Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Wabongo nuksi wanasubiri life jitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
next next nextWatu walishanunua mpaka wine wapo tu wanamsubiria 😁😁😁
We jamaa bhana 🤣🤣🤣 Nimecheka mpaka majirani wamestuka aiseeWakuu
Kibri cha ili aonekani mwndazake hakuwa mtu mtu mzuri ila saa100 na kikwete ndo wazuriSijui alikuwa kwenye kiwango gani cha fikra wakati akitoa kauli hio.
Huyo mnasemaga mzee Makamba ni mtu wa hovyo sana basi tu ni kwa sababu hii nchi wanaCCM wanajiamini zaidi kwenye ujinga jinga tu muda wote.Yeye Makamba hawezi kufa kwa sababu ni mzuri na atakuwepo kwenye serikali ya mwaka 2080 na atatoa speech tuombe uzima ss wabaya.
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Chanzo: TBC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa. Najiuliza alikuwa anawaz nn kusema maneno yake ktk ya wajumbe elf 3000 wa chma chake na kupigiwa makofiSijui alikuwa kwenye kiwango gani cha fikra wakati akitoa kauli hio.
Hahahaah hili nitaanzisha uziMiongoni mwa watu waliokosa AKILI na huyu tusimsahau
CCM kupiga makofi ni jadi yao, yule kama aliyewaita chama cha mambuzi waliishia kupiga makofi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa. Najiuliza alikuwa anawaz nn kusema maneno yake ktk ya wajumbe elf 3000 wa chma chake na kupigiwa makofi
Nyakati hazidumu, tutaona mwisho wao mzuri.Kibri cha ili aonekani mwndazake hakuwa mtu mtu mzuri ila saa100 na kikwete ndo wazuri
Naweza nikawa nisiwepo hio 2080 na huu uzee nilionao yaan hapa mgongo na Miguu havina ushirikiano kabisa kuna muda nashindwa hata kupumua mbavu zinanibana vibaya sana, nimeshaanza kupungukiwa na idadi ya Meno kwenye kinywa changu wajukuu zangu nimezeeka Babu yenumwaka 2080
Anatafuta namna ya kukumbukwa kwenye teuzi za watoto wakeKafanya nini Shetani?🐼
Mtu mzuri anakufa na umri mkubwa sio unakufa na miaka 55
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Chanzo: TBC