Nasikia huyu mzee mwanzoni mwa ujana wake alikuwa mwl. huko Tanga...akapata skendo kumtia mwanafunzi mimba kuona ishu inakuwa moto akatoka nduki akaacha kazi badae ndo akaenda jeshini, jeshini zamani ilikuwa rahisi kuingia.
Baada ya kuzama jeshini akajipendekeza huko hadi akafikia cheo cha u luteni hadi alipostaafu.
Baada ya kuzama jeshini akajipendekeza huko hadi akafikia cheo cha u luteni hadi alipostaafu.