Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Fanya uzae watoto wa wastani ,halafu focus san kweny kutafuta maisha na pia kama watoto umewazaa basi hakikisha wanaishi vizuri.
Mambo kwa ground sio mazuri.
Mambo kwa ground sio mazuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kwa maelezo ya kitafiti za kisayansi. Nitakuja na dona kulia VIBANZI, Nitaomba poa na SHARUBATI Lita moja.Chips siyo chakula, sema "kibanda kipo wapi nije kutafuna vibanzi?"
Chips=Kibanzi
Chips siyo chakula, ni junk- kitafunwa.
Kama wewe ni mwanaume na unakula kama chakula ujue ukipiga paip utakuwa unatoa hewa tu lakini pia huwezi mfikisha Gilmans point.
Kuamini au kutoamini si muhimu.Kutoamini uwepo wa Mungu ni kukata tamaa kwa kiwango cha mwisho Kiranga
Ferry-Dar es salaam, ukishuka kwenye pantoni zilizochokachoka upande wa kushoto, utaona vitafunwa vimejazwa mezani:Nashukuru kwa maelezo ya kitafiti za kisayansi. Nitakuja na dona kulia VIBANZI, Nitaomba poa na SHARUBATI Lita moja.
Wapi ofisi yako ilipo?
Kwa heabu ya harakat harakat gunia moja linakupa faida kias gan? Mana nazisaka Fursa kweRikweRiKinyerezi Mbuyuni roundabout kwa mbele kidogo kama unaenda Staki Shari. Maeneo hayo........
Naam.Unaongea kweli???
Yes tunakubaliana hapa, je kutoamini kwamba kuna nguvu ya Mungu katika maisha ya binadamu ni sawa?Kuamini au kutoamini si muhimu.
Kwa sababu unaweza kutoamini ukweli, na ukaamini uongo.
Kitu cha muhimu ni, ukweli ni nini, na uongo ni nini, bila kujali unaamini nini.
Tunaweza kukubaliana hapo kwanza?
Unaongea kweli???
Sasa umejuaje kama wewe sio mhusika?. Faida hupatikana baada ya matumiz na malipo yote kuwekwa kando.Ferry-Dar es salaam, ukishuka kwenye pantoni zilizochokachoka upande wa kushoto, utaona vitafunwa vimejazwa mezani:
Siyo mmiliki ila nimekujuza tu.
Wewe umejuaje ATCL za Magufuli ni hasara na mzigo kwa taifa na haziuziki na wewe si mhusika?Sasa umejuaje kama wewe sio mhusika?. Faida hupatikana baada ya matumiz na malipo yote kuwekwa kando.
By the way! Good testimonial
Now days zama zimebadilika yaan saiv bila connection kutoboa ni ngumu labda bahati iwe upande wako cha muhimu nikutokukata tamaa na pia kujaribu vitu mbalimbali mfano unaweza kuwa na taalum maybe ya ualimu bt hupat nafasi jaribu kitu kingine ufugaji kilimo nk kuna dhana nyingi siku hizi wahitimu wengi wanayo akishamaliza tu anajitolea sehem hata kama hapati maslahi mm kwaupande wangu naona nikuendelea kupoteza mda tuInahuzunisha sana kuona kazi wafanyazo watoto waliosomeshwa kwa gharama wakiwa bodaboda na wachoma chips.
Mzazi kugharamia masomo ya mwanao ili aje kuwa mpambaniaji wa kazi hizo na za namna hiyo au kutokuja kuwa na future yoyote mtaani inaleta huzuni kwa mtoto mwenyewe hata kwa mzazi pia.
Wanasiasa hawafanyi ujinga huu kamwe wao na kizazi chao wanaandaliana future bora watoto wao. Hakuna mwanasiasa hata mmoja ataruhusu mwanae awe boda boda au mchoma chipsi wala kutanga tanga mtaani hovyo bila future yoyote ile.
Mzazi jukumu lako lisiishie kuzaa na kupeleka mtoto shule pekee bali muandalie na future bora mtoto wako.
Una maanisha Bora muuza chips kuliko Giggy Money?Bora hata awe bodaboda au muuza hizo chips, mzazi atazidi kuomba na kuamini siku moja mwanae atatoboa tu!
kuliko mtoto awemtafutaji kwa malaya wa bei za bure (3000), mwizi au shoga!
Mzazi atakufa mapema kwa sonona
Mkuu KirangaKuamini au kutoamini si muhimu.
Kwa sababu unaweza kutoamini ukweli, na ukaamini uongo.
Kitu cha muhimu ni, ukweli ni nini, na uongo ni nini, bila kujali unaamini nini.
Tunaweza kukubaliana hapo kwanza?
Kabisaa, ila vile tuna mawazo ya kifukara kua kuajiriwa serikalini ndio kila kitukama hakuna uwezo mkubwa bora wa kuandaa future ya mtoto ifunguliwe akaunti ya kilimo au biashara kwa ajili ya mtoto alafu peleka kayumba kila mwezi au mwaka pesa iwekwe kwenye akaunti
Tunawapeleka English medium sio Kwa sababu watapata kaz nzuri Ila Kwa sababu wasome kwenye mazingira mazuri na pia wajifunze Kwa namna Ile inavyopaswa kusoma.Mzazi aandae vipi future wakati yeye mwenyewe nanga inapaa?
Anachoweza ni kupambania mtoto asome, akimaliza shule ajipambanie.
Ila kwa namna moja naona wazo lako la kutotumia magharama makubwa kusomesha linamake sense, coz asome shule za kawaida au English medium, akimaliza chuo kama huna connection anaishia pale pale.
Assurance ya kipato.......hii ndio comfort zone inayowaumiza wengi.Upeo wako mdogo. Iko hivi umetoa wazo vizur ila kulilia kuajiriwa sio kwamba title na kuridhika na salary ya 750. Kuajiriwa kwa masikini ni assuarance ya kipato na mtaji.
Maana kitendo chakupata ajira nakuwa na uhakika wakulipwa ni chanzo cha mtaji wakumilik hata hivyo vibanda vya chips 10... Nika wanangu wana maisha sana sababu wanajielewa na wamewekeza sana biashara mbalimbali wana majumba magari lakin yote yametokana na ajira zao
AccessibilityMwanangu unajua kijiwe cha chipsi kina pesa chafu?
Watu tunalaza 80,000 mpaka 100,000 after all expenditures daily we unachukulia poa chipsi.?
Najua kuna chipsi vibanda haviingizi hiyo hela, sawa. Lakini nanyi huko kazini si wote mnaingiza hela nzuri. Wengine wana degree tangu mwaka 2015 waajiriwe kwa mshahara wa 750,000 mpaka leo hii hawajapata nyongeza. Sijui ndio Samia mwaka jana kaongeza kidogo.
Sema wabongo mmekariri kila aliyepita shule lazima aajiriwe hata kama analipwa kiduchu ili tu mzazi afurahi kuona mwanawe yuko kwenye payroll na akisimama kujitambulisha aseme nafanya kazi sehemu fulani ilihali ni kapuku.
Cha msingi maokoto, nunua kigari chako, jenga nyumba huko Kibamba.
Shida mkiona mtu ana gari mnawaza anafanya kazi wapi? Ushawahi kufikiria mtu amejiajiri?
Hope hukupa nguvu na kutoteteleka kirahisi hasa pale unaona kabisa upo chini au unaenda chini katika jamno fulani unapata nguvu ya kukazaHope means nothing
Tafuta pesa uwape wanao elimu iliyo bora na sio bora elimu .