Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Ongezea tena fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na watu wengine ambao kipindi wanaandika walikuwa hawakufikirii wewe mmatumbi.
 
Ikifika Jumapili wewe zuga tu kwamba unaenda kanisani,ukiamka asubuhi jitayarishe Kisha chukua Biblia yako na utoke ujifanye unaenda kanisani...ukifika huko njiani fanya diversion uingie kijiweni ukapige story na Wana ama uende kwenye movie[emoji23]
Anataka tuwe tunaongozana mguu kwa mguu
 
Wala huna haja ya kumkaripia, labda kama alikwambia kwa njia ya kukushushia heshima ila kama aliongea politely wala huna haja ya kumkasirikia.
Mi nliona kama ni uchonganishi, alishindwa nini kuniambia privately mpaka aanze kusema eti namkaidi mama angu pale sebuleni?
 
Sad generation[emoji29]
 
Kwa hiyo mnaenda kanisani kumfurahisha mama na wala siyo Mungu?? [emoji12] [emoji12] Hii tabia ya unafiki wanayo wengi sana, ukikutana na mzazi anayejiongeza unakuta anaulizilia marafiki zake huko town " vipi vijana huko mjini huwa mnawaona makanisani au msikitini?" anajibiwa kila kitu. Sasa wewe siku ukienda home na kujifanya mtu wa dini kumfurahisha yeye anakuchora tuu.. [emoji23]
 
Da nimekuonea huruma sana mdogo wangu.unayo haki ya kubehave hivyo.Inawezekana umepoteza iman na Mungu wako kwa kukosa matokeo ya kile ulichoamini kutokana na kuwa kwako karibu na Mungu.wewe umekuwa wazi lakini hili tatizo linawakumba wengi.Hasa wale wanaotegemea majibu ya haja zao kwa haraka halafu haiwi hivyo.

Ze botom line ni kwamba siyo uzushi,ni kweli Mungu ana exist.na ni kweli pia ukitenda dhambi utakula hukumu ya milele.na ni kweli pia usipowaheshimu wazazi siku zako za kuishi zitakuwa chache.na pia ukiwa umategemea mzazi kama hivyo ulivyo wewe ni miaka yako 24 bado uko home,ni vizuri kutii mashart ya mwenye nyumba.ujue inawezekana umelishwa matango pori ya mtandaoni au na wapinga dini na wewe ukaingia mzima mzima.savabu imani yoyote chanzo chake ni kusikia.sasa inategemea umesikia nini na kwa nani kuhusu Mungu

Tafakari badili tabia ingali bado mapema.Ila pia kila jambo lina wakati wake.Mimi ninauhakika hutaweza kupotelea huko kwenye uhasi maana Mungu ni wa Neema. Mungu wangu aliyehai akurehemu,akuondelee dhambi hii ya uasi
 
Sasa bora kubishana nae? Bora akuone mnafiki ila awe na amani kwamba ukiwa mbele yake una adabu zote na sio kubishana. Utii kwa mzazi ni lazima.
 
Dini ni utumwa wa kipuuzi walioleta wazungu na waarabu
 
God could be there, Im not saying God is there.
Understand the differenece
Viashiria vipi sasa vinakufanya useme kuna uwezekano Mungu yupo? Nilichogundua we ni mbishi na hutaki uweke mind yako iwe free kupokea mawazo mapya, may be unahisi tupo kwenye ushindani wa who is right and who is wrong, hata nikikuuliza kwa nini unahisi kuna uwezekano wa uwepo wa Mungu kama unavyosema utaanza kuleta siasa... Kikubwa umeomba ushauri, ushauri wangu nenda kanisani kama mzazi wako anavyosema kuhusu kusikiliza neno nni juu yako, unaweza kumlazimisha farasi kwenda kwenye maji lakini huwezi mlazimisha anywe maji m
 
Reactions: Cyb
Solution ni kuhama hapo nyumbani,
Ukiwa na maamuzi yako basi uwe na kwako ambapo unaweza kujipangia hama hapo na hayo unayosema ni usumbufu yataisha

Ila kama Mama yako ni mtu wa imani ya kweli ipo siku utakumbuka housegirl na Mama yako walipokuweka chini na kukuelekeza.
 
Afadhali wewe umekuwa muwazi .
Huo ndio umuhimu mkubwa wa dini kwa Africa hasa usipokuwa tajiri. Mahusiano ya kijamii.Ndoa, kusaidiwa katika shida kubwa na kuzikana.
Ni aina fulani ya uoga wa maisha pia.
😀😀😀 Hakuna tajiri ambae hana dini kacheki hata hao top 100.
Pili siendi kanisani wala msikitini, niliacha hayo mambo, even my father dont do that.
Lakini kwa uzoefu wangu mdogo, im above 35, i am educated. Nimeiona changamoto ya hiyo lifestyle.
To each his own, nilichotoa ni ushauri tu.
Sir Chande Freemason, lakini alizikwa kwa rituals za ki Hindu, Bob Marley na Jah wake mwishowe akarudi Roman Catholic akazikwa...Kingunge Ngombale Mwiru.
Kuna sehemu kasema wachina hawaamini Mungu, nikajua hata research simple tu hafanyi. Wachina na mambo spiritual ni wakongwe dunia hii, leo mtu anasema hawaamini uwepo wa Mungu/miungu🤗
 
Mnachekesha sana nyie watu lol
Sio tunachekesha. Hakuna hasara africa tunayo kama kubadili maisha yetu ya asili na kujifanya ni watu wa kisasa. Ukiangalia huyu wazazi walimchelewa. Hv hujiuliz kwanini ni watoto wachache wa kiarabu wanaishi tofauti na tamaduni zao? Sisi tumepoteana kuhc kila kitu ni usasa. Nina binti ana miaka 23 na ninakuhakikishia akiwa kwenye dari langu atafuata kila nilichoratibu aisee. Acha niendelee kuitwa mkuda tu.
 
Imani ya kikristo inazalisha Aesheists wengi mno mna sio imani sahihi ndo mna wengi wasioamini Mungu wametokea huko kwenye ukristo

Am proud to be a Muslim
 
Kupungukiwa imani ni tatizo linaletwa na usasa! Mama yako anakuelekeza njia iliyo njema. Sali sana uondokane na hako kashetani ka-usasa kalikokukamata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…