Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Kwani si mnajua polonium inakopatikana? Au area D style? Au kama swala la mzee mangula? Usilalamike humu
 
Kumbe baba yule hakuwa mtu mzuri! Akitulia atajirudi.
 
Yukosahii Mimi nimkristo viongoziwakikristo wanarohohombayasana nandomanawanakufa harakawengiwao niwarafinamafisadi
 
He was too dumb to see, alijua maadui zake ni akina Lema, Sugu na Lissu ndio maana alikuwa akiwafunga na wale madiwani wa chadema aliokuwa akiua
 
Angoje jibu atakalompatia Mwenyezi Mungu hivi karibuni. Ina maana Nyerere na Mkapa walikuwa waovu ndio maana walikufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…