Rayz
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 339
- 261
Kwan mtafanyajee? Kulalamika ndipo uwezo wetu ulipoishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan mtafanyajee? Kulalamika ndipo uwezo wetu ulipoishia
Na hiyo kauli ni ya kishetaniHiki chama ni makao makuu ya shetani
Kina sababuNaah.
Kifo cha wakati wowote na aina yoyote.
Karma itawatesa sana kwa mabaya waliyo wafanyia watu wengi tu !!Mzee Makamba hana siku nyingi hapa duniani. Mwenyezi Mungu huwa hadhihakiwi wala hapangiwi na ndio maana huwa tunasema “ Kazi ya Mola haina makosa”
Hili zee huwa linabwabwaja mpaka linapitiliza. Mama Samia hakuwa na haja ya kujitokeza kujifanya anarekebisha ile kauli. Makamba meant what he said
Yale yanayofanywa nyuma ya pazia ni mabaya zaidi kuliko hizo kauli za hadharani !! Wapo watu wengi wana majeraha makubwa ndani ya mioyo yao !! Ndio maana tunasema Karma imeanza kutenda. !!Tuombeane afya na kauli njema kwa binadamu wenzetu
Kuna wazee wengine ni nuksi ila ndio tabia tuwaombee tu
Labda jamaa wale wachoke !Mtamfanya nini? Hata kama Makamba atagombea 2030 mtamfanya nini? Rais wa nchi hii anaamuliwa na kamati kuu ya CCM
Kama hujui kamuulize Lowassa
Hata IIBILISI ataishi sana duniani ,,Hata wabaya huwa hawadumu.
Sawa chawa wa mambuzi, but umekosea mimi sio ufipa ni sukuma gang.BAVICHA WIKI HII MMEPATA AJENDA..!!!
Siku na wao wakifa tutaliuloza hili swali.Kwahiyo Anataka Kusema Mzilankende Hakuwa Kwenye Wazuri
Kabisa, Yaani Watu Wanayatupa Maneno Mpaka Unasema Hawa Hawa KweliSiku na wao wakifa tutaliuloza hili swali.