Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Ila ccm wana maneno jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo familia ya magu wanajisikiaje
 
Yukosahii Mimi nimkristo viongoziwakikristo wanarohohombayasana nandomanawanakufa harakawengiwao niwarafinamafisadi
Nani kahitaji kujua kuwa wewe ni Mkristo au unawashwa washwa na Viongozi wa Kikristo?

Kwanini Raia wa nchi za kiislamu kama Afghanistan, Iran, Syria n.k wakipatwa na machafuko ya nchi hukimbilia nchi za Kikristo (France, UK, America n.k.) ?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukisikiliza kwa makini yule mzee anamhakikishia mtukufu kuwa hatakufa
ataishi miaka mingi kama wale wazee wengine..
Nauliza kwani nani amesema atakufa!?
Yule mwingine anasema mambo labda yakiharibika sana ndio tutarajie
mabadiliko 2025, je ni ccm(cham cha mambuzi) wote wanaweza kuvumilia mpaka yaharibike sana
ili kubadilisha mtukufu au ni yeye ndiye huwa anawabadilisha watukufu
kwa hiyo anauhakika bila yeye kusema mambo yameharibika sana hakuna kitakacho badilika.
Mwisho, mambo ili yaharibike sana yanatakiwa yawaje!?
Hizi kauli za wazuri hawafi, mungu(sio Mungu) kaamua ugomvi, na wazee tulisema hapana
zina maana gani!?
Je ccm huwa kuna mungu(sio Mungu) amabaye huwa anaamua ugomvi!?
Wazee wapi waliosema hapana enzi zile!?
Naomba majibu wakuu
Enewei wazuri wataishi milele....
Hahahaj.......wazuri wataishi milele lakini sio hapa duniani maana dunia yenyewe pia haitakuwepo milele.
 
Kosa la magufuli ni kupambana na CHADEMA mpaka mwisho wakati CHADEMA hawakuwa maadui zake, tena CHADEMA ndio walipiga kelele kuhusu kifo chake.
Kosa lake kubwa sana kupambana na watu ambao hawana ubaya na yeye, labda itakuwa washauri wake wa mambo ya siasa walimshauri afanye hivyo, yani ange wamaliza hawa wakina kinana Makamba, nape na kumtumbua Saa [emoji817] na kumuweka Husseni leo hii Mama Janeth hasinge ishi maisha ya mateso yaki roho

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Yukosahii Mimi nimkristo viongoziwakikristo wanarohohombayasana nandomanawanakufa harakawengiwao niwarafinamafisadi

Katika wakristo kiongozi mwenye roho mbaya alikuwa Magufuli pekee yake. Ndio maana alifia madarakani baada ya kuiba kura.
 
Uimla ulikuwa ni tatizo, sijui tungeishia wapi yarabi, hata hujuma zake zilikuwa ni za ma trillion, hakuchukuwa kitoto!, alibeba furushi kabisa.
Wafia din marope amechukua bil70 mmetulia tu utafukri huwa mnagawiwa wavaa kobaz wote.
 
Kwa hiyo wale watoto wadogo wanaokufa nao wana ubaya gani?

Wale Ni malaika hawana kosa. Tofauti na mtu anayeharibu uchaguzi ili atawale pekee yako, huyo lazima aondolewe kwenye uso wa Dunia.
 
Naona samia karekebisha kauli na kuomba radhi kiaina
 
Katika wakristo kiongozi mwenye roho mbaya alikuwa Magufuli pekee yake. Ndio maana alifia madarakani baada ya kuiba kura.
Na karume alikuwa mkristo!!?
Ukifikisha miaka sitini na mbili ya Magufuli utànikumbusha
 
Kweli mzee makamba kateleza, kimsingi anatakiwa aombe radhi kwa kauli yake hij, anataka kutuambia nini kuhusu JPM wetu, Ben Mkapa, ? Unajua kuongea sana nako ni shida

Kauli yake ilimlenga JPM pekee. Kuna sehemu aliwabana.
 
Kejeli hizo akumbuke dunia uwanja wa fujo tu tunapita chuki yake isimfanye asahau kua hata yeye siku moja ataiacha dunia
Wote tutatkufa kila mtu na muda wake ukifika ndio maana nikishaondoka Duniani nitamwomba Mungu anionyeshe walipo hakina Saanani, Azory, JPM na yeye kwenye listi na....
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional

Source TBC
Makamba ana usongo na Magufuli.
Alivyoaibishwa na Magufuli sasa ni payback time!
 
Ukisikiliza kwa makini yule mzee anamhakikishia mtukufu kuwa hatakufa
ataishi miaka mingi kama wale wazee wengine..
Nauliza kwani nani amesema atakufa!?
Yule mwingine anasema mambo labda yakiharibika sana ndio tutarajie
mabadiliko 2025, je ni ccm(cham cha mambuzi) wote wanaweza kuvumilia mpaka yaharibike sana
ili kubadilisha mtukufu au ni yeye ndiye huwa anawabadilisha watukufu
kwa hiyo anauhakika bila yeye kusema mambo yameharibika sana hakuna kitakacho badilika.
Mwisho, mambo ili yaharibike sana yanatakiwa yawaje!?
Hizi kauli za wazuri hawafi, mungu(sio Mungu) kaamua ugomvi, na wazee tulisema hapana
zina maana gani!?
Je ccm huwa kuna mungu(sio Mungu) amabaye huwa anaamua ugomvi!?
Wazee wapi waliosema hapana enzi zile!?
Naomba majibu wakuu
Enewei wazuri wataishi milele....
Hapa itabidi tuwaze nje ya box
 
Back
Top Bottom