Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Sasa mtu kama huyu hizo chuki zake kwa Magufuli utasema ni kwa sababu ya nia njema kwa nchi na watanzania? Jana katoka kuongea maneno ya dharau yasio wapendeza watanzania halafu leo anasema watu wazuri hawafi na mfano wa hao watu wazuri ni JK na Kinana kwamba wapo hai hawajafa kwa sababu ni watu wazuri!!!
Hivi kamtaja Magufuli kwani?
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025...
Mzee kasema yeye katoboa tobo, mengine mtajaza wenyewe😂

Lkn hivi twende mbele turudi nyuma, si kasema ukweli? Magufuli angeacha watu waseme wakati ule asingesimangwa leo akiwa keshajifia zake
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025...
Labda mambo yawe mabaya sana
 
Sasa mtu kama huyu hizo chuki zake kwa Magufuli utasema ni kwa sababu ya nia njema kwa nchi na watanzania? Jana katoka kuongea maneno ya dharau yasio wapendeza watanzania halafu leo anasema watu wazuri hawafi na mfano wa hao watu wazuri ni JK na Kinana kwamba wapo hai hawajafa kwa sababu ni watu wazuri!!!
Pambaneni sasa
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025...
Huyu Mzee namuombea Mwenyezi Mungu amfunulie. Eti Watu wazuri hawafi?? Hell you..:'

Watu wenye dhambi mnaachwa mutubu.. makamba is silly crazy Old Man
 
Na mwanae kabeba wizara nyeti. Kila kona ya Kariakoo majenereta yananguruma.
 
Ni kuwa kiongozi ukiwa mzuri watu watakuombea dua, watu wa dini, na imani zote watakuombea usipatwe na maradhi na Mungu husikiliza maombi yao

Lakini ukiwa kiongozi mbaya ambaye unanyanyasa watu, unaua, unawabomolea nyumba, unawafilisi damu za watu zinakulilia, machozi yao hayawezi kwenda bure na utakufa mapema
Mzee kasema kweli kabisa, kwa lugha yake "Katoboa Tobo"🤣🤣
 
Nimefuatilia nimegundua HUENDA tumemtafsiri ndivyo sivyo...

Tumemtafsiri kutokana na taarifa zilizoletwa JF bila kupata source material.

Kumbe, kutokana na tabia yake ya kupenda kuropoka, Mzee Makamba alisema "Hata ukiondoka kabla ya '25, Mungu atatupa mwingine"

Maneno hayo alikuwa anamwambia SSH. Sasa akagundua ameropoka kama sio kupotoka, na katika kujisafisha, ndipo akaomba msamaha kwa hiyo kauli na hatimae kumalizia "kwanza watu wazuri hawafi"

So, kumbe chanzo ilikuwa ni kujisafisha



Unaona hiyo thumbnail JK hadi akajishika kichwa baada ya Makamba kusema "hata ukiondoka kabla ya '25 Mungu atatupa mtu mwingine"

Viongizi CCM wasiwe complavent na hali ya kidiasa na kujiamini sana.
Wananchi wasikilizwe.
Nimefurshi SSH huwa anafuatilia kwa karibu.
 
..Mzee Makamba ni kama mtu aliyetupa jiwe gizani, sasa kuna watu wenye hatia wanadhani walengwa ni wao.
Ndio maana unatakiwa una ufanye comparison kwa akili kama watu wabaya wanakufa mbona Sokoine alifariki mapema? Tumia akili sio ushuzi.
 
Huyu mzee tumsamehe, umri wake umekataa, sijui kustaafu humanisha nini , maana hata akili najua hugoma .
Huyu hakustahili kuwa chawa hana cha kupoteza. Labda kma lengo anafagia kwa ajili ya mwanae.

Lakini akumbuke juzi ametukana waandishi kwa kauli isiyo safi, kana kwamba ana hati miliki ya taifa, 61 miaka tatizo la umeme ni kubwa haupo ubunifu wa kudumu kila kitu kinajengwa partial tu. Halafu ana lazimisha watu washukuru kwa matumizi mabaya ya mali ya umma. HANA UCHUNGU NA NCHI. NA MWANAE HAFAI PIA
 
Back
Top Bottom