtuti tu hospitalini?
Aliempeleka Mochwari huyo bwana ni nani? Waliompokea ni kina nani? Maelezo ya awali yalikuwaje mpaka hospital ikakubali kuupokea..
Wacha bla bla mkuu, hili ni letu sote, yakikukuta au kumkuta ndugu yako wa karibu ndio utajua ukwel kwenye hili..
Hakuna sababu yeyote kutoa uhai wa mtu....
Haya maswali yako yote mwenye mamlaka ya kuyajibu ni Mkuu wa Jeshi la polisi,maana hii tayari ni Jinai!!Akili yangu achana nayo, unaweza jibu Hospital amefkishwa na kina nani?
Au wewe ndio mtekaji ? Maana unahalalisha vitu havina kichwa wala miguu..