Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Siasa za hivi utazikuta kwa Low thinkers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bhana... yaani acha tu!Tuombeane afya na kauli njema kwa binadamu wenzetu
Kuna wazee wengine ni nuksi ila ndio tabia tuwaombee tu
Basi sawa Binamu, manake chimbo lako nalijua!Binamu utakuja kule kwetu [emoji1787] huku nisije nikapewa ban napaogopa sana
Na upande huu wa education umejaa mafisadi hadi chooni,Education, Education, Education; Huu upande wa pili ndiyo wote au 90% wanavyofikiri; Less education; wamekalia superstition; wakati wa JK pale ikulu palikuwa na "Kitengo cha Ufundi" haaaaa! Rais akawa anaanguka kila mahali akienda; Lol
Nimemsifu , kawapiga watu kwenye mshono Tena hadharani mpaka wajumbe wakashangilia, sometimes watu waovu huondolewa wasiendelee kutesa Wana wa Mungu.
Wanasiasa hawana HAYAKilichonisikitisha kayasema hayo mbele ya mke wa marehemu mwendazake!
Limjaalo mtu moyoni ndio limtokalo......kamaanishaMzee umri umeenda, watu wakizeeka wanarudi utotoni. Kapitiwa tu.
Watoto wadogo wanaokufa huwa makatili kwa nani? Huwa wametumia misuli dhidi ya nani? Nyie ccm mnaongea mambo kama akili mmeshikiwa na mtu mwingine.Dunia haina nafasi ya watu makatili wasio tumia nguvu ya akili bali msuli
Nonsense.kafanye tena utafiti wakoBaada ya kufuatilia kwa haraka na mapema nimegundua mikoa ifuatayo imeulewa Yusuhp Makamba.
1. Geita
2. Mwanza
3. Mara
4. Shinyanga
5. Kagera
6. Katavi
7. Simiyu
8. Singida
9. Tabora
10. Dodoma
Wema ni CDM waovu ccm,mbona Hilo liko wazi tuuMwenye uovu ni nani hapa Tanzania na mwema ni nani mkuu. Je wewe Ni mwema Unapimaje wema wako. Nafsi yako inajua mengi kuhusu unayofanya kuliko Sisi wengine. Wewe ni mwema kiasi kwqmba Mungu angekuwa anajudge watu wa wema ungebaki wewe? Hongera sana.