Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!


Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional

Chanzo: TBC
Huyo mnasemaga mzee Makamba ni mtu wa hovyo sana basi tu ni kwa sababu hii nchi wanaCCM wanajiamini zaidi kwenye ujinga jinga tu muda wote.Yeye Makamba hawezi kufa kwa sababu ni mzuri na atakuwepo kwenye serikali ya mwaka 2080 na atatoa speech tuombe uzima ss wabaya.
 
Sijui alikuwa kwenye kiwango gani cha fikra wakati akitoa kauli hio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa. Najiuliza alikuwa anawaz nn kusema maneno yake ktk ya wajumbe elf 3000 wa chma chake na kupigiwa makofi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa. Najiuliza alikuwa anawaz nn kusema maneno yake ktk ya wajumbe elf 3000 wa chma chake na kupigiwa makofi
CCM kupiga makofi ni jadi yao, yule kama aliyewaita chama cha mambuzi waliishia kupiga makofi
 
mwaka 2080
Naweza nikawa nisiwepo hio 2080 na huu uzee nilionao yaan hapa mgongo na Miguu havina ushirikiano kabisa kuna muda nashindwa hata kupumua mbavu zinanibana vibaya sana, nimeshaanza kupungukiwa na idadi ya Meno kwenye kinywa changu wajukuu zangu nimezeeka Babu yenu
 
Mzee Makamba! Unahaja ya kujitokeza kuonyesha kuhudhunishwa na kauli yako hii na kisha kumuomba msamaha Mwenyezi Mungu na Watanzania wote watakaoendelea kufa na waliokufa

Kwenye hiki ulichokisema, kitaendelea kukufedhehesha saana mzee mpaka nawe utakapingia kaburini
 

Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional

Chanzo: TBC
Mtu mzuri anakufa na umri mkubwa sio unakufa na miaka 55
 
Back
Top Bottom