Kuna uwezekano hajui vyama vya siasa na mikuto yote ya vyama vya siasa ni takwa la Kikatiba na sheria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama umeanza kuwa na wasiwasi naye leo basi nakupa pole mkuu, mwenziyo tangu atuambie kuwa tutaomboleza siku 14 badala ya 21 tukajua tayari fwamba.
Hujajibu swali wewe mwenye uwezo vipi unabwabwaja mitandaoni badala ya kwenda kuongoza inakuaje?Uwezo wa kuongoza sio kupiga hata majambazi yanapiga tena yanaua.
Hana uwezo kabisa huyo RaisBaada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo...
Ndio maana jiwe alikuwa anaogopa kuhojiwa kwa sababu hizi hizi.Mahojiano ya jana yameonesha udhaifu wa huyu mama.
Yote kwa yote nimpongeze kwa kuongea, jambo ambalo limetupa fursa ya kumjua na kumkosoa.
Tofauti kabisa na mkuu Jiwe ambaye alikuwa na 'aleji' na waandishi wa habari.
Rais (kiongozi) mzuri ni yule anayefuata sheria alizozikuta.Mie nilichojifunza. 'Hakuna' Rais mzuri aliyeko madarakani. Rais anaanza kuwa mzuri siku anayostaaf!
Wewe ni kitu gani kinakuambia kwamba kiongozi akiwa madarakani hatakiwi kukosolewa na wanaokosoa ni lazima wawe wapinzani? Inahitaji kupanua wigo wa uwezo wa kuchanganua ili kuwa rational.Twende mbele turudi nyuma upinzani lazima ujitafakari why mnakimbilia kumsapoti mtu bila kujiridhisha?? Kuna agenda nyingi za kusimamia ambazo zingewaboost suala la tozo,chanjo then mnakuja kwny katiba sasa nyie mnajua kabisa watanzania wengi Wana mashaka na chanjo nyie kutwa kuwahimiza suala la tozo kimya
Ile haikuwa interview yalikuwa mazungumzo ya posa tu
Get to know, hapa duniani kila kitu kinaendeshwa na siasa hata hiyo senti unayoitafuta iko controlled na siasa, mfano tozo ya uzalendo imezaliwa na siasa zetu.Kana kwamba sisi wengine hatujaiona ile interview? Kutafuta udhaifu kwenye performance bora kabisa kutoka kwa Rais Samia ni kudhihirisha jinsi miwani yenu ilivyowekwa tinted ili kuona tu yale mnayotaka myaone. Msipoyaona au kusikia Rais kashakuwa mbovu.
Ndio, hata sisi wengine bado tunamchunguza chunguza lakini hatumtafuti kwenye mambo yake ya siasa za CCM na Chadema. Sisi tunataka kila senti ya mvuja jasho itumike kuisogeza nchi mbele basi. Hayo mengine ya siasa zenu za Mbowe mtajifix wenyewe. Nchi ya watu milioni 60 haiwezi kutekwa na kundi maslahi dogo tu la watu waitwao wanasiasa.
Hahaha Amakweli Yamekuwa hayoIn short huyu mtu ni mweupe mnoo
Nimeisikia sana hiyo kauli "a man is a political animal" kujustify nguvu kubwa ya raslimali watu na raslimali fedha inayotumika kwenye siasa, tena za ushindani.Get to know, hapa duniani kila kitu kinaendeshwa na siasa hata hiyo senti unayoitafuta iko controlled na siasa, mfano tozo ya uzalendo imezaliwa na siasa zetu.
Tozo na Mbowe keshameza ndoano kaingia mkenge washammaliza kisiasa.Watanzaia Nani katuroga,mbona Kila Rais kwetu Ni mbaya na hatufai,Naamini mama yupo vizuri,Ila kwa issue ya mbowe tunasema mama HAPANA.MBOWE hana ugaidi wowote.mama samia ninakukubali Sana ipasavyo Ila busara za kuwatoa kaka zako wa UHAMSHO itumike kumtoa mbowe,mama Leo unavyomuona mbowe kuwa Ni Gaidi Basi unajikosesha imani kwa tuliokuamini.
Sheria inategemea tafsiri ya mtuRais (kiongozi) mzuri ni yule anayefuata sheria alizozikuta.
Uongozi unataka ngozi nene,kama una ngozi nyepesi kakune nazi.Umempa za uso vizuri sana!
Eti wanataka watukane waangaliwe tu, waandamane waangaliwe tu, wafanye ujinga wote waangaliwe tu!
hawa watu sometimes unaweza sema wana hidden agendas. Nchi gani makini Haina utaratibu mzuri wa kufanya mambo yake?