Kaongea kweli kwani uongo?Hii nchi sio yenu. Hili ni taifa la watanzania. Chochote kinaweza kutokea
Hii ni pumba.
View attachment 2439965
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaongea kweli kwani uongo?Hii nchi sio yenu. Hili ni taifa la watanzania. Chochote kinaweza kutokea
Hii ni pumba.
View attachment 2439965
Hivi kamtaja Magufuli kwani?Sasa mtu kama huyu hizo chuki zake kwa Magufuli utasema ni kwa sababu ya nia njema kwa nchi na watanzania? Jana katoka kuongea maneno ya dharau yasio wapendeza watanzania halafu leo anasema watu wazuri hawafi na mfano wa hao watu wazuri ni JK na Kinana kwamba wapo hai hawajafa kwa sababu ni watu wazuri!!!
Mzee kasema yeye katoboa tobo, mengine mtajaza wenyewe😂Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025...
Labda mambo yawe mabaya sanaMzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025...
Pambaneni sasaSasa mtu kama huyu hizo chuki zake kwa Magufuli utasema ni kwa sababu ya nia njema kwa nchi na watanzania? Jana katoka kuongea maneno ya dharau yasio wapendeza watanzania halafu leo anasema watu wazuri hawafi na mfano wa hao watu wazuri ni JK na Kinana kwamba wapo hai hawajafa kwa sababu ni watu wazuri!!!
Huyu Mzee namuombea Mwenyezi Mungu amfunulie. Eti Watu wazuri hawafi?? Hell you..:'Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025...
Mzee kasema kweli kabisa, kwa lugha yake "Katoboa Tobo"🤣🤣Ni kuwa kiongozi ukiwa mzuri watu watakuombea dua, watu wa dini, na imani zote watakuombea usipatwe na maradhi na Mungu husikiliza maombi yao
Lakini ukiwa kiongozi mbaya ambaye unanyanyasa watu, unaua, unawabomolea nyumba, unawafilisi damu za watu zinakulilia, machozi yao hayawezi kwenda bure na utakufa mapema
Kabisa yani kaboaNaona huyu mzee ana mpango wa kutuvurugia Krismas zetu na mwaka mpya; anataka tumtukane ili tujiondolee thawabu!
Nimefuatilia nimegundua HUENDA tumemtafsiri ndivyo sivyo...
Tumemtafsiri kutokana na taarifa zilizoletwa JF bila kupata source material.
Kumbe, kutokana na tabia yake ya kupenda kuropoka, Mzee Makamba alisema "Hata ukiondoka kabla ya '25, Mungu atatupa mwingine"
Maneno hayo alikuwa anamwambia SSH. Sasa akagundua ameropoka kama sio kupotoka, na katika kujisafisha, ndipo akaomba msamaha kwa hiyo kauli na hatimae kumalizia "kwanza watu wazuri hawafi"
So, kumbe chanzo ilikuwa ni kujisafisha
Unaona hiyo thumbnail JK hadi akajishika kichwa baada ya Makamba kusema "hata ukiondoka kabla ya '25 Mungu atatupa mtu mwingine"
Mkuu nimecheka sana hii comment, kwani buyu la asali ni pombe?Astghafirullah ! Huyu mzee anyang'anywe buyu la asali, litakuwa limemlevya
Na wewe?Kaelezwa palepale
Mama Samia awakamate jinai haina mwisho...waliotumwa na Jpm kumtwanga marisasi bado hawajakamatwa.
Wapi sokoine katajwa? Huna akili ya kudadavua mambo.Hivi wapi katajwa Magufuli? Mbona statement ipo tofauti na mnavyotafsiri.
Ndio maana unatakiwa una ufanye comparison kwa akili kama watu wabaya wanakufa mbona Sokoine alifariki mapema? Tumia akili sio ushuzi...Mzee Makamba ni kama mtu aliyetupa jiwe gizani, sasa kuna watu wenye hatia wanadhani walengwa ni wao.