J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Mar 1, 2024 Thread starter #601 ChoiceVariable said: Mtu mzuri anakufa na umri mkubwa sio unakufa na miaka 55 Click to expand... Mbona wewe ni mwovu muuza ngada lakini unaishi bado?π
ChoiceVariable said: Mtu mzuri anakufa na umri mkubwa sio unakufa na miaka 55 Click to expand... Mbona wewe ni mwovu muuza ngada lakini unaishi bado?π
ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Mar 1, 2024 #602 johnthebaptist said: Mbona wewe ni mwovu muuza ngada lakini unaishi bado?π Click to expand... Nikamate unipeleke jela ndiko Makao ya wauza ngada. Watu waovu wanakufa na umri mdogo hata hawawezi kustaafu
johnthebaptist said: Mbona wewe ni mwovu muuza ngada lakini unaishi bado?π Click to expand... Nikamate unipeleke jela ndiko Makao ya wauza ngada. Watu waovu wanakufa na umri mdogo hata hawawezi kustaafu
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Mar 1, 2024 Thread starter #603 ChoiceVariable said: Nikamate unipeleke jela ndiko Makao ya wauza ngada. Watu waovu wanakufa na umri mdogo hata hawawezi kustaafu Click to expand... Jalada lako la Katibu liko kwa dipipi ππ
ChoiceVariable said: Nikamate unipeleke jela ndiko Makao ya wauza ngada. Watu waovu wanakufa na umri mdogo hata hawawezi kustaafu Click to expand... Jalada lako la Katibu liko kwa dipipi ππ
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Mar 1, 2024 #604 ChoiceVariable said: Nikamate unipeleke jela ndiko Makao ya wauza ngada. Watu waovu wanakufa na umri mdogo hata hawawezi kustaafu Click to expand... WAZURI Huwa hawafi kabisa, Makamba alishasema.
ChoiceVariable said: Nikamate unipeleke jela ndiko Makao ya wauza ngada. Watu waovu wanakufa na umri mdogo hata hawawezi kustaafu Click to expand... WAZURI Huwa hawafi kabisa, Makamba alishasema.
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Mar 8, 2024 #605 WATU wazuri huwa hawafi this is true katika falsafa watu wazuri hufa katika mwili Ila mawazo na ROHO uendelea kutawala.
WATU wazuri huwa hawafi this is true katika falsafa watu wazuri hufa katika mwili Ila mawazo na ROHO uendelea kutawala.
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,893 Reaction score 20,089 Mar 8, 2024 #606 Watu wazuri oyee