MyebusiiiiiiiiPunguza bangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MyebusiiiiiiiiPunguza bangi
kule kwetu tunaita plagiarisationHivi hii tabia ya kurudia habari ile ile ambayo mwenzio kapost kitaalam inaitwaje?
sio kweli, utajiri wao umepatikana kwenye serikali ya kikwete na mke wake, they are affiliated to their wealthUtajiri wao umetoka mbali
Ova
Na naona hii tabia inazidi kuota mizizi humu jf yaani unakuta mtu kaleta uzi kila kitu kipo afu watu wawili wanapost uzi uleulekule kwetu tunaita plagiarisation
Uko sahihi iliniuma sana Tajiri mfanyabiashara mwenye biashara kibao ikiwemo Imalaseko supermarket mbunge wa Kahama mzee Kishimba akilalamika bungeni live kuwa mwanae amemaliza degree Serikali haijamwajiri!!! Inatisha msomi huyo mwanawe kashindwa kumpachika kwenye biashara zake?Mimi binafsi naamini katika generational wealth creation.
Huyo kaanzisha biashara
Biashara ikapass kwa wanawe na wanawe wataipass kwa watoto hadi wajukuu
Tatizo sisi waafrika tunatimuliwa home mapema sana bila "mpango ukwasi"
Matokeo yake kila kizazi huanza moja mwisho wote hufaa masikini au masikini wenye afadhali
Au once wealth creator akifa hakuna successional plan ukwasi hupotea mazima wahuni huuza kila kitu
Cheki hio familia, halafa cheki dewji family halagu cheki mengi family halafu cheki bakhersa family ana wengine wengi especially asians
Ngozi nyeusi tuna la kujifunza
Wanachofanya hawa jamaa hawagawanish mali baada ya mmiliki wa kwanza kuondoka,sasa sisi mmilik akifa tunataga tugawane kila mtu awe na chake mwisho wa siku tunashndwa kuendelezaRIP. Wanawezaje kutunza na kukuza utajiri vizazi hadi vizazi?
Una hoja nzitoWanachofanya hawa jamaa hawagawanish mali baada ya mmiliki wa kwanza kuondoka,sasa sisi mmilik akifa tunataga tugawane kila mtu awe na chake mwisho wa siku tunashndwa kuendeleza
Sawa...ila ukijiongeza utaielewa vzr comment yangu hiyosio kweli, utajiri wao umepatikana kwenye serikali ya kikwete na mke wake, they are affiliated to their wealth
Ha ha ha nyumba ya kupangisha ya marehemu uswahilini unakuta wamegawana vyumbaWanachofanya hawa jamaa hawagawanish mali baada ya mmiliki wa kwanza kuondoka,sasa sisi mmilik akifa tunataga tugawane kila mtu awe na chake mwisho wa siku tunashndwa kuendeleza
Hao unawajua vyema sana!Inna li Llahi wa Inna ilayhi Rajiun.
Huyo itakuwa ni Mzee Saad, nijuavyo, Said ( Saidi Mahonda) ni nduguye Ghalib.
Ukizaliwa kwenye familia maskini ni bahati sana kuwa tajiri mkubwa ghafla isipokua inabidi tu utengeneze mazingira mazuri kwa kizazi chako kuwa matajiri wakubwa usiwe mbinafsi utafute mali na utengeneze mazingira mazuri kwa kizazi chako kijachoSio ndefu wala, huoni mzee katengeneza kizazi chake ndio kinafaidi
Shikamooo bibiInna li Llahi wa Inna ilayhi Rajiun.
Huyo itakuwa ni Mzee Saad, nijuavyo, Said ( Saidi Mahonda) ni nduguye Ghalib.
Mbona wewe serikali ya awamu ya 5,6 hazijakutajirisha ? Mkuu kwema lakini? 😂😂😂sio kweli, utajiri wao umepatikana kwenye serikali ya kikwete na mke wake, they are affiliated to their wealth
Kifupi kupima mafanikio ya maisha ya mtu usimwangalie yeye mzazi angalia watoto wakeUkizaliwa kwenye familia maskini ni bahati sana kuwa tajiri mkubwa ghafla isipokua inabidi tu utengeneze mazingira mazuri kwa kizazi chako kuwa matajiri wakubwa usiwe mbinafsi utafute mali na utengeneze mazingira mazuri kwa kizazi chako kijacho
Tatizo sisi wengi ni wabinafsi ukipata hela huwazi kuweka mazingira mazuri kwa kizazi chako ila unakula bata kwanza, mwsho wa siku kizazi chako kila siku kinaanza moja unamfukuza kwako aende akapangishe huko ili aanze sifuri Kama wewe
RIP. Wanawezaje kutunza na kukuza utajiri vizazi hadi vizazi?
GSM ni ya JK overMbona wewe serikali ya awamu ya 5,6 hazijakutajirisha ? Mkuu kwema lakini? 😂😂😂
Marehemu Mzee Said alistaafu mwaka 1996 na kuruhusu kizazi kilichofuatia kuchukua usukani wa kila siku wa biashara