Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

We share the same case study asie mimi sikuta ujinga nilikata utumwa wa fikra na maendeleo yangu ni mazuri kuliko awali.
uko sahihi kikubwa ni kuwa na amani ya moyo inner peace,mimi nawaambiaga kwa mifano mbona mababu zetu hawakuwa na dini na waliishi vizuri na kuwa na maadili ya juu kuliko zama hizi za dini na maadili mabovu.
Unaweza kuvuka salama wewe ila wanao wakawa na changamoto🤗.
Bora uende sometimes kutimiza hata connection za normalities. Siku ukifa halafu watu wakaamua kufunika tu wakasepa familia yako itajiskia vibaya sana. Au ukifiwa na mwanao watu wanashindwa process, hadi inabidi ndugu zako wa kanisani au msikitini watu wawadhamini tu ili kudumisha mahusiano. Dini zinasaidia kudumisha mahusiano kati ya wanadamu mkuu apart from spiritual matter.
 
Mshana Jr hivi unakaelewa haka katoto kanakosema kamesoma vitabu vya madhehebu yote sijui dini zote? hadi kujinasibu kuwa kapo tayari kuulizwa swali lolote liwe la kutoka ukristo au kutoka uislam au budha au India
 
Mi naomba nikuulize swali unijibu..
Je kitu ambacho hakipo kinaweza tengeneza kitu ambacho kipo na kinaonekana?
Nimjibie kwa niaba?

H2+O=H2O yaani hewa ya oxygen na hewa ya haidrojen both are invisible but when they react, they form visible product known as WATER je, na hiki kitendo kinatendwa naturally na mazingira ama kupitia kwa wanasayansi mnaowapinga, je bado mtaendelea kutumia fikra zenu za kipumbavu kuwatishia wasio amini imani zenu?
 
We share the same case study asie mimi sikuta ujinga nilikata utumwa wa fikra na maendeleo yangu ni mazuri kuliko awali.
uko sahihi kikubwa ni kuwa na amani ya moyo inner peace,mimi nawaambiaga kwa mifano mbona mababu zetu hawakuwa na dini na waliishi vizuri na kuwa na maadili ya juu kuliko zama hizi za dini na maadili mabovu.
Unaweza kuvuka salama wewe ila wanao wakawa na changamoto🤗.
Bora uende sometimes kutimiza hata connection za normalities. Siku ukifa halafu watu wakaamua kufunika tu wakasepa familia yako itajiskia vibaya sana. Au ukifiwa na mwanao watu wanashindwa process, hadi inabidi ndugu zako wa kanisani au msikitini watu wawadhamini tu ili kudumisha mahusiano. Dini zinasaidia kudumisha mahusiano kati ya wanadamu mkuu apart from spiri
 
So Far Anti Christ wameanza kujionyesha wazi... Mwisho wa Dunia umefika tena kumbukeni katika kiumbe hatare katika sure ya Dunia ni Ke...Sasa kimeamka kumbukeni Maovu yote wao ndiyo waanzilishi.
 
Na kuna tumain siku z mwish kuish na kufurai
Yes, hiki ndio kitu pekee dini ina offer.
ila sadly sio kitu tangible, maana unakuwa na tumaini na kitu usichokuwa na ushahidi nacho.
Ni sawa na mtoto mdogo afiwe na mzazi wake halafu aulizie baba yuko wapi? Kwasababu ya udogo wake mnaamua kumdanganya amesafiri atarudi, kila siku atarudi atarudi.
Hilo tumaini la atarudi ni zuri maana mnajua akijua hatarudi ataumia sana.
Ndivyo ilivyo kwenye dini.
 
So Far Anti Christ wameanza kujionyesha wazi... Mwisho wa Dunia umefika tena kumbukeni katika kiumbe hatare katika sure ya Dunia ni Ke...Sasa kimeamka kumbukeni Maovu yote wao ndiyo waanzilishi.
Kweli ila inabid wakombolew wanao komboka
 
Nimjibie kwa niaba?

H2+O=H2O yaani hewa ya oxygen na hewa ya haidrojen both are invisible but when they react, they form visible product known as WATER je, na hiki kitendo kinatendwa naturally na mazingira ama kupitia kwa wanasayansi mnaowapinga, je bado mtaendelea kutumia fikra zenu za kipumbavu kuwatishia wasio amini imani zenu?
Hizo ni maada tayari, vinaweza kugundulika uwepo wake kwa kuchukua nafasi, harufu, density n.k rejea sifa za maada NB gas ni aina ya maada(matter), mimi nimekuuliza kitu ambacho hakipo kinaweza tengeneza kitu ambacho kipo na kinaonekana? jibu tafadhali mkuu...
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Yes, hiki ndio kitu pekee dini ina offer.
ila sadly sio kitu tangible, maana unakuwa na tumaini na kitu usichokuwa na ushahidi nacho.
Ni sawa na mtoto mdogo afiwe na mzazi wake halafu aulizie baba yuko wapi? Kwasababu ya udogo wake mnaamua kumdanganya amesafiri atarudi, kila siku atarudi atarudi.
Hilo tumaini la atarudi ni zuri maana mnajua akijua hatarudi ataumia sana.
Ndivyo ilivyo kwenye dini.
Njoo pm sorr maana ww
 
Dah mimi kwa hali hii nayoina nitarusha taulo nirudi nyuma..Maana kama mama anapata msononeko na mawazo kisa sijaenda kanisani, sio sawa.
Wacha nijiumize tu kumfurahisha, Maisha haya mafupi.
Mim kumfurahisha mtu kwa jambo naloliona ni uongo siwezi, niliwai kujikaza kuwafurahisha wazaz lakini nilishindwa.

Wachukie, wasononeke, wapanik, ilo watajijua wao maana ni Jambo langu private, hata Huyo Mungu wao mbona kawafunza kuwa imani ni jambo la mtu na Mungu na sio watu na Mungu? Yaan hakuna mtu anaruhusiwa kukuingilia wew na Mungu wako kivyovyote vile.

Kusema kuwa unakuwa humtii mzazi kisa umegoma kufuata masharti yake ya kwenda kanisan unakuwa umekosea, maana kama ni hivyo basi hata waganga wanapolazimisha kuwarithisha uganga watoto zao nao wanakuwa wako sahihi maana watoto watatakiwa kutii kwa mujibu wa Wafia dini jinsi wanavyotaka kutuaminisha.

Kaza fuvu mpaka wao wakubaliane na wew, nasio wew ukubaliane nao, huu ndio ukwel mchungu, hizo dini ni angamizo la akili na Roho, huwezi kuwa timamu kwa kushika dini.

Afrika bila dini ingekuwa mbali sana
 
Shoga wako ni agent w kuzmHaelew umuim wa din
Ninaelewa umuhimu wa dini, na sijasema dini haina umuhimu.
Inao umuhimu ila sio kwangu.

ili ukontrol watu inabidi waamini kitu kimoja, kwahyo dini inarahisisha watu kuwa controlled, ni muhimu watu kuwa controlled maana kila mtu akiwa enlightened itakuwa ngumu kuendesha serikali na tawala mbalimbali.

Inabidi uwe na kundi kubwa la kondoo ili nchi iende.
 
Kama anakulazimisha kwenda kanisani ana nia nzuri ila si sawa kama anakulazimisha kwenda kwa Mwamposa
 
Yes, hiki ndio kitu pekee dini ina offer.
ila sadly sio kitu tangible, maana unakuwa na tumaini na kitu usichokuwa na ushahidi nacho.
Ni sawa na mtoto mdogo afiwe na mzazi wake halafu aulizie baba yuko wapi? Kwasababu ya udogo wake mnaamua kumdanganya amesafiri atarudi, kila siku atarudi atarudi.
Hilo tumaini la atarudi ni zuri maana mnajua akijua hatarudi ataumia sana.
Ndivyo ilivyo kwenye dini.
Nikuulize,
we unaishi kwa kufuata/kutegemea kile unachoamini au kile ambacho umekosa kuamini?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom