Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Wamekutupia gundu blaza......
utaangaika nalo mpaka ukome.....
fanya hima urudishe ulipookota
 
Una uliza thamani ya pete bila picha au unafikiri jf ni ya watabiri?
 
Ulitakiwa uache namba yako ya simu ili akirudi awasiliane na wewe, huo ni wizi.
 
Ila ww Mzee [emoji28][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji482][emoji28][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]



We polisi nn
 
Mungu anakupa fursa na changamoto kila unapoamka.

Ni juu yako kutathmini ipi ni changamoto na ipi ni fursa.
 
Buku buku hizo, zirudishe pale pale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…