Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Yesu alikuwa na nyumba?
Au je Yesu alikuwa ana familia au watoto kama wewe hapo kwenu?
Tumia Logic unapotoa hoja zako.

Sheria inasema; Waheshimu Baba na Mama yako.
Hiyo ni SHERIA na amri.
Ukishakuwa upo nyumbani lazima amri hiyo uitekeleze iwe Kwa hiyari yako au Kwa nguvu.
Hii dunia yenyewe tunayoishi sio ya Mungu? Yesu sio Mungu?
Sisi sio 'watoto wa Mungu' according to bible?
Kwanini Yesu hakuja na fimbo kulazimisha watu wamwamini?

Hiyo sheria ya waheshimu baba yako na mama yako ni ya kiimani, ukishaamini hiyo imani ndio unapaswa ufuate hiyo sheria.
Sasa kasheshe ipo hapo kwenye kulazimisha mtu aamini hiyo imani.

Na wewe leo hii baba yako akikupigia simu akasema Robert kesho twende tukatoe kafara za watu kwa mizimu utaenda kwasababu "waheshimu baba yako na mama yako?"
 
Kwa ushauri, take it slow. Wengi wa wazazi wetu wamekua wakiamini dini kwa asilimia mia. Kumtoa mia (kuamini dini bila kuhoji) mpaka sifuri (atheism) ni kumuonea. Ni ngumu mno. So we cheza naye tu 50/50 hapo afu mpe muda wa kuadjust. Itafika kipindi atakuewa tu.
Mimi nimeamua play low maana bibi yangu akijua siendi church kwa sababu nimeona hizo fiction zimenichosha, nahisi atafariki kwa kihoro ndani ya mwaka tu na nisingependa kumpoteza kizembe hivyo so I play around tu. Fortunately nipo kwangu, yupo kwake.
Cheers!
Cheers, ila sasa kasheshe ni hii ya kwenda kila jumapili saa 2 hadi saa 8.
Inaboa kinoma, especially when you can read between the lines, and see through the lies. Yani sadaka inaombwa kama nini mara ooh "Mungu atakubariki, Mjaribu mungu kwa kumtolea" halafu wanakula wao.
Anyway kusema ukweli naenda tu lakini nikiwa pale kanisani napata mental torture kubwa sana... Pamoja na simu kunisaidia kunidistract lakini bado haitoshi.
Anyways wacha niendelee bana kufuata ushauri wako, lakini kwa hii case sidhani kama watakuja kuelewa, maybe nikijitegemea ila as long niko hapa hawatawahi kuelewa.
 
Mama yako anataka uwe mcha mungu ukue katika maadili mema
Kingine unakaa kwake fanya kama amri na maagizo mengine siku ukiwa kwako ndo utaamua wewe cha kufanya
 
Tofautisha mamlaka au tawala na Imani.

Mzazi anachokifanya ni kutumia utawala na mamlaka yake kuhakikisha sheria alizoziweka hapo nyumbani ikiwa ni pamoja na members wote wa familia kwenda kanisani wanafuata amri hiyo.
Suala la kuwa unaamini au hauamini hiyo sio juu yake. Hiyo ni juu yako.
Yeye anachotaka ni kutii matakwa yake. Wala mambo ya Imani yako hayamhusu.
Sasa kama imani yangu haimhusu...nikiwa siamini Mungu naenda kanisani kufanyaje?
 
Na dini hizi ndio zimehusika kama tools za uharibifu na maovu yafiyoelezeka kuliko kitu kingine toka dunia hii iumbwe tokea kwenye zile Spanish inquisitions Kule Europe under Roman Catholic , crusades ,witch hunts Kule America , Colonialism na slavery na genocides ,vita vya kidini ,terrorism in jihad vilikuwa justified na dini hizo hizo , kwamba tunaenda kuwatawala ,kuwaua savages na kuwacivilize .
Hadi leo hizo dini zimeendelea kutumika kama tools za kuinstill racial superiority , unakuta jitu limeandika picha ya Cesar Bogare ,au anaabudu lisanamu la bikira Maria mzungu ,wtf ,au anaenda kusujudia makaburi ya mtume muhamad takataka gani sijui
Kuna quote nimesahau nani alisema "Religion can make even a proffesor act foolish"
Yani kabisa bado karne hii unakuta professor anaamini akifumba macho akasali kuna invisible force in heaven itamsikia na kumletea majibu. Na isipomjibu ni "mapenzi yake yatimizwe"
 
Kama kwa mwamposa Ni heri uchukue jembe ukalime Ila Ni Kama Ni eagt ,fptc,tag ,klpt nenda,Kweli Mungu yupo na anasikia maombi na anabariki,na kimsingi Mungu ananisaidia vitu vingi na nikiweza kusikia sauti yake siku moja.uzinzi na tamaa za kidunia zisikuaminishe kuwa hakuna Mungu
 
Tayari umeharibikiwa kwa kiwango kikubwa,Mungu yupo Ila Ni wapumbavu tuu peke yao ndio hukataa uwepo wake
 
ishu sio mimi kuamini au kutoamini, huo ni uamuzi wangu binafsi kwasababu nimeshazidi 18 na nina uwezo wa kupambanua.

ishu ipo kwenye uhuru wa kuabudu. Kwanini tulazimishane?
Sasa si ukaishi kwako kwanini bado unakaa kwenu na tayari una 18?
 
Yani mpaka umefikia hatua ya kusema kuwa mwanao akiacha dini sio mwanao bali ni maradhi.

Hii inadhihirisha jinsi dini yako ilivyokula nafasi kubwa kwenye ubongo wako.

Tena hiyo ilikuwa nafasi ya muhimu kabisa ambayo ungeitumia kufikiria mambo ya maana, ila wewe umeijaza dini.
Ndio haya haya yanavaa mabomu na kuenda kujilipua kuua watu flani kisa si watu wanaoamini hilo li dini lake , yaani kama kuna upuuz na biggest scam Chini ya dunia hii tena ambayo ni so powerful na inalindwa na wahanga wayo basi ni dini .
 
Mambo vipi wakuu,
Nimemaliza chuo mwaka jana, I am 24. nipo nakaa hapa nyumbani ila kuna tatizo la kiimani.

Mom analazimisha kila jumapili niende kanisani.
Kiuhalisia mimi saivi sina imani kabisa na kanisa au maswala ya Mungu naona kama ni utapeli na mambo ambayo binadamu walitengeneza tu hayana ukweli wowote.

Sasa nikaanza kamgomo kangu baridi ka kutoenda, kila ikifika j'pili nakuwa na kisingizio tofauti, mara naumwa, sijiskiii etc.

Sasa imeenda hivyo mwishowe mama akaamua anifungukie kuwa as long as bado naishi chini ya paa lake, kwenda kanisani ni lazima. Akajaribu kunidadisi kwanini sipendi kwenda, Mimi nkaona kabisa nikimwambia siamini tena maswala ya dini atapata presha bure.

Nkawa namuambia kuwa siamini katika kusali kanisani maana Mungu yupo moyoni na naweza kumuomba siku yoyote iwe juma3 au juma4, na nkamuambia kama biblia nnayo kwenye simu naisoma kila siku na nasali kila siku.
ila akawa haelewi anasema biblia inasema "wakutanapo wawili kuna Mungu...bla bla bla"

Sasa mimi nkamuambia "Nikuambie tu sasa ukweli, Mimi naona ibada ni kati yangu na Mungu wangu wala sio kati yangu mimi na wewe na mungu. Kwahyo kama unanilazimisha kwenda kanisani, ntaenda ili nikufurahihishe tu, ntakuwepo kimwili kanisani ila kiroho na kiakili sitakuwepo kanisani"
Akaanza kusema niende kwa ajili yangu sio kwa ajili yake
Nkamuambia "sasa mimi sijawiwa kwenda, ila wewe ndo umenlazimisha nifanyeje?"

Akakaa kimya. ila siku hiyo alikasirika siku nzima na ilikuwa jumapili akaanza mpaka kusema "Mimi ningekuwa na nyumba nyingine ningeenda kuishi nikawaacha maana haina maana kukaa na watu hamnitii"

Mimi nikamuambia "Lakini mama, Swala la kanisani sio la utii kwako, ni la kwangu na Mungu na wala hutakiwi kunilazimisha"

Akasema "Sisi ndivyo tulivyolelewa, na watoto wangu wote nimewakuza hivyo mpaka leo wanasali, wewe ndio unataka kupinga siwezi kukubali. Subiri ujitegemee ndiyo ukaidi, ila as long as bado upo chini yangu kanisani ni lazima"

Nikaendelea kutokwenda kibishi kibishi tu.

Lakini housegirl ndio siku moja akaja akayatibua tena..Tumemaliza kula usiku mara akaanza kusema kabla hatujalala ana jambo la kuniambia pale sebuleni.

Housegirl: "She, leo nikuambie tu mbele ya mama hapa, hili swala linaniumiza mno. mkubwa anakuambia kitu halafu unakaidi. Sio vizuri na leo imenifika shingoni lazima nikuambie. Sio vizuri unapomkaidi mama yako na kupinga kwenda kanisani au kwenda kwa kuchelewa sana.Huyu ni mkubwa na mkubwa akisema kitu wewe mtoto unatakiwa ufuate. Mungu anakupima, huenda ukimtii na ukaenda kanisani utafunguliwa hata mambo yako mengi kama kupata ajira"

Ukawa mjadala mrefu sana pale wakisapotiana na mama.

Sasa mimi nikaona hii ishakuwa kesi, ila nikaona usiwe ubishi usio na faida pale sebuleni, maana hata niseme kwa lugha ipi, hata niongee kigiriki na kiyunani. Hawa watu hawawezi kunielewa. Ni kwamba wako brainwashed na dini ya mzungu mpaka stage kwamba mimi ndio wataniona punguani.

Sasa nkamuangalia mama nkaona kama anaumia moyo sana kwa ajili yangu na kisa ni kwenda kanisani tu.
Isiwe kesi sana

Ikabidi sasa nitumie hekima tu niwajibu "Nimewasikia, Mungu hutumia watu wake kufikisha ujumbe, na leo amewatumia nyie kufikisha ujumbe kwangu. Kwahyo nimesikia na kwa utiifu kuanzia sasa nitaanza kwenda kanisani Amina"

Lakini kanisani naenda na simu, nakaa nyuma nachati ibaada nzima hadi muda wa kuondoka hata ukiniuliza muhubiri alikuwa jinsia gani au alikuwa amevaa nguo gani au amehubiri nini wala sijui.
Yani sipendi kabisa naona kama napoteza tu muda wangu huko.
Ikifika jumapili nakosa raha kabisa kwasababu hiyo.

Sasa wakuu, naombeni ushauri wenu, Nipo sahihi? Au nisimamie msimamo wa kutoenda? Au niendelee kwenda kwa kuwafurahisha tu? Au niwaambie nimeasi kabisa?

Nani yuko sahihi hapa, kati yangu na mama?
Insanity is popular right now.
 
Asiyesikia la mkuu...
Waheshimh baba yako na mama yako

Kijana kuna faida nyingi kujihusisha na ibada

Utaelewa tu lakini..zipo siku
 
Mambo vipi wakuu,
Nimemaliza chuo mwaka jana, I am 24. nipo nakaa hapa nyumbani ila kuna tatizo la kiimani.

Mom analazimisha kila jumapili niende kanisani.
Kiuhalisia mimi saivi sina imani kabisa na kanisa au maswala ya Mungu naona kama ni utapeli na mambo ambayo binadamu walitengeneza tu hayana ukweli wowote.

Sasa nikaanza kamgomo kangu baridi ka kutoenda, kila ikifika j'pili nakuwa na kisingizio tofauti, mara naumwa, sijiskiii etc.

Sasa imeenda hivyo mwishowe mama akaamua anifungukie kuwa as long as bado naishi chini ya paa lake, kwenda kanisani ni lazima. Akajaribu kunidadisi kwanini sipendi kwenda, Mimi nkaona kabisa nikimwambia siamini tena maswala ya dini atapata presha bure.

Nkawa namuambia kuwa siamini katika kusali kanisani maana Mungu yupo moyoni na naweza kumuomba siku yoyote iwe juma3 au juma4, na nkamuambia kama biblia nnayo kwenye simu naisoma kila siku na nasali kila siku.
ila akawa haelewi anasema biblia inasema "wakutanapo wawili kuna Mungu...bla bla bla"

Sasa mimi nkamuambia "Nikuambie tu sasa ukweli, Mimi naona ibada ni kati yangu na Mungu wangu wala sio kati yangu mimi na wewe na mungu. Kwahyo kama unanilazimisha kwenda kanisani, ntaenda ili nikufurahihishe tu, ntakuwepo kimwili kanisani ila kiroho na kiakili sitakuwepo kanisani"
Akaanza kusema niende kwa ajili yangu sio kwa ajili yake
Nkamuambia "sasa mimi sijawiwa kwenda, ila wewe ndo umenlazimisha nifanyeje?"

Akakaa kimya. ila siku hiyo alikasirika siku nzima na ilikuwa jumapili akaanza mpaka kusema "Mimi ningekuwa na nyumba nyingine ningeenda kuishi nikawaacha maana haina maana kukaa na watu hamnitii"

Mimi nikamuambia "Lakini mama, Swala la kanisani sio la utii kwako, ni la kwangu na Mungu na wala hutakiwi kunilazimisha"

Akasema "Sisi ndivyo tulivyolelewa, na watoto wangu wote nimewakuza hivyo mpaka leo wanasali, wewe ndio unataka kupinga siwezi kukubali. Subiri ujitegemee ndiyo ukaidi, ila as long as bado upo chini yangu kanisani ni lazima"

Nikaendelea kutokwenda kibishi kibishi tu.

Lakini housegirl ndio siku moja akaja akayatibua tena..Tumemaliza kula usiku mara akaanza kusema kabla hatujalala ana jambo la kuniambia pale sebuleni.

Housegirl: "She, leo nikuambie tu mbele ya mama hapa, hili swala linaniumiza mno. mkubwa anakuambia kitu halafu unakaidi. Sio vizuri na leo imenifika shingoni lazima nikuambie. Sio vizuri unapomkaidi mama yako na kupinga kwenda kanisani au kwenda kwa kuchelewa sana.Huyu ni mkubwa na mkubwa akisema kitu wewe mtoto unatakiwa ufuate. Mungu anakupima, huenda ukimtii na ukaenda kanisani utafunguliwa hata mambo yako mengi kama kupata ajira"

Ukawa mjadala mrefu sana pale wakisapotiana na mama.

Sasa mimi nikaona hii ishakuwa kesi, ila nikaona usiwe ubishi usio na faida pale sebuleni, maana hata niseme kwa lugha ipi, hata niongee kigiriki na kiyunani. Hawa watu hawawezi kunielewa. Ni kwamba wako brainwashed na dini ya mzungu mpaka stage kwamba mimi ndio wataniona punguani.

Sasa nkamuangalia mama nkaona kama anaumia moyo sana kwa ajili yangu na kisa ni kwenda kanisani tu.
Isiwe kesi sana

Ikabidi sasa nitumie hekima tu niwajibu "Nimewasikia, Mungu hutumia watu wake kufikisha ujumbe, na leo amewatumia nyie kufikisha ujumbe kwangu. Kwahyo nimesikia na kwa utiifu kuanzia sasa nitaanza kwenda kanisani Amina"

Lakini kanisani naenda na simu, nakaa nyuma nachati ibaada nzima hadi muda wa kuondoka hata ukiniuliza muhubiri alikuwa jinsia gani au alikuwa amevaa nguo gani au amehubiri nini wala sijui.
Yani sipendi kabisa naona kama napoteza tu muda wangu huko.
Ikifika jumapili nakosa raha kabisa kwasababu hiyo.

Sasa wakuu, naombeni ushauri wenu, Nipo sahihi? Au nisimamie msimamo wa kutoenda? Au niendelee kwenda kwa kuwafurahisha tu? Au niwaambie nimeasi kabisa?

Nani yuko sahihi hapa, kati yangu na mama?
Insanity is popular right now.
 
Na dini hizi ndio zimehusika kama tools za uharibifu na maovu yafiyoelezeka kuliko kitu kingine toka dunia hii iumbwe tokea kwenye zile Spanish inquisitions Kule Europe under Roman Catholic , crusades ,witch hunts Kule America , Colonialism na slavery na genocides ,vita vya kidini ,terrorism in jihad vilikuwa justified na dini hizo hizo , kwamba tunaenda kuwatawala ,kuwaua savages na kuwacivilize .
Hadi leo hizo dini zimeendelea kutumika kama tools za kuinstill racial superiority , unakuta jitu limeandika picha ya Cesar Bogare ,au anaabudu lisanamu la bikira Maria mzungu ,wtf ,au anaenda kusujudia makaburi ya mtume muhamad takataka gani sijui
Huna chochote unachojua,Nina hakika Mungu yupo na anasikia,wewe kwa elimu yako uchwara unajikuta kuwa unajua kila kitu,wewe unadhani unaakili kushinda akina newton
 
Okay yeye anaona napotea, ila mimi sipotei.
Kwasababu nawajua wengi huko kanisani wahuni kuliko hata mimi nisiyeenda.

Au Kupotea una maana gani? Maana kitabia mimi ni mtulivu na wala sina uhuni wowote.

Na hata nikisema niende kumfurahisha, kiimani imekaaje? Maana siamini huko nakoenda.
Sasa si uende unakoamini
Au ushakua mpagani mwana wee
 
Back
Top Bottom