Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Source TBC
Kama amesema haya kweli basi ana matatizo. Hivi anataka kutuambia kuwa wale wote waliokufa walikuwa watu wabaya na walikuwa hawapendwi?
Aidha, anaona kweli fahari kuwa baada ya miaka 60 ya utawala wa chama chake bado wananchi wanahitaji "maji, umeme, huduma bora za afya na elimu"!
Na anaamini kuwa wanapata faraja kwa kuona kuwa baada ya miaka yote hiyo mahitaji yao yapo kwenye ilani ya CCM.
Hapa si anawapigia debe wapinzani akina Chadema?

Amandla...
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Source TBC
Huyu Mzee anaudhi sana,hv anatonaje sisi wananchi

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli watu wazuri huwa hawafi maana fikra, matendo na mitazamo yao hudumu milele. Na ndio maana pamoja na jitihada zote za kuzima fikra na mitazamo ya watu hao wazuri bado wabaya wanaoishi, wameendelea kufedheheka. Mmojawapo akiwa yeye huyo ambaye pamoja na uzee wake lakini anazidi kuharibu kila kukicha kwa kukosa hekima na busara!




Heri mwisho ulio mwema!
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Source TBC
Aseme tu kwamba WEZI na wanaoruhusu WIZI huwa hawafi
 
Umenena mzee. Kitabu cha mithali kinasema Mtu mwema akishika madaraka mioyo ya watu hufarijika lakini asiyehaki akikaa kitini mioyo ya watu huugua.

So hayo ni matokeo ya mioyo kufarijika. Baada ya kuugua kwa Muda mrefu.
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Source TBC
Mtume Muhamad bado yupo hai? Asimkufuru Mungu huyu mzee. Au mtume alikufa akiwa na Umri gani?
 
Serikali ya Saudi Arabia iombwe Maka na na Medina zihamishiwe Bumbuli, Tanga nyumbani kwa Mzee Makamba mtu mzuri aliye hai kuliko marehem mtume Mohamed ambaye hakuwa mtu mzuri ndio maana alikufa

Serikali iwasiliane na Serikali ya Saudi Arabia haraka na jiwe kaaba lihamishiwe upesi Bumbuli .Air Tanzania wapewe hiyo kazi ya kubeba hilo jiwe kwenda Bumbuli, Tanga nyumbani kwa mtume bora kwa uzuri kuliko msrerehemu mtume Mohamed. Mzee Mzee Makamba
Nimeumia sana kwa hii kauli ya huyu mzee.. amekufuru. Nimeuliza swali hilo hilo Je Mtume Muhamad alikuwa na Ubaya gani? Na hao aliowataja wakacheka bila kukemea wanafahamu kweli Dini?
 
Umenena mzee. Kitabu cha mithali kinasema Mtu mwema akishika madaraka mioyo ya watu hufarijika lakini asiyehaki akikaa kitini mioyo ya watu huugua.

So hayo ni matokeo ya mioyo kufarijika. Baada ya kuugua kwa Muda mrefu.
Wazazi wako wote wapo? Wataishi miaka yote? Ndugu zako? Wewe Dini gani kama unayo.... Msikubali mtu aongee upuuzi kama huu.
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Source TBC
Huyu mzee mbona anazeeka vibaya
 
Back
Top Bottom