Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Hiyo ni kazi ya gen z huko Nairobi sisi wa Tz hatuwezi hiyo kitu.
 
Wewe ni jizi Sasa endelea mzee ipo siku Yako Haina jina
 
Mimi hao sijawaona wakiiba nimemuona huyu wa Leo hao ni juu Yako wenye suti nzito usinilishe maneno
 
K
Kwa maswali yako dhaifu unauliza basi ni dhahiri wewe ni mwislam jina na mola mlezi hakutambui.

Kwa maswali yako dhoofu basi ni kielezo ya kwamba wewe hujasoma dini vyema na kuielewa.
Kweli kabisa sheikh, sharifu, maulana, Mufti mkuu Mimi mwanafunzi wako niko chini ya miguu yako , niambie SURATUL AL TAWRAT inapatikana juzuu ya ngapi na msahafu wa aina gani?!
Nifundishe Maallim wangu mkuu Mimi mwanafunzi sijui kitu ila Bado natafuta elimu na sisi tumeambiwa:
فاسألوا أهل الذكر إن كنتم لا تعلمون.
(Waulizeni watu wenye elimu ikiwa nyinyi hamjui) Mimi sijui chochote kuhusu Suratul Al tawrat Iko juzuu ya ngapi nifundishe sheikh wangu mkuu!.
 
Juzi naamka asubui nyumbani nakuta taa ya nje wameiba dah wezi wanatia hasira sana sasa mtu katoka huko alikotoka kapita na taa sasa najiuliza taa ya elfu tatu yeye ataenda uza shingapi dah wezi wanatia hasira sana wacha tu wawachome amna namna hapo
Ni wanakera sana
 
Nasema endelea na wizi wako ipo siku Yako Haina jina utajichanganya Kwa raia wasioijua kesho yao
Akili kisoda umekosa malezi tu ,endelea na ukatili wako kutoa damu za watu , na ukapimwe akili ,inashangaza kuona binaadamu anafurahia mateso ya binaadamu mwenzake , ushetani tu umekujaa
 
Akili kisoda umekosa malezi tu ,endelea na ukatili wako kutoa damu za watu , na ukapimwe akili ,inashangaza kuona binaadamu anafurahia mateso ya binaadamu mwenzake , ushetani tubumekujaa
Nasema ipo siku Yako inakuja mwizi wewe unasababisha mama zetu wanakufa na presha ipo siku yako
 
Nasema ipo siku Yako inakuja mwizi wewe unasababisha mama zetu wanakufa na presha ipo siku yak
Punguza ulevi u r talking nonsense ,mrudie mungu wako huko unapoelekea utagombana na kila mtu, mwizi kaiba kariakoo wewe unatuletea habari ya mama kufa , r u ok upstairs?
 
Mimi hao sijawaona wakiiba nimemuona huyu wa Leo hao ni juu Yako wenye suti nzito usinilishe maneno
Haha haha haha 😆 😆 😆
Generation z kule Kenya walivyojua wavaaji wa suti nzito ndio wezi wakuu wanaofilisi raslimali za nchi yao wakaamua kwenda kuwachoma moto huko bungeni.
Waheshimiwa walivyohisi hatari wakatoka mbio kupitia milango ya dharura. Gen z wakachoma moto majengo ya bunge ili hao waheshimiwa warudi vijijini kwao kulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…