TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Kwann vifo vimekuwa vingi wakati huu? Kwann wanaoua hawakamatwi? Waliowahi kutekwa na kupigwa kisha wakasalimika walisema wametekwa na vyombo vya Dola wengine mpaka wakawataja na watekaji kwann tusihisi kwamba serikali ndio inahusika na unyama huu?
 
Huyu ndio mwenye jina la kituo cha goba kwa ulomi?
 
mbaya sana

tusubiri uchunguzi..,MUNGU awape nguvu kipindi hiki kigumu familia na watu wa karibu kwa ujumla
 
Kwann vifo vimekuwa vingi wakati huu? Kwann wanaoua hawakamatwi? Waliowahi kutekwa na kupigwa kisha wakasalimika walisema wametekwa na vyombo vya Dola wengine mpaka wakawataja na watekaji kwann tusihisi kwamba serikali ndio inahusika na unyama huu?
Unahisi!!??
Umukuwa na hisia nyingi kama mtoto wa kike lete ushahidi
 
Kwann vifo vimekuwa vingi wakati huu? Kwann wanaoua hawakamatwi? Waliowahi kutekwa na kupigwa kisha wakasalimika walisema wametekwa na vyombo vya Dola wengine mpaka wakawataja na watekaji kwann tusihisi kwamba serikali ndio inahusika na unyama huu?
rejeeni kauli ya polisi juu ya jamaa harafu chagueni Moja
 
Binadamu asiye na uchungu na uhai na damu ya mtu ni muovu, mwehu, mwenye laana na shetani. Chama hakina mbadala kwa uhai. Tusifurahie kifo chochote kwa utetezi wa chama. Akifa wa ccm au serikali uchunguzi ni haraka. Haki ya kuishi ni ya msingi kwa wote. Kabla ya kushabikia U-ccm au u-chadema hujui kama chanzo cha kifo ni ajali, madeni, dhuluma, serikali au ugoni. Lakini kwa maneno yako unahitimisha kuwa ccm ndiyo imemuua kwa kushabikia. Wajane na yatima wanakupa furaha gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…