Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Tuchukulie yeye mwenyewe huyo, ni kipi tutamkumbuka nacho, au huyo Kinana ana nini cha ajabu alichowafanyia watanzania? Tofauti na upigaji.
 
Kilichonisikitisha kayasema hayo mbele ya mke wa marehemu mwendazake!
 
Hii kauli ya mzee makamba itaendelea kumfuata mwanae popote alipo like father like son. Lack of substance is hereditary.
 
Baada ya kufuatilia kwa haraka na mapema nimegundua mikoa ifuatayo imeulewa Yusuhp Makamba.
1. Geita
2. Mwanza
3. Mara
4. Shinyanga
5. Kagera
6. Katavi
7. Simiyu
8. Singida
9. Tabora
10. Dodoma
 
Kwahiyo mnatutisha au?
Sisi kama chama hatuhitaji kura ya yeyote Ili tutwae ngome..
 
Education, Education, Education; Huu upande wa pili ndiyo wote au 90% wanavyofikiri; Less education; wamekalia superstition; wakati wa JK pale ikulu palikuwa na "Kitengo cha Ufundi" haaaaa! Rais akawa anaanguka kila mahali akienda; Lol
Na upande huu wa education umejaa mafisadi hadi chooni,
Basi udiniiiii tuuuu umewajaa,
Mnashindwa na mzee makamba mnarukia udini
 
Kitendo cha kuongeza viti vya Mnec Taifa ni ili visiwani wawevwengi kwenye uamuzi
 
Nimemsifu , kawapiga watu kwenye mshono Tena hadharani mpaka wajumbe wakashangilia, sometimes watu waovu huondolewa wasiendelee kutesa Wana wa Mungu.

Mwenye uovu ni nani hapa Tanzania na mwema ni nani mkuu. Je wewe Ni mwema Unapimaje wema wako. Nafsi yako inajua mengi kuhusu unayofanya kuliko Sisi wengine. Wewe ni mwema kiasi kwqmba Mungu angekuwa anajudge watu wa wema ungebaki wewe? Hongera sana.
 
Baada ya kufuatilia kwa haraka na mapema nimegundua mikoa ifuatayo imeulewa Yusuhp Makamba.
1. Geita
2. Mwanza
3. Mara
4. Shinyanga
5. Kagera
6. Katavi
7. Simiyu
8. Singida
9. Tabora
10. Dodoma
Nonsense.kafanye tena utafiti wako
 
Mwenye uovu ni nani hapa Tanzania na mwema ni nani mkuu. Je wewe Ni mwema Unapimaje wema wako. Nafsi yako inajua mengi kuhusu unayofanya kuliko Sisi wengine. Wewe ni mwema kiasi kwqmba Mungu angekuwa anajudge watu wa wema ungebaki wewe? Hongera sana.
Wema ni CDM waovu ccm,mbona Hilo liko wazi tuu
 
Back
Top Bottom