Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Hicho ndio kizazi cha uchawi wazee hawana nasaha zozote njema kwa chama toka wadukuliwe. Umbea wao kama wanawake wamekua watu wa hovyo unamsema marehemu ambaye hawezi kujitetea ajabu hii
Magu aliwajua hawa wazee ni wachawi,wabinafsi na wanafiki mno ndio maana aliwakwepa na alijua kwamba ni kikwazo kwa maendeleo ya nchi.
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional

Source TBC
Inamaana yeye hatakufa?kenge huyu,
Anataka kusema hao mbulukenge wa ccm,ni watu
Wazuri kuliko Martin Luther king,Mandela,Chris han,Sokoine,
 
Kitu kimoja nakipenda kuhusu jiwe ni kwamba kawanyoosha walamba asali mpaka leo wengine wanakuwa "emotional"
Yupo kaburini lakini wala asali huku wanalia lia, huyu Mzee aliwahi kuwa na cheo kikubwa hapo chama cha mambuzi alafu analia kwao hakuna maji
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional

Source TBC
Hii kauli kateleza ulimi. Tumsamehe ni mzee wetu. Naomba sana tena mjadala usimhusishe aliyekuwa Rais wetu Dk. Magufuli. Siyo jambo zuri na halipendezi🙏🙏🙏
 
Umri wa babake Makamba ulisababisha afariki. Lkn jiwe alikuwa bado mdogo kiumri kuliko hata Kikwete, ubaya umemfanya awahi kufa.
Kifo hakina umri ndio maana hata Watoto wadogo hufariki, makamba amewahi kufiwa na mjukuu wake. Unataka kusema mjukuu nae alikua mbaya? Ameteleza na uzuri mama Samia kamrekebisha hiyo kauli
 
Magu aliwajua hawa wazee ni wachawi,wabinafsi na wanafiki mno ndio maana aliwakwepa na alijua kwamba ni kikwazo kwa maendeleo ya nchi.
Mtanisamehe kwa hii comment yangu ila lazima niseme

Hicho kizee ni kama demu aliyechapwa sana alafu jamaa akasepa bila kumuoa sasa ana makasiriko

Nasema hivi kwa sababu jiwe aliropoka siku moja kwamba kilimtext kujipendekeza haku reply
 
Na Mtume Mohamed alikufa savabu alikuwa na madhambi kibao ndio maana alikufa

Akina kinana na kikwete watakatifu kuliko mtume Mohamed ndio maana wako hai

Waislamu hongereni kupata watu wazuri kuliko.mtume Mohamed aliyekufa akina Mzee Makamba, kinana na Kikwete ambao hawafi kwa sababu ni wazuri kuliko Mtume Mohamed mumepata mitume wapya Mzee Makamba,Kikwete na Kinana anzeni kuwaabudu
Amemaanisha KIKWETE, MAKAMBA na KINANA, hawatoona MAUTI Kamwe Hadi Masihi arudi😃😃😃
 
Back
Top Bottom