Nabii & Mch. Steven Gumbo: Kuna matukio 7 atakayoyafanya Tundu Lissu kuuangusha utawala wa Samia na CCM. Yameruhusiwa na Mungu. Hakuna wa kuzuia

Nabii & Mch. Steven Gumbo: Kuna matukio 7 atakayoyafanya Tundu Lissu kuuangusha utawala wa Samia na CCM. Yameruhusiwa na Mungu. Hakuna wa kuzuia

Duh

Unabii wa kimwili zaidi
Eti mtu wa Kiroho ni Gwajima, aaaaaah. Uhu gwajima aliye wadanganya watu kuwa zinasaidia atawapeleka wapiga kura wake marekani. Afadhala ata ungeniambia Geordev.
Acheni kutengeneza michongo yenu kisha kumsingizia Mungu. Yaani ktk watu wote wa kiroho TZ Mungu ndiyo kamuona Gwajima. Ahaaaaa, Do salalee.
 
Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Pamoja na yote, mtumishi amekiri kwamba ATASHINDA ingawa ushindi hautampa amani.
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

ETI MZEE WA TRENI NA MAREKANI - Gwajima!!🤮🤣🤣🤣
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Yapigwe mafisiemu,Yapigwe! Yapigwe mafisiemu,Yapigwe!yapigwe manduli fisiemu,Yapigwe. Mungu yapige haya matapeli na mafisadi yanayosema wanawake wazalishwe na waume zao kwa visu na mikasi. Yameiba yameshiba fedha za walipa Kodi Hadi yanaropoka tu. Hayaheshimu hata watu yanayowalipa mishahara. Piga yateketee kabisa
 
Vyovyote iwavyo ni kuwa Samia hatakuwa Rais. Akilazimisha, ataleta maafa lakini hatakuwa Rais, na ataishia na historia mbaya katika maisha yake.

Akiingiwa na hekima, atakuwa amehitimisha utawala wa CCM, na ataheshimika na kila mtu. Hekima kwake ni kuwaacha wananchi wamchague wanayemtaka kwa amani.
 
Bonge la debe.
Hongera mchungaji 😂😂😂
 
Nabii huyo mjanja sana, ameshaona Sasa ndo muda muafaka wa kuzipiga MBs za nyumbu wa lissu.......na atazipiga kweli kweli🤣🤣🤣🤣🤣

Nabii anajua vema kabisa kuwa nchi hii ni takatifu na ndo maana, kwa maamuzi yake, alimpitisha Samia kuwa Raisi Ili utakatifu wa nchi yetu uendelee. Alipofariki JPM wapo waliotaka iwe vinginevyo lkn ilishindikana kabisa na chaguo la Mungu (Samia) likasimama. Kwa wenye akili inaanzia mbali kidogo, tangu JPM anamteua mara mbili kuwa makamu ilikuwa ni mipango ya neno lake kutimia.

Nabii, kwakuwa mpango wako ni kupiga MBs za nyumbu, basi Mimi nasema zipige tu. Jumapili hii zungumzia tena hilo uendelee kujipigia.
 
Vyovyote iwavyo ni kuwa Samia hatakuwa Rais. Akilazimisha, ataleta maafa lakini hatakuwa Rais, na ataishia na historia mbaya katika maisha yake.

Akiingiwa na hekima, atakuwa amehitimisha utawala wa CCM, na ataheshimika na kila mtu. Hekima kwake ni kuwaacha wananchi wamchague wanayemtaka kwa amani.
Vyoyote iwavyo....

Vyovyote wafanyavyo....

Vyovyote wafikiriavyo....

Bi Samia Suluhu Hassan (Raia wa nchi ya kigeni iitwayo Zanzibar) hawezi kuwa Rais tena wa Tanganyika kwa muhula ujao 2025 - 2030

HUYU BIBI, MWANAMKE HAWEZI KUWA, HATAWEZA KUWA RAIS WA TANGANYIKA TENA HATA KAMA MAJESHI YA KUZIMU YOTE YATATOKA KUMSAIDIA KUWA...!!!

MBINGU IMESEMA...
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Njaa njaa njaa
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Nasubiri pressure ya Tlaatlaah na wenzie....
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

MamaSamia2025 anza kufungasha virago, safari ya Kizimkazi inakuhusu
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, ameona Tundu Lissu amevalishwa mabomu 7 yatakayolipuliwa kupitia kwake na kuuangusha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia milipuko hiyo kwa sababu mabomu hayo ni silaha za Mungu mwenyewe kuiangusha CCM na uatwala wake...

3. Huyu Tundu Lissu amejiandaa vya kutosha ndani na nje ya nchi kuwezesha kupiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili..

4. Watazuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya Tundu Lissu hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi lolote)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta CCM na utawala wake Tanganyika limefanikiwa...

SULUHISHO
➡ Ni mtu pekee mwenye uungu ndani yake ndiye atakayezuia haya. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Mtu mwenye uungu ni Mch. Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan sasa na sio kesho...

➡ Huyu Josephat Gwajima, hana chama. Yuko CCM huko kupita tu. Mkimkataa, atakwenda CHADEMA na akitua huko na nguvu za ki - Mungu alizonazo, CCM mmekwisha...

➡ CHADEMA nao wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na huku nyuma CHADEMA na CCM ndiyo itakuwa mwisho waenu...

➡ CCM acheni kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake utawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Hivi hii kitu unabii mbona mnauchukulia kama ulevi tu.
Yaani mtu akilala kilabuni pombe kichwani akiwaambia yeye ni Nabii basi nyie mnaabudu tu
 
Mzee, kama kweli Mungu ndiye kamchagua huyu, wewe ni nani kuukataa mpango wa Mungu..?

By the way, sio mimi asemaye haya. Tumia nafsi ya tatu kutoa maoni yako...

Mimi hapa ni mjumbe tu niliyeleta maneno haya toka kwa ndugu huyu ili kwa pamoja tujadiliane kupima ukweli na usahihi wa wa unabii wake kwa kuuweka ktk mizani ya maandiko matakatifu yaani Neno la Mungu..

Wewe unasemaje..?

Kwangu mimi, sina shaka naye kabisa. Hivyo ndivyo ilivyo na ishara zote zinaonesha hivyo...

Alitabiri kuabika na kuanguka kwa Freeman Mbowe, ikawa hivyo...

Hata hili sina shaka nalo kabisa..
Huyo Mungu wenu bila shaka ni mchongo tu
 
Huyo mtabiri atatekwa na wasiojulikana
 
Back
Top Bottom