Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Fa

Fatilia vizuri usikurupuke Kama ujui kitu?. Huyo kabila mtoto kasoma Tanzania. Usikurupuke kwa vitu usivyovijua. Fatilia baba yake mzee Laurent desire kabila. Kawekwa na nani congo. Mtoto kapewa baada ya baba yake kuuwawa. Usiongee vitu usivyovijua
Wewe ndugu yangu fuatilia vizuri Joseph Kabila sio mtoto wa Lauren. Kula kwanza ushibe na ufuatilie mitandaoni. Kuna vitabu na hadi picha za Joseph na baba yake wa ukweli. Jose ni mtoto wa rafiki karibu na Marehemu Mzee Lauren Kabila. Halafu hivi unaadhani Kagame kasoma political science and public administration ? Angalia marais wetu wana PHD za kupewa. As long as usalama wa taifa wanahangaika na uhaguzi badala ya vitu muhimu. Tanzania tupo nyuma sana. Kilichotokea Rwanda iwe kengele ya kuamka na kuirudishia Tanzania heshima tuliyonayo zamani. Hatua ya kwanza ya kufanikiwa ni kutambua upo katika hali mbaya na inabidi uchukue hatua.
 
Nimetembea kukuzidi wewe Tanzania hii sijafika Pemba tu kulikobaki kote nimefika na hata kwa baadhi ya nchi za Africa nimetembea zaidi ya nchi 13 Africa hii. Alafu tofautisha TPDF. Na hizo chuki zako za kiuongozi mpaka unasema Rwanda wanaweza kuchukua Tanzania. Utachekwa ndugu fatilia kuhusu TPDF alafu urudi hapa.
Nifuatilie nini TPDF ndugu yangu mimi naongea ukweli au nikuuulize Tanzania ya leo na ya 1980 ipi ina nguvu ? Jeshi lilikuwa zamani sio leo, nenda kambi za jeshi utafute discount store zao. Kuna kambi kubwa unakuta duka la jeshi hamna au kama lipo yaani mpaka unashangaa. Pita hapo Lugalo uone fremu zao walizojenga sijui zimeshaisha ? Maana kwa sasa sipo nchini.
 
Wewe ndugu yangu fuatilia vizuri Joseph Kabila sio mtoto wa Lauren. Kula kwanza ushibe na ufuatilie mitandaoni. Kuna vitabu na hadi picha za Joseph na baba yake wa ukweli. Jose ni mtoto wa rafiki karibu na Marehemu Mzee Lauren Kabila. Halafu hivi unaadhani Kagame kasoma political science and public administration ? Angalia marais wetu wana PHD za kupewa. As long as usalama wa taifa wanahangaika na uhaguzi badala ya vitu muhimu. Tanzania tupo nyuma sana. Kilichotokea Rwanda iwe kengele ya kuamka na kuirudishia Tanzania heshima tuliyonayo zamani. Hatua ya kwanza ya kufanikiwa ni kutambua upo katika hali mbaya na inabidi uchukue hatua.
Najua zaidi yako kabila mdogo baba yake ni mnyarwanda.
 
Ndugu yangu tembea uone wewe ndio hauijui nchi yako. Nchi tunauza wanyama serengeti . Nchi Rais serikalini wamejaa watu kwa sababu ya uislamu na uzanzibari. Nchi kila kitu ni kizimkazi. Nchini kenye radio ni stori za udaku, mpira na ngono kuanzia asubuhi mpaka jioni. Nchi vijana waliobarikiwa kuwa na upeo mkubwa wa kiakili wanaachwa wapambane kivyao. Halafu unategemea tutampiga Rwanda.

Tanzania ilikuwa nchi kubwa sana miaka ya 80, kuna nchi kibao nndani na nje ya Afrika zilituheshimu. Kipindi hicho karibia nchizote za afrika zilijua Tanzania ni nchi kubwa na ya kuheshimika. Tanzania ya leo sio kama ya zamani. Hii nchi imepitwa hadi na Kenya katika kuheshimika kimataifa.Leo kuna makampuni makubwa branch zao za afrika(Nimesema Afrika sio East Afrika) ziko kenya.
Nimetembea kukuzidi wewe Tanzania hii sijafika Pemba tu kulikobaki kote nimefika na hata kwa baadhi ya nchi za Africa nimetembea zaidi ya nchi 13 Africa hii. Alafu tofautisha TPDF. Na hizo chuki zako za kiuongozi mpaka unasema Rwanda wanaweza kuchukua Tanzania. Utachekwa ndugu fatilia kuhusu TPDF alafu urudi hapa.
 
Najua zaidi yako kabila mdogo baba yake ni mnyarwanda.
Sasa ulikuwa unabisha nini huko juu, Jose Kabila amewekwa. Ukifuatilia vizuri ndio utajua. Unajua nani alimsaidia Laurent kuchukua madaraka ? Je unajua kabla ya kifo chake Laurent alikuwa na mzozo na nani ? Je baada ya Jose kuwa rais huo mzozo aliumalizaje ?

Hata kama mtu ni adui yako lazima ukubali mtu ni genious aisee. Wanyarwanda wapo serikalini na wengine hadi kwenye bodi za taasisi kubwa. Sisi tunakazana kushangilia simba na yanga.
 
Nifuatilie nini TPDF ndugu yangu mimi naongea ukweli au nikuuulize Tanzania ya leo na ya 1980 ipi ina nguvu ? Jeshi lilikuwa zamani sio leo, nenda kambi za jeshi utafute discount store zao. Kuna kambi kubwa unakuta duka la jeshi hamna au kama lipo yaani mpaka unashangaa. Pita hapo Lugalo uone fremu zao walizojenga sijui zimeshaisha ? Maana kwa sasa sipo nchini.
Sasa waambie hao mabwana zako wavamie Tanzania si wamevamia congo umeona wananguvu na ukaona wanaweza kuchukua na Tanzania. Unazungumza Lugalo kuwa na Flemu pale mjini?. Nenda PULAMBILI alafu vidharau vyako vya kitusi vikuishe kuhusu TPDF. Ndiyo uje uzungumze hapa. Nimekutajia sehemu moja tu siwezi kuweka vitu hapa jukwaani kwa kuipenda nchi yangu.
 
Nimetembea kukuzidi wewe Tanzania hii sijafika Pemba tu kulikobaki kote nimefika na hata kwa baadhi ya nchi za Africa nimetembea zaidi ya nchi 13 Africa hii. Alafu tofautisha TPDF. Na hizo chuki zako za kiuongozi mpaka unasema Rwanda wanaweza kuchukua Tanzania. Utachekwa ndugu fatilia kuhusu TPDF alafu urudi hapa.
Ishu sio kutembea tu ishu ni kutambua tupo katika hali gani na kuikubali hii hali na kuchukua hatua . Usalama wa taifa badala ya kudeal na infiltration wana-deal na kuteka watu. Aisee tupo nyuma sana. Mtu anamnasa vibao Jaji anateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, baadae mkuu wa mkoa na leo ni mkuu wa mkoa. Na Usalama wa Taifa upo ? Mpaka najiuliza wanamshauri nini Rais ?
 
Sasa waambie hao mabwana zako wavamie Tanzania si wamevamia congo umeona wananguvu na ukaona wanaweza kuchukua na Tanzania. Unazungumza Lugalo kuwa na Flemu pale mjini?. Nenda PULAMBILI alafu vidharau vyako vya kitusi vikuishe kuhusu TPDF. Ndiyo uje uzungumze hapa. Nimekutajia sehemu moja tu siwezi kuweka vitu hapa jukwaani kwa kuipenda nchi yangu.
Sasa kama Rwanda wana watu serikalini unadhani watashindwa kujua data za hapa. Hivi unajua waliokuwa wanamlinda Jiwe walitoka kwa Kagame ? Unakaa kaa tu bila kufuatilia nchi yako.Mimi navyokuwambia kagame anaweza kuichukua Tanzania sikutanii mtanzania mwenzangu. Ni suala la kuamua tu.

Hili lililotokea iwe kengele kwetu tuamke na tuchukue hatua.
 
Ishu sio kutembea tu ishu ni kutambua tupo katika hali gani na kuikubali hii hali na kuchukua hatua . Usalama wa taifa badala ya kudeal na infiltration wana-deal na kuteka watu. Aisee tupo nyuma sana.
Nakuuliza swali jepesi sana jibu kwa akili timamu na Kama haujui nyamaza. Unavyoongea hivyo. je Tanzania ilikua inapigana na Rwanda?. Kwanini useme wanaweza kuivamia Tanzania na kuchukua?. Maana unavyoongea Kama Tanzania ilikua inapigana na Rwanda na kupigwa. Pole sana hizo fikra za kitusi kuwaza maeneo ya watu zitakuja kuwatokea puani
 
Nakuuliza swali jepesi sana jibu kwa akili timamu na Kama haujui nyamaza. Unavyoongea hivyo. je Tanzania ilikua inapigana na Rwanda?. Kwanini useme wanaweza kuivamia Tanzania na kuchukua?. Maana unavyoongea Kama Tanzania ilikua inapigana na Rwanda na kupigwa. Pole sana hizo fikra za kitusi kuwaza maeneo ya watu zitakuja kuwatokea puani
Hii nchi huijui ndugu yangu ndio maana unaongea kwa kukurupuka.
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Kibaya zaidi wanatumika kisiasa baada ya kushidwa , wanachofanya nikwenda kutoa pole kwa muanga mzanzibari kwa Agizo la raisi kana kwamba waliofikwa na madhira ayo ni wazanzibari tu kwanini Wasingetoa Habari ya kuwafariji wafiwa wote. Kwa nini nyumbani kwa raisi. Kwaiyo jeshi inaanza siasa??
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
ATanzania leaders should be bold like president Trump. If they are waiting sanctions from super power countries to work out miracle we are lying ourselves. What mult- billion dollars SGR construction mean to our country?? Our leaders should think way they may benefit from this ongoing crisis and act upon
 
Unataka na jeshi liache weredi wake liendeshwe na mihemuko ya mitandaoni?
 
Kibaya zaidi wanatumika kisiasa baada ya kushidwa , wanachofanya nikwenda kutoa pole kwa muanga mzanzibari kwa Agizo la raisi kana kwamba waliofikwa na madhira ayo ni wazanzibari tu kwanini Wasingetoa Habari ya kuwafariji wafiwa wote. Kwa nini nyumbani kwa raisi. Kwaiyo jeshi inaanza siasa??
Kuna kitu hakipo sawa! Kwa nini wanatuonesha taarifa ya kwenda kutoa polee saivi? Walikuwa wapi kutonesha miili ya askari wetu ilipokuwa inafika?

Au ni kwa sababu ya kelele za sisi wananchi baada ya kuona Jeshi letu halitoi taarifa kwetu? Hawaoni kutotupa taarifa kwa wakati kunatufanya tushindwe kujua issue ni nini hasa ukizingatia Wanyarwanda wanaendesha sana propaganda hasi dhidi yetu kwenyw mitandao ya kijamii?
 
Kuna kitu hakipo sawa! Kwa nini wanatuonesha taarifa ya kwenda kutoa polee saivi? Walikuwa wapi kutonesha miili ya askari wetu ilipokuwa inafika?

Au ni kwa sababu ya kelele za sisi wananchi baada ya kuona Jeshi letu halitoi taarifa kwetu? Hawaoni kutotupa taarifa kwa wakati kunatufanya tushindwe kujua issue ni nini hasa ukizingatia Wanyarwanda wanaendesha sana propaganda hasi dhidi yetu kwenyw mitandao ya kijamii?
Inaniuma sana kuona nchi yangu imefikia hapa kuna kipindi tuliheshimika sana kwa sababu ya Nyerere. Yaani tunadharaulika sana, na nchi inatumika sana kwa maslahi ya viongozi wasio na maono. Kiufupi hatuna jeshi zuri na bora kama zamani.
 
Nifuatilie nini TPDF ndugu yangu mimi naongea ukweli au nikuuulize Tanzania ya leo na ya 1980 ipi ina nguvu ? Jeshi lilikuwa zamani sio leo, nenda kambi za jeshi utafute discount store zao. Kuna kambi kubwa unakuta duka la jeshi hamna au kama lipo yaani mpaka unashangaa. Pita hapo Lugalo uone fremu zao walizojenga sijui zimeshaisha ? Maana kwa sasa sipo nchini.
Kaka eeee watu wanashindwa kujua kitu kimoja.
Nchi yoyote kukiwa na corruption( ufisadi na rushwa) taasisi za serikali zote lazima ziwe mbovu tuu.

Kwa hapa Tanzania watu wanafanya analysis ya majeshi duniani wanatukadilia kuwa jwtz Kuna active personal ktk jeshi letu ni 27000 tu.
Lkn tuna Budget ya USD billion 1.6 na ushee kwa mwaka.
Angola Wana active personal 110,000
Budget ya ni inakadiliwa mwaka 2023 ni 1.6 kama yetu.

Rwanda Wana active personal 33,000 ila budget Yao ni USD million 187.
Yani sisi tumewazidi mara 12.

Ila sisi tuna wanajeshi 27,000 wao 33,000.
Ndivyo wanavyotukadilia sasa ndo ushangae pesa zote hizo zinaenda wapi.
Maana sisi huku kwentu ndege za vita zote zile het ni za zamani sana. Zipo out of service hata waliotengeneza spear tuu hawatengezi ni za zamani.

Air defense system zetu zote ni za zamani.

Mizinga yote ni ya zamani hatuna mizinga mpya hapa bongo.
Mlrs zote ni za zamani BM 21, urgan BM 27 , lkn Kuna Chinese A 100 ambayo wachina wenyewe hawatumii coz walisema inapangufu mengi.

Sasa budget yote hio inaenda wapi.
Tujiulize hilyo kwanza
 
Kaka eeee watu wanashindwa kujua kitu kimoja.
Nchi yoyote kukiwa na corruption( ufisadi na rushwa) taasisi za serikali zote lazima ziwe mbovu tuu.

Kwa hapa Tanzania watu wanafanya analysis ya majeshi duniani wanatukadilia kuwa jwtz Kuna active personal ktk jeshi letu ni 27000 tu.
Lkn tuna Budget ya USD billion 1.6 na ushee kwa mwaka.
Angola Wana active personal 110,000
Budget ya ni inakadiliwa mwaka 2023 ni 1.6 kama yetu.

Rwanda Wana active personal 33,000 ila budget Yao ni USD million 187.
Yani sisi tumewazidi mara 12.

Ila sisi tuna wanajeshi 27,000 wao 33,000.
Ndivyo wanavyotukadilia sasa ndo ushangae pesa zote hizo zinaenda wapi.
Maana sisi huku kwentu ndege za vita zote zile het ni za zamani sana. Zipo out of service hata waliotengeneza spear tuu hawatengezi ni za zamani.

Air defense system zetu zote ni za zamani.

Mizinga yote ni ya zamani hatuna mizinga mpya hapa bongo.
Mlrs zote ni za zamani BM 21, urgan BM 27 , lkn Kuna Chinese A 100 ambayo wachina wenyewe hawatumii coz walisema inapangufu mengi.

Sasa budget yote hio inaenda wapi.
Tujiulize hilyo kwanza
Bora wewe umeongea ndugu yangu watanzania wengi wanajua uzalendo ni kutetea ujinga wa viongozi wasio na maono.
 
Kaka eeee watu wanashindwa kujua kitu kimoja.
Nchi yoyote kukiwa na corruption( ufisadi na rushwa) taasisi za serikali zote lazima ziwe mbovu tuu.

Kwa hapa Tanzania watu wanafanya analysis ya majeshi duniani wanatukadilia kuwa jwtz Kuna active personal ktk jeshi letu ni 27000 tu.
Lkn tuna Budget ya USD billion 1.6 na ushee kwa mwaka.
Angola Wana active personal 110,000
Budget ya ni inakadiliwa mwaka 2023 ni 1.6 kama yetu.

Rwanda Wana active personal 33,000 ila budget Yao ni USD million 187.
Yani sisi tumewazidi mara 12.

Ila sisi tuna wanajeshi 27,000 wao 33,000.
Ndivyo wanavyotukadilia sasa ndo ushangae pesa zote hizo zinaenda wapi.
Maana sisi huku kwentu ndege za vita zote zile het ni za zamani sana. Zipo out of service hata waliotengeneza spear tuu hawatengezi ni za zamani.

Air defense system zetu zote ni za zamani.

Mizinga yote ni ya zamani hatuna mizinga mpya hapa bongo.
Mlrs zote ni za zamani BM 21, urgan BM 27 , lkn Kuna Chinese A 100 ambayo wachina wenyewe hawatumii coz walisema inapangufu mengi.

Sasa budget yote hio inaenda wapi.
Tujiulize hilyo kwanza
huoni mijengo ilioshushwa mbweni JKT kule? huko ndiko fedha zinakoenda
 
Back
Top Bottom