kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Hu
Huyu hakusubiri hadi jiwe afe mbona alikamatwa kwenye yale maongezi ya kumteta kwa simu.Anataka kumaanisha nini? haya maisha haya ukifa ndio utajua nani mwema kwako na nani adui kwako tuishini vizuri tu tukiwa hai.