Nacy Pelosi na Kampuni yake ya NVIDIA na mgogoro ndani ya USA ni upenyo kwa China

Nacy Pelosi na Kampuni yake ya NVIDIA na mgogoro ndani ya USA ni upenyo kwa China

Pro china wanatafuta pa kufutia aibu kwa kilichotokea jana, ni hawa hawa walikuwa wakisema china atazuia nancy kwenda taiwan
Nakumbuka sana mkuu, wakat wa vita ukraine ilipoanza walisema china atakaa upande wa russia kwa kila kitu.

Tukawaambia humu hilo haliwezekani sababu china kwa sasa amestaarabika kwa namna flani, na amestaarabika kutokana na westerns kubadili mitazamo yao.

Tukawaambia uchumi wa china upo mikononi wa westerns, kwahiyo hakuna ambalo china anaweza akalifanya kinyume na hao jamaa. Naona kwa sasa wanaanza kuamini.
 
Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists.

China ameonesha namna mkubwa anvyotakiwa ku behave ili kuweka dunia iwe salama. Nchi nyingi zitamwamini mchina kuliko marekani.

Vilevile kwa namna hiyo imeonesha ni namna gani marekani hawako sawa ndani. Hii ni dawa ya kutuliza maumivu kwa muda mchache na siyo dawa ya kutibu tatizo walilonalo ndani huko wamarekani.

Tatizo kubwa lililopo ndani ya marekani na Nancy Pelosi ni kwamba imepitishwa Policy inayoyataka makampuni ya Semiconductors ya marekani kufanya kazi locally. Hapo Intel anapata benefit kubwa.

Upande wa mme wake Nacy Pelosi anaangukia pua na kampuni yake ya NVIDIA ambayo ipo Taiwan. You get the point now. Na unaunganisha dots.

Inasemekana mme wake anauza/ameuza hisa za NVIDIA kwa hasara. Pelosi hana cha kupoteza ni mtu ambaye hana matumaini. Yaani tukose wote style. Anavuruga uhusiano kati ya China na USA kwamba China ndio suppliers wa Rare Earth Metal ambazo ndizo zinatengeneza Semiconductors Huku USA and Taiwan ndio watengenezaji wakubwa wa Semiconductors.

Matokeo yake ni yapi sasa. Mgogoro ukiwepo kati ya USA na China, Semiconductors ndani ya USA zitakuwa expensive makampuni ya USA yaliyopo nje yatapata benefit kutokana na cheap Rare Earth Metal zinazotoka China. Huku kampuni yake ya NVIDIA ikiweka ushindani kwenye makampuni ya INTEL nk.

Hii issue is not direct as you think.
Kwa ziara ya Pelosi anayefaidika ni mchina. Na huenda aliye organize safari hii ni mchina.

NGOJA TUONE.
It's too late.. kuhamishia viwanda USA sahii wamechelewa mno mchini kashaibena teknolojia yao kitambo mno

Kingine hizo rare earth metals dunia nzima zinaongoza kupatikana Kongo ambapo majeshi ya umoja wa mataifa wanawalinda wanayo yaiba(nchi za magharibi China ikiwepo na Rwanda pia)

Faida ya kuwepo kwa viwanda vya marekani nchini China ni uwepo wa cheap labour ambao wapo skilled sio kama marekani hao watu kuwalipa ni gharama.. so kama ikitoa viwanda vikahamishiwa Marekani tutakao umia ni sisi watumiaji.. tusishangilie kabisa wote tunajua China anajitahidi but kwenye tech bado anakuwa anategemea leseni nyingi kutoka USA ili aweze kufanya kazi
 
It's too late.. kuhamishia viwanda USA sahii wamechelewa mno mchini kashaibena teknolojia yao kitambo mno

Kingine hizo rare earth metals dunia nzima zinaongoza kupatikana Kongo ambapo majeshi ya umoja wa mataifa wanawalinda wanayo yaiba(nchi za magharibi China ikiwepo na Rwanda pia)

Faida ya kuwepo kwa viwanda vya marekani nchini China ni uwepo wa cheap labour ambao wapo skilled sio kama marekani hao watu kuwalipa ni gharama.. so kama ikitoa viwanda vikahamishiwa Marekani tutakao umia ni sisi watumiaji.. tusishangilie kabisa wote tunajua China anajitahidi but kwenye tech bado anakuwa anategemea leseni nyingi kutoka USA ili aweze kufanya kazi
True.. Yani kwa uwekezaji USA aliofanya china leo hii umtoe alishindwa trump watu wakamgomea wataalamu wenyewe wa uchumi wa US wanasema kama iz i phone zingekuwa zinafnyiwa kila kitu apa USA basi bei yake ingekuwa mara3 ya hii tunayoiona sasa nini kingetokea apple wangecollapse faster na kingine soko la china na uwingi wa watu wao siyo mchezo nani ambaye alitaki soko la china elon musk mwenyewe magari yake ya umeme mengi yanatengenezewa china ata west wenyewe hawana cha kumfanya China kiuchumi ameshikilia makampuni yao yote makubwa ana hisa nyingi tu
 
Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists.

China ameonesha namna mkubwa anvyotakiwa ku behave ili kuweka dunia iwe salama. Nchi nyingi zitamwamini mchina kuliko marekani.

Vilevile kwa namna hiyo imeonesha ni namna gani marekani hawako sawa ndani. Hii ni dawa ya kutuliza maumivu kwa muda mchache na siyo dawa ya kutibu tatizo walilonalo ndani huko wamarekani.

Tatizo kubwa lililopo ndani ya marekani na Nancy Pelosi ni kwamba imepitishwa Policy inayoyataka makampuni ya Semiconductors ya marekani kufanya kazi locally. Hapo Intel anapata benefit kubwa.

Upande wa mme wake Nacy Pelosi anaangukia pua na kampuni yake ya NVIDIA ambayo ipo Taiwan. You get the point now. Na unaunganisha dots.

Inasemekana mme wake anauza/ameuza hisa za NVIDIA kwa hasara. Pelosi hana cha kupoteza ni mtu ambaye hana matumaini. Yaani tukose wote style. Anavuruga uhusiano kati ya China na USA kwamba China ndio suppliers wa Rare Earth Metal ambazo ndizo zinatengeneza Semiconductors Huku USA and Taiwan ndio watengenezaji wakubwa wa Semiconductors.

Matokeo yake ni yapi sasa. Mgogoro ukiwepo kati ya USA na China, Semiconductors ndani ya USA zitakuwa expensive makampuni ya USA yaliyopo nje yatapata benefit kutokana na cheap Rare Earth Metal zinazotoka China. Huku kampuni yake ya NVIDIA ikiweka ushindani kwenye makampuni ya INTEL nk.

Hii issue is not direct as you think.
Kwa ziara ya Pelosi anayefaidika ni mchina. Na huenda aliye organize safari hii ni mchina.

NGOJA TUONE.
Hata sijakuelewa, yani mnunuzi wa hizo shares sio raia wa USA? Kama ndivyo basi inawezekana NVIDIA ikaleta ushindani.

Yote na yote bado USA haishindwi kuweka vikwazo wa hio NVIDIA kwenye nchi washirika kama 5G transmitters, huawei na ZTE endapo tu ikiwa threat kwa makampuni kama Intel. Kwa maana uzalishaji ukifanyika USA ni wazi bidhaa zake hazitoweza shindana na Chinese kwa bei.

Akipigwa marufuku isiuzwe ulaya na America China itafanya nini?

Halafu kama kiwanda kipo Taiwan China inanufaika vipi?

Kama USA anataka production ziwe locally China itaumia sana.
 
China hana jipya yaweza kuwa ndio anguko lao, kama production ikiwa locally USA itapiga marufuku bidhaa zote za macho madogo, pia China ikiingia vitani itapigwa vita kama sanctions kuwakomesha, wasimame wainuke mshale unawahusu hapo inabidi awe mpole.
 
True.. Yani kwa uwekezaji USA aliofanya china leo hii umtoe alishindwa trump watu wakamgomea wataalamu wenyewe wa uchumi wa US wanasema kama iz i phone zingekuwa zinafnyiwa kila kitu apa USA basi bei yake ingekuwa mara3 ya hii tunayoiona sasa nini kingetokea apple wangecollapse faster na kingine soko la china na uwingi wa watu wao siyo mchezo nani ambaye alitaki soko la china elon musk mwenyewe magari yake ya umeme mengi yanatengenezewa china ata west wenyewe hawana cha kumfanya China kiuchumi ameshikilia makampuni yao yote makubwa ana hisa nyingi tu
Kabisa mkuu
 
Safi sana na mimi ninaongezea kitu hapa ambacho wengi hawataki kukiongelea,huyu US Speaker alikua mstari wa mbele kupinga mauaji ya China pale Hong Kong 🇭🇰, alikwenda kule na kusimama na viongozi waliokua wanapinga ukatili wa China dhidi ya wapigania democracy wa 🇭🇰, China bado wana kisasi naye huyu strong woman, ni bora uwe na mwanamke mmoja kama huyu kuliko na kuwa na makunguru wa humu JF
Punguza kuangalia BBC na CNN.
 
ngonjera za nn wazee mmesha change gia tena
punguzen mahaba mchina hana tofauti na Mandonga maneno meeengi ulingoni chali
 
Mume wa Nancy alikuwa mmiliki wa hisa aroung hisa 25,000 kaziuza at a loss. nvidia wana malaki ya hisa so siyo kweli kuwa eti mume wa Nancy alikuwa mmiliki kwa maana kuwa na na maamuz as mmiliki mwenye hisa nyingi.
okay mkuu
 
Ujinga ni kudhani moto unatolewa kwa kupigana na kuua watu.
Soma bandiko langu nililoliandika mpaka mwisho. China ndiyo producer mkuu wa rare earth mineral. Na hizo rare earth mineral kwa sasa ni kama oil and gas. Kwa mtu mwenye akili utajiuliza mara mbilimbili.

Vilevile ndani ya marekani upo mpasuko mkubwa mno.

Kuku wako kwanini umshikie manati. Msubiri aingie bandani utamkamata na kumchinja kirahisi.
1. China kwenye upande wa diplomacy
2. China mpaka leo hii anahaki zote na sababu zote za kubadilisha uongozi ndani ya Taiwani

3. Angeamua kushambulia angeua wachina wenzake which is a stupid idea.
4. Hakuna sehemu china walisema watailipua ndege ya Nancy.

Tusubiri tuweze kuona.....
M_Russia mPaka Sasa anaua Ndugu zake wa Ukraine. Ni Kama Tanganyika ishambulie Zanzibar Baada ya muungano kuvunjika. Hii ni stupid idea, au sio!?
 
nyie pro nato tufikishieni izi salamu kwa uyu bibi yenu kuwa akitoka apo Taiwani tunamuomba aje atembelee Crimea wananchi wanamkubali sana[emoji847][emoji847] alafu aone kitakachomkuta
Mara hii mnahamisha magoli!? Hapo Crimea uko sehemu gani!? Nipe location. Nasikia siku hizi mnatumia currency ya M_Russia.
 
M_Russia mPaka Sasa anaua Ndugu zake wa Ukraine. Ni Kama Tanganyika ishambulie Zanzibar Baada ya muungano kuvunjika. Hii ni stupid idea, au sio!?
Km ndugu kaamua kuwa upande wa adui unafanyaje?
 
Back
Top Bottom