Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

Sasa kama wewe unakataa Mungu hana mwili inamaana unapingana na maandiko kwa maana maandiko ndio yanasema tumeumbwa kwa mfano wake sasa mfano hauwezi kuwa tofauti na halisi kwa namna ya muonekano ila baadhi ya vitu vya ndani ndio hutofautiana.

Again yesu mwenyewe alisema kwamba ukimuona yeye basi umemuona baba kwa maana kama alivyo baba ndivyo atakavyo kuwa mwana.

Lakini pia maandiko yanasema baada ya miaka 130 Adamu akazaa mwana kwa mfano wake.

Hilo andiko linakurudisha kwenye uwepo ya kwamba unaposikia kwa mfano wake ni kwamba hakutakua na utofauti wa muonekano labda kwenye uwezo wa utendaji kwa hiyo Mungu ni roho iliyo ndani ya mwili.

Na nikukumbushe tu ya kwamba tunaposema Mungu ni sawa na kusema binadamu kwa maana ya kwamba Mungu ni neno ambalo linatumika ila sio kiumbe mmoja isipokua ni jamii ya viumbe kwa umoja wao ndio huitwa Mungu kama ilivyo kwetu sisi kwa umoja wetu kuita binadamu.
Hapa tutakesha ,nimesema hivi mwili wako wa kiroho na huu unaoweza kuona ni sawa tu man. Hakuna tofauti kubwa(tofauti nimekupa moja tu,kwamba huu mwili tulio nao si kitu unapotea lakini mwili wa roho unaishi daima)

Kusema kwamba umeumbwa kwa mfano wa Mungu maana yake ni kwamba you have God's spirit within you(hii haina maana kwamba wewe unafanana na Mungu(never,worst interpretation of scripture I guess)
 
Mnabishana kwenye mambo yaliyo nje ya uwezo wenu, kila mtu anajiona yuko sahihi na kuona mwingine kakosea😅😅.
 
Sitaki imani, nataka uthibitisho.

Imani hata uongo unaweza kuamini.

Thibitisha roho ipo.
Roho ipo na ibaki hivyo tu mkuu, si kila kitu kinaprovika kwa namna ya wazi ni kama 2 + 2 = 4 ni ngumu kuiprove lakini wewe umeamini kwamba hivyo ndivyo ilivyo na kupitia equation hiyo hiyo kuna maajabu mengi ya kihesabu yameanzia hapo na yamefanya vitu vikubwa duniani.
 
Roho ipo na ibaki hivyo tu mkuu, si kila kitu kinaprovika kwa namna ya wazi ni kama 2 + 2 = 4 ni ngumu kuiprove lakini wewe umeamini kwamba hivyo ndivyo ilivyo na kupitia equation hiyo hiyo kuna maajabu mengi ya kihesabu yameanzia hapo na yamefanya vitu vikubwa duniani.
Bado hujathibitisha roho ipo.

Unalazimisha tu.
 
Hapa tutakesha ,nimesema hivi mwili wako wa kiroho na huu unaoweza kuona ni sawa tu man. Hakuna tofauti kubwa(tofauti nimekupa moja tu,kwamba huu mwili tulio nao si kitu unapotea lakini mwili wa roho unaishi daima)

Kusema kwamba umeumbwa kwa mfano wa Mungu maana yake ni kwamba you have God's spirit within you(hii haina maana kwamba wewe unafanana na Mungu(never,worst interpretation of scripture I guess)
Hahahaaa NITARUDI...
 
Anayesema roho ipo ndiye mwenye wajibu wa kuthibitisha roho ipo.

Mpaka sasa hujathibitisha roho ipo.

Thibitisha roho ipo.

Faith is not proof. Sijauliza kuhusu faith. Nimeuliza proof.

Thibitisha roho ipo.
But nimekupa hint kwamba kila discipline ina principles zake katika kufikia ukweli.

Labda kama unataka kila kitu kiende in a scientific way(hapa sitakuwa na msaada zaidi ya kusema kwamba kila la kheri)

When scientists do observation or experiments(always wanakuwa wanataka ku-draw conclusion(develop a theory,or come up with solution on something/truth/fact...whatever name you're comfortable with)).Hii ni sawa na watu wa theology wanavyotumia faith kukubali ukweli ambao ulishakuwa revealed(kwahiyo ukilazimisha kila kitu kiende in a scientific way lazima uwe na uwezo wa kufuta hizo discipline nyingine(kitu ambacho wewe huwezi ata ukipewa karne nzima))
 
ILa roho inakufu bana, 😅
Imeandikwa msiogope yeyote awezaye kuua mwili
Ila muogopeni yule awezaye kuua mwili na roho na ukasahaulika.
Ndio roho inakufa ila kwa maana ukipanda mbegu shambani itaoza kisha itaota na kuzaa mbegu zingine sasa jukumu la mbegu gani irudi tena shambani na ipi isirudi kwa maana ya kwamba itupwe au itumike kwenye matumizi mengine ni la mkulima na mfano huo huo uweke kwenye mwandamu na muumba wake.
 
But nimekupa hint kwamba kila discipline ina principles zake katika kufikia ukweli.

Labda kama unataka kila kitu kiende in a scientific way(hapa sitakuwa na msaada zaidi ya kusema kwamba kila la kheri)

When scientists do observation or experiments(always wanakuwa wanataka ku-draw conclusion(develop a theory,or come up with solution on something/truth/fact...whatever name you're comfortable with)).Hii ni sawa na watu wa theology wanavyotumia faith kukubali ukweli ambao ulishakuwa revealed(kwahiyo ukilazimisha kila kitu kiende in a scientific way lazima uwe na uwezo wa kufuta hizo discipline nyingine(kitu ambacho wewe huwezi ata ukipewa karne nzima))

Faith maana yake ni kukubali kitu bila kuthibitisha, maana yake hata uongo unaweza kuukubali kwa faith.

Fact inataka uthibitisho.

Thibitisha roho ipo au kubali roho si kitu cha fact ni kitu cha faith tu, kitu cha faith hata kama hakipo ni sawa mradi watu wameamua kukiamini tu.

Sijataka uthibitishe roho ipo kwa muktadha wa faith. Faith haihitaji uthibitisho.

Nataka uthibitishe roho ipo kama fact.
 
Usipate shida

Maandiko yameandika uongo

Mungu roho anakuwaje na matako ya kukalia kiti cha enzi?

Mungu roho anakuwaje na mdomo wa kumpulizia Adam pumzi?

Mungu roho anakuwaje na mikono ya kufinyanga udongo kumuumba Adamu? Je ni sahihi kuwaita wafinyanzi invisible kwasababu wamefanya the same thing na alichofanya invisible sky daddy?

Msiwe wepesi kudanganywa kirahisi, shirikisheni ubongo.
 
Watu wamemsema Mungu, wameshindwa kuthibitisha yupo kweli.

Wanasema Mungu ni roho, na roho nayo wameshindwa kuthibitisha ipo kweli.

Mpaka sasa hawajathibitisha Mungu yupo wala roho ipo.
 
Umejitahidi kutafakari Ila hujui mambo mengi sana na huiaujua uwezo wa Mungu! Endelea kujifunza na kusoma zaidi utakuja kuelewa ukiruhusu ufahamu wako kuelewa zaidi ya unavyoelewa Kwa sasa. Mungu ni Roho hana nyama kama unavyodhani. Tena akaamua kuuvaa mwili pale alipokuja duniani (Yesu Kristo) Kisha akaendelea Kwa mfumo huu (Roho Mtakatifu) anajua yote, ya rohoni na ya mwilini, ndiyo ameumba vinavyoonekana na visivyo onekana. Ameumba Dunia na mwili wa damu na nyama ameuumba ndiyo huu una asili ya Dunia hii. Haiwezekani aweze kuumba kitu asichokuwa na uwezo nacho. Yeye aliyeumba ni Mkuu kuliko kilichoumbwa, ni kama mfinyanzi na chombo cha udongo anachokifinyanga. Mungu ni Roho na mwanadamu ni roho ina nafsi inaishi ndani ya mwili wa damu na nyama. Mungu angekuwa na mwili wa nyama kusingeandikwa kwamba damu na nyama havitaurithi ufalme wa Mungu. Ila ipo miili ya kiroho, sasa usichanganye huu mwili wa kiroho na mwili wa damu na nyama mzee.
Well said, brethren.
 
Faith maana yake ni kukubali kitu bila kuthibitisha, maana yake hata uongo unaweza kuukubali kwa faith.

Fact inataka uthibitisho.

Thibitisha roho ipo au kubali roho si kitu cha fact ni kitu cha faith tu, kitu cha faith hata kama hakipo ni sawa mradi watu wameamua kukiamini tu.

Sijataka uthibitishe roho ipo kwa muktadha wa faith. Faith haihitaji uthibitisho.

Nataka uthibitishe roho ipo kama fact.
Nimekupa mfano wa mtu anapolala na kuota ndoto za mambo ya mbele ambayo bado hayajatokea halafu baada ya muda kupita mambo hayo aliyowahi kuyaota yanatokea kama yalivyo.

Hiyo ni moja ya uthibitisho ya kwamba roho ipo kwa maana ubongo huwa hauna kawaida ya kuchakata mambo ya mbele ila huwa unakawaida ya kuhifadhi na kuchakata mambo ambayo tayari yalishayokea na ndio maana ukifuta yote ambayo umejifunza tangu siku uliyozaliwa hadi leo humo kichwani mwako hautakua na tofauti na mtoto mchanga ambae hana analolijua kuhusu ulimwengu ila angalau anao uwezo wa kuota na kutabasamu pale anapolala pasipo mtu kumchekesha...

Roho ipo.
 
Usipate shida

Maandiko yameandika uongo

Mungu roho anakuwaje na matako ya kukalia kiti cha enzi?

Mungu roho anakuwaje na mdomo wa kumpulizia Adam pumzi?

Mungu roho anakuwaje na mikono ya kufinyanga udongo kumuumba Adamu? Je ni sahihi kuwaita wafinyanzi invisible kwasababu wamefanya the same thing na alichofanya invisible sky daddy?

Msiwe wepesi kudanganywa kirahisi, shirikisheni ubongo.
Angalau wewe umekuja na hoja fikirishi ambayo inazidi kusiriba imani yangu ya kusema Mungu ni roho iliyo na mwili.
 
Watu wamemsema Mungu, wameshindwa kuthibitisha yupo kweli.

Wanasema Mungu ni roho, na roho nayo wameshindwa kuthibitisha ipo kweli.

Mpaka sasa hawajathibitisha Mungu yupo wala roho ipo.
miaka 2000 iliyopita aliuvaa mwili wa damu na nyama akaishi kama binadamu,hilo limeshathibitishwa kihistoria na kibiblia..
Usiombe mapepo yakuingie...tutakuja kuyatoa kwa Jina lake ( i.e YESU) na utaamini tu ukuu wake.
 
Back
Top Bottom