Siku hizi ITV wakati mwingine wanasikitisha sanaBaada ya kuutangazia Ulimwengu kuwa kuna mtu kanusurika kupata kichapo, wakati wowote mnaweza kutakiwa kwenda kujieleza kama sio kuomba radhi
Huu ni utabiri tu jamani, muda ndio utathibitisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi ITV wakati mwingine wanasikitisha sanaBaada ya kuutangazia Ulimwengu kuwa kuna mtu kanusurika kupata kichapo, wakati wowote mnaweza kutakiwa kwenda kujieleza kama sio kuomba radhi
Huu ni utabiri tu jamani, muda ndio utathibitisha.
Hahahaaaa...... Bwire hayuko Ufipa bwashee!Hii imetengenezwa ufipa
Wangemtandika kabisaNaibu waziri wa Tamisemi, anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Source ITV Habari
Wangemtwanga vichwa kabisa akaongeza kuvimba usoniMwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wewe na uvccm wenzako tunawajua kuwa ni kina Thomaso, hata video tumewekewa lakini bado unaleta ubishi wako wa kindergartenMimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
acheni uselamavi jamaa,kwani vipii?Wangemtandika kabisa
Yule kiazi Alidhani akimtukana mbowe ndo atapendwa na wananchiBaada ya kuutangazia Ulimwengu kuwa kuna mtu kanusurika kupata kichapo, wakati wowote mnaweza kutakiwa kwenda kujieleza kama sio kuomba radhi
Huu ni utabiri tu jamani, muda ndio utathibitisha.
Video hii hapa Waitara akitimua mbioNaibu waziri wa Tamisemi, anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Source ITV Habari
OK yule kiazi aliyemdhalilisha mh mbowe amunusirka kichapo hiuko mwanzaUzi hauna kichwa wala miguu,mbele wala nyuma
kabisa mkuu, ila ngoja tusubiri tamko la mwenye mamlakaKwahiyo Waitara asingetoka baruti saa hizi mtaani kwake wangeanza maombolezo?!
Wanafikir watashika nyamagana au ilemela au zote 2020😄😄bavicha mlivyofurahi hii wiki yoote hamtalala.mataahira sana nyinyi.