My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Ngoja kwanza, Hizo kafara zinatolewa vipi?

Huyo mtu anaye tolewa kafara anauwawa vipi?

Au wanamteka kisha kumuua?
mwanangu Infro mimi huwa nakuafiki vingi lakini tunatofautiana pointi ya uchawi.
babu believe me uchawi upo.

nimefanya kazi za kitumwa kwa mabosi. bro acha tu. nimeshuhudia mambo machafu sana ya wenye pesa. acha kaka. hii dunia ni ya kipuuzi sana.

ambayo sitasahau ni mtoto mchanga alifukiwa akiwa hai nashuhudia. nazi inapasuliwa anatoka mbuzi. babu hii dunia ina mazito. ukiwa kwenye harakati zisizo rasmi unapata kuona mambo ya ajabu sana ya dunia.
 
YE haogopi bifu kwa aliowataja? Mbona kama hatari sana kwake.
 
Ndio maana mainstream media za ulimwengu walitumia nguvu nyingi sana kudhoofisha ile taarifa na scandal ya kuwepo kwa satanic cult ya sexual trafficking inayohusisha viongozi na waliowahi kuwa viongozi wa serikali ya Marekani Kwa watoto wadogo aka pizzagate ambapo vigogo wakubwa pale Marekani kama akina Clinton ,Bush ,Dick Cheney nk walihusishwa ,enzi zile za Trump
Na ndio maana leo hii kila ukigoogle unakutana na maneno kwamba pizzagate ni conspiracy theory , kitu ambacho si kweli , wanatumia nguvu kubwa mno kuficha hizi skendo
 
yaaani ukisomaa hizi post za didy ukilalaa kifudifudi tu dk 10 unashtuka inalalia upandeee aiseeee imeshtusha wengi sana

Hata watoto zenu wakikua angalien. age zao hata kama wanaume wengine sio wa kulaza pamoja na mpaka uje jua wameshahondomolana sana tu

M namtoto wa mama mdogo tulikuwa msiba mmoja wakazima taa akaamka anamshika nduguyake kabisa nikaliamsha na dogo nae akanza kulalamika...

mwisho akaja dar akawa tajiri sana hakuna anaejua siri malori manne dalala kama 5
gafla kagorofa nkakutana nae Juliana club mwaka Jana kaka upo kimya sana wapi hioo niko kwa wasure mbezi beach nimenunua gorofaa karibu sanakaka

nkamwambia aise kumbe tumepishana m nilijenga we ulinunua sehemu hizohizo

akataka kuanza kumchunguza ajee weeee....nkasema anataka kuntia kafara nn

May alamamatwa na madawaa kibao ya kuvyale

Mwaka huu wakamtunuku miaka ya rekelly

Aisee usitaman mali za jirani yako wala ndugu zakoo ukijua walivuozipataaa

dogo alizaa wanae 3 wawili akazika mwaka unafatana..hope haka kamoja Mungu kamwekea utajiri mpaka baba atoke ashakuwa tajiri

Kama m namalizana nae kabisa huko jela wammalizie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…