Magu alisikika akisema " Nileteeeeeeni,....................zaidi ya mara tatu.MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele.
“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
View attachment 2462495
Yule muungu wao tegemezi aliyekuwa juu ya mlima mrefu kuliko yote Afrika AMEUWAWA,CCM inaogopwa ndo maana unaona wanachama wakiwa wengi huko.
Siku ikikosea zindiko lake la kafara na ikqjikuta ipo nje ya utawala ndo utagundua wwnachama wake wengi ni askari wetu
Achana na huyo namjua ni mlevi mmoja tu pale ufipani akilewa mataputapu kazi yake ni kutukana watu.Demokrasia ni pamoja na kusikia usichopenda kukisikia.
Bwana Bwana!!!!Ngoja waje wenye chuki zao...
wa kwanza huyuHuyo ni chawa mzee hana jipya
mpuuzi huyu tena! Umeona mkuu GoboleYule katili aliandaliwa? Na nani? Wazee wengine wanastahili kufa tu waache kupoteza scarce energy iliyopo duniani.
Wananchi gani wanataka Magufuli mwingine?MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele.
“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
View attachment 2462495
Hivi huyu Mzee Mohamed Juma ana akili sawa sawa kweli? Au anajitakika Mirembe hospital akapimwe.!!MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele.
“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
View attachment 2462495
Ulinzi wake uliwapa shida eeh?..angekuwa tayari kwa lolote asingejiwekea ULINZI mkubwa kiasi kile.
Kwani JPM nani alipanga itokee?Hivi huyu Mzee Mohamed Juma ana akili sawa sawa kweli? Au anajitakika Mirembe hospital akapimwe.!!
Yaani tulete jitu la kuua, kunyang'anya mali za wafanyabiashara??! Hapana huko haturudi. Ni makosa walifanya Kamati Kuu ya CCM na JK mwaka 2015, ila haitatokea tena
Hivi wewe unaakili timamu kweli yaani lisu apate Kura nyingi zaidi ya mgombea wa CCM?kapimwe akili.Magufuli ndio alikuwa mpumbavu. Unaiba kura halafu unakufa na kuacha wafu wengine wakifaidi. Big fool bastard.
Hujitambui soon huyo mama anaondoka anakuja FDR Wa Tanzania jiandae kisaikolojia.Huyo mzee lazima atakuwa shabiki wa Yanga maana kaongea kama punguani.
TUMPUUZE huyo mhuni aliyezeeka.
Wazungu gani ambao Magufuli alwazuia wasituchezee? Au unapumbazwa na soga za makinikia? Kwa taarifa yako hatukupata kitu, ila kwa umbumbumbu wako utabishaKwani JPM nani alipanga itokee?
Mambo mengine ni Mungu hutenda kwa makusudi yake maalum.
Kuna mambo ilibidi lazima JPM awe Rais ili yatendeke.
Akiona tena wazungu wanaaza kutuchezeshea Movie Rais wetu anaweza tu akaamua -"...namleta tena mwingine"
Wewe unayeamini kuwa Magufuli alipata 82% ndiyo mpumbavu. Hawakuwapo watu wa kumpa mgombea mmoja zaidi ya 60%. SEMA Magufuli hata kuiba kura hajui.Hivi wewe unaakili timamu kweli yaani lisu apate Kura nyingi zaidi ya mgombea wa CCM?kapimwe akili.
Wauza kahawa ni wazambia? Mdukuzi wa kishamba sana wewe, ulitaka aongee Nape Nauye au Mbowe sio! Mwananchi wa kawaida ndio mwenye kura mkononi, japo hamuzijali kiivyo na siasa zenu maji taka…Huyo mzee ni nani katika nchi hii,mnaokota wauza kahawa mnawarekodi wanaongea kwa niaba ya watanzania
Raisi anajiwekea ulinzi au ni mapendekezo ya maafisa usalama kulingana na hatari iliyopo… kwa hiyo raisi anajiapisha sio? Raisi anajipigia kura sio! Acha ushamba… kuna mamlaka juu ya mamlaka…..angekuwa tayari kwa lolote asingejiwekea ULINZI mkubwa kiasi kile.