Nacy Pelosi na Kampuni yake ya NVIDIA na mgogoro ndani ya USA ni upenyo kwa China

Nacy Pelosi na Kampuni yake ya NVIDIA na mgogoro ndani ya USA ni upenyo kwa China

Jesus Mlokozi

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
2,684
Reaction score
21,117
Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists.

China ameonesha namna mkubwa anvyotakiwa ku behave ili kuweka dunia iwe salama. Nchi nyingi zitamwamini mchina kuliko marekani.

Vilevile kwa namna hiyo imeonesha ni namna gani marekani hawako sawa ndani. Hii ni dawa ya kutuliza maumivu kwa muda mchache na siyo dawa ya kutibu tatizo walilonalo ndani huko wamarekani.

Tatizo kubwa lililopo ndani ya marekani na Nancy Pelosi ni kwamba imepitishwa Policy inayoyataka makampuni ya Semiconductors ya marekani kufanya kazi locally. Hapo Intel anapata benefit kubwa.

Upande wa mme wake Nacy Pelosi anaangukia pua na kampuni yake ya NVIDIA ambayo ipo Taiwan. You get the point now. Na unaunganisha dots.

Inasemekana mme wake anauza/ameuza hisa za NVIDIA kwa hasara. Pelosi hana cha kupoteza ni mtu ambaye hana matumaini. Yaani tukose wote style. Anavuruga uhusiano kati ya China na USA kwamba China ndio suppliers wa Rare Earth Metal ambazo ndizo zinatengeneza Semiconductors Huku USA and Taiwan ndio watengenezaji wakubwa wa Semiconductors.

Matokeo yake ni yapi sasa. Mgogoro ukiwepo kati ya USA na China, Semiconductors ndani ya USA zitakuwa expensive makampuni ya USA yaliyopo nje yatapata benefit kutokana na cheap Rare Earth Metal zinazotoka China. Huku kampuni yake ya NVIDIA ikiweka ushindani kwenye makampuni ya INTEL nk.

Hii issue is not direct as you think.
Kwa ziara ya Pelosi anayefaidika ni mchina. Na huenda aliye organize safari hii ni mchina.

NGOJA TUONE.
 
🆕🔥🔥🔥Washington does not support Taiwan's independence.

This was stated by the representative of the National Security Council at the White House, John Kirby.

"We oppose any unilateral changes to the status quo from any side," he said at a briefing.

Kirby added that the United States does not seek a conflict with China and will not engage in "saber rattling
How to say "zrada" in Taiwanese?🔥🔥🔥
 
Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists...
Hawa ndio wataiwani hapa kwa mtogole, nikireport kutoka china nchini Marekani ni mm bibi yenu Nancy Pelosi. Hahahaha ngoja niwahi mihogo kwa mama mudi ninywe chai.
 
Superpower wa mchongo asiyejiamini kwa anachokiamua kwamba nitafanya hili mwisho wa siku anageuka ng'ombe anatoa ulimi kuupeleka puani kisha anaurudisha mdomoni.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Sijaelewa unachoongea hapa. Hapa tunaongea economics unazijua theories of economic!?
 
1659502563775.png
 
Umeandika kwa Pupa sana kwanza anaitwa Nancy sio Nacy bado na makosa mengine tele ya kiuandishi,

Lakini kusema Mataifa mengine yatamuamini Mchina sababu hakuianza Vita ni kichekesho sio yeye ndie aliyetishia hali ya Vita??

All in All Nancy Pelosi ni Mwanamke Shujaa na Shupavu.
 
Umeandika kwa Pupa sasa kwanza anaitwa Nancy sio Nacy bado na makosa mengine tele ya kiuandishi...
Hapa ndani kuna sehemu yeyote neandika vita. Unajua kazi ya Semiconductor!? Je, unajua Rare earth metals!?
Tatu nimeongelea primitive imperialism unajua ni nini!?

Nijibu kwanza hapo kisha uje na arguments zako nizijibu. Njoo na hoja achana na vioja.
 
Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists...
Sasa yale maneno ya raisi wa china kuwa US isicheze na moto aliyatoa ya nini wakati anajua ubavu wa kutoa moto hana si angekaa kimya tu naona unajifariji sana eti safari ya speaker wa US aorganize mchina?

Hoja zako zimejaa maneno inasemekana, huenda yaan huna hata uhakika lakini yote hiyo ni kujifariji na aibu ya jana.
 
Sasa yale maneno ya raisi wa china kuwa US isicheze na moto aliyatoa ya nini wakati anajua ubavu wa kutoa moto hana si angekaa kimya tu naona unajifariji sana eti safari ya speaker wa US aorganize mchina? hoja zako zimejaa maneno inasemekana, huenda yaan huna hata uhakika lakini yote hiyo ni kujifariji na aibu ya jana.
Ujinga ni kudhani moto unatolewa kwa kupigana na kuua watu.
Soma bandiko langu nililoliandika mpaka mwisho. China ndiyo producer mkuu wa rare earth mineral. Na hizo rare earth mineral kwa sasa ni kama oil and gas. Kwa mtu mwenye akili utajiuliza mara mbilimbili.

Vilevile ndani ya marekani upo mpasuko mkubwa mno.

Kuku wako kwanini umshikie manati. Msubiri aingie bandani utamkamata na kumchinja kirahisi.
1. China kwenye upande wa diplomacy
2. China mpaka leo hii anahaki zote na sababu zote za kubadilisha uongozi ndani ya Taiwani

3. Angeamua kushambulia angeua wachina wenzake which is a stupid idea.
4. Hakuna sehemu china walisema watailipua ndege ya Nancy.

Tusubiri tuweze kuona.....
 
Umeandika kwa Pupa sasa kwanza anaitwa Nancy sio Nacy bado na makosa mengine tele ya kiuandishi,

Lakini kusema Mataifa mengine yatamuamini Mchina sababu hakuianza Vita ni kichekesho sio yeye ndie aliyetishia hali ya Vita??

All in All Nancy Pelosi ni Mwanamke Shujaa na Shupavu.
Safi sana na mimi ninaongezea kitu hapa ambacho wengi hawataki kukiongelea,huyu US Speaker alikua mstari wa mbele kupinga mauaji ya China pale Hong Kong 🇭🇰, alikwenda kule na kusimama na viongozi waliokua wanapinga ukatili wa China dhidi ya wapigania democracy wa 🇭🇰, China bado wana kisasi naye huyu strong woman, ni bora uwe na mwanamke mmoja kama huyu kuliko na kuwa na makunguru wa humu JF
 
Safi sana na mimi ninaongezea kitu hapa ambacho wengi hawataki kukiongelea,huyu US Speaker alikua mstari wa mbele kupinga mauaji ya China pale Hong Kong 🇭🇰, alikwenda kule na kusimama na viongozi waliokua wanapinga ukatili wa China dhidi ya wapigania democracy wa 🇭🇰, China bado wana kisasi naye huyu strong woman, ni bora uwe na mwanamke mmoja kama huyu kuliko na kuwa na makunguru wa humu JF
Pro China wengi hawataki kulisema hili wanazunguka tu kutengeneza stori za kuunga unga
 
Back
Top Bottom