Ngoja tumsubirie aishi milele.
Yeye ni mtu mzuri ataishi na kudumu milele na milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tumsubirie aishi milele.
Mshauri babu yako apunguze kuongea ongea😂Kuongea sana ni kujishushia hadhi aisee ebu ajizeekee vizuri
Anatudhalilisha wasambaa aiseee ebu atulieMshauri babu yako apunguze kuongea ongea[emoji23]
Kuongea sana ni kujishushia hadhi aisee ebu ajizeekee vizuri
Mkuu kama Magufuli angekuwa kweli kama hivyo mnavyomuelezea kwamba alikuwa anauwa watu hovyo basi angekuwa keshawamaliza hawa watu maana aliwajua toka yupo hai asingewaacha walikuwa wabaya wake, labda tuseme aliona noma au kuna namna iliyomfanya ashindwe kuwauwa kama alivyokuwa anauwa hovyo hao wengine.Magufuli wenu sikumpenda hata kidogo baada ya kuanza kuua watu hovyo na kuona upinzani ni uadui, lakini lazima nikiri kuwa watu wanafiki kama huyu ndiyo alitakiwa awafanye kitu kibaya kabisa ikibidi awapote. Angekuwa amewashughulikia na kuona upinzani ni washirika wake Tanzania ingekuwa mahali pazuri sana leo. Maskini hakujua kuwa maadui wake halisi ni wana CCM wenzake. Huyu mzee anawakilisha mawazo ya akina Kinana, Kikwete na wengine wengi.
Anatudhalilisha wasambaa aiseee ebu atulie
Sijamlisha maneno bali nimeeleza nilivyomuelewa, sijasema kwamba kamtaja Magufuli.Umemlisha maneno
Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM...
Si kweli, idd amin, alikua mkali,, lakini aliishi miaka 90,,Kasema kweli we uoni Kikwete na Mzee Mwinyi wapo hai hadi leo
Wewe mfia dini, hii kauli mzee makamba kaikosea kidogo angeiweka kwa namnaa nyingine. Watu wote hufa, uwe mzuri au mbaya kifo ni lazima.Hao ni kundi la wanaopendwa.
Ni kweli watu wazuri hawafi?Kasema kweli we uoni Kikwete na Mzee Mwinyi wapo hai hadi leo