Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
Na itakuwa huko Dubai keshaoa wake wanne wa kiarabu. Hataki shida na watu Tena.Hahaha ehe masawe kawa msafi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na itakuwa huko Dubai keshaoa wake wanne wa kiarabu. Hataki shida na watu Tena.Hahaha ehe masawe kawa msafi
Ova
Hiyo ni kazi ya gen z huko Nairobi sisi wa Tz hatuwezi hiyo kitu.Hao wanaojichukulia sheria kumchoma mtu moto eti wanauchungu wa kuibiwa simu au wallet wanashangaza. Tukiwaambia kuna hawa wanaotuibia mabilioni tuwakemee eti wanaona hayawahusu na hawana uchungu wowote.
Hivi wangekuwa na uchungu wa kweli na kuibiwa hawa kina Madelu wanaokwapua mabilioni na kutuletea ugumu wa maisha si wangewachoma moto na kusubiri nyama I've na kutafuna minofu yao kwa hasira kabisa?
Wewe ni jizi Sasa endelea mzee ipo siku Yako Haina jinaWewe ndio hutumii akili unatumia mihemuko ,huwezi kuua kwa kila kosa unalofanyiwa hisia na hasira inapunguza uwezo wa kufikiri , wewe ndio hukoseagi? Be reasonable. Mtu yoyote anayeendekeza hasira hasira huyo akili kisoda
Akili zetu na ukomavu wetu unapimwa katika mambp mengi kubwa ni uwezo wetu wa kidhibiti hasira na kusamehe, grow up
Nakuja pm nitumieSina picha Nina video na ni mbaya sana aisee
Mimi hao sijawaona wakiiba nimemuona huyu wa Leo hao ni juu Yako wenye suti nzito usinilishe manenoHONGERA sana kwa hilo. Pia muombe Mungu awaongoze watoto na wajukuu zako wasijejiingiza katika tabia za wizi na udokozi.
Ila ukweli watanzania wengi ni wezi.
Wengine ni waheshimiwa wakubwa wanaoshinda ndani ya suti nzitonzito lakini ni wezi wa raslimali za taifa huku wakijipangia mishahara minono.
Hichi kitu kimekaa kama utani ila kina ukweli ndani yake 😁😁😁😁Huyo Mwizi ni lazima tu atakuwa ni Shabiki Tukuka wa Yanga SC.
Empty head unapata nini kuua watu? Au sheria hakuna nchi hii, ukatili na roho mbaya tu imekujaa, wewe umekuwa mungu kuhukumu watuWewe ni jizi Sasa endelea mzee ipo siku Yako Haina jina
Kweli kabisa sheikh, sharifu, maulana, Mufti mkuu Mimi mwanafunzi wako niko chini ya miguu yako , niambie SURATUL AL TAWRAT inapatikana juzuu ya ngapi na msahafu wa aina gani?!Kwa maswali yako dhaifu unauliza basi ni dhahiri wewe ni mwislam jina na mola mlezi hakutambui.
Kwa maswali yako dhoofu basi ni kielezo ya kwamba wewe hujasoma dini vyema na kuielewa.
Nasema endelea na wizi wako ipo siku Yako Haina jina utajichanganya Kwa raiaEmpty head unapata kuua watu? Au sheria hakuna nchi hii, ukatili na roho mbaya tu imekujaa, wewe umekuwa mungu kuhukumu watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashabiki wa Utopolo wanaiba saaana siku hizi wakanunue jezi
Ni wanakera sanaJuzi naamka asubui nyumbani nakuta taa ya nje wameiba dah wezi wanatia hasira sana sasa mtu katoka huko alikotoka kapita na taa sasa najiuliza taa ya elfu tatu yeye ataenda uza shingapi dah wezi wanatia hasira sana wacha tu wawachome amna namna hapo
Akili kisoda umekosa malezi tu ,endelea na ukatili wako kutoa damu za watu , na ukapimwe akili ,inashangaza kuona binaadamu anafurahia mateso ya binaadamu mwenzake , ushetani tu umekujaaNasema endelea na wizi wako ipo siku Yako Haina jina utajichanganya Kwa raia wasioijua kesho yao
..akirudi tena uniambie mkuu😄Bado sijakamatwa nikkamatwa na Mimi nipewe haki stahiki
Nasema ipo siku Yako inakuja mwizi wewe unasababisha mama zetu wanakufa na presha ipo siku yakoAkili kisoda umekosa malezi tu ,endelea na ukatili wako kutoa damu za watu , na ukapimwe akili ,inashangaza kuona binaadamu anafurahia mateso ya binaadamu mwenzake , ushetani tubumekujaa
Hajarudi bhana🤣🤣🤣🤣..akirudi tena uniambie mkuu😄
😂😂Hajarudi bhana🤣🤣🤣🤣
...Kwa hiyo dunia hii yote kumejaa wezi?!Kwanini wamuue
Kila anayekosea angekuwa anauliwa sidhani kama Dunia ingekuwa na aatu
Punguza ulevi u r talking nonsense ,mrudie mungu wako huko unapoelekea utagombana na kila mtu, mwizi kaiba kariakoo wewe unatuletea habari ya mama kufa , r u ok upstairs?Nasema ipo siku Yako inakuja mwizi wewe unasababisha mama zetu wanakufa na presha ipo siku yak
Haha haha haha 😆 😆 😆Mimi hao sijawaona wakiiba nimemuona huyu wa Leo hao ni juu Yako wenye suti nzito usinilishe maneno