Nacy Pelosi na Kampuni yake ya NVIDIA na mgogoro ndani ya USA ni upenyo kwa China

Nacy Pelosi na Kampuni yake ya NVIDIA na mgogoro ndani ya USA ni upenyo kwa China

Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists.

China ameonesha namna mkubwa anvyotakiwa ku behave ili kuweka dunia iwe salama. Nchi nyingi zitamwamini mchina kuliko marekani.

Vilevile kwa namna hiyo imeonesha ni namna gani marekani hawako sawa ndani. Hii ni dawa ya kutuliza maumivu kwa muda mchache na siyo dawa ya kutibu tatizo walilonalo ndani huko wamarekani.

Tatizo kubwa lililopo ndani ya marekani na Nancy Pelosi ni kwamba imepitishwa Policy inayoyataka makampuni ya Semiconductors ya marekani kufanya kazi locally. Hapo Intel anapata benefit kubwa.

Upande wa mme wake Nacy Pelosi anaangukia pua na kampuni yake ya NVIDIA ambayo ipo Taiwan. You get the point now. Na unaunganisha dots.

Inasemekana mme wake anauza/ameuza hisa za NVIDIA kwa hasara. Pelosi hana cha kupoteza ni mtu ambaye hana matumaini. Yaani tukose wote style. Anavuruga uhusiano kati ya China na USA kwamba China ndio suppliers wa Rare Earth Metal ambazo ndizo zinatengeneza Semiconductors Huku USA and Taiwan ndio watengenezaji wakubwa wa Semiconductors.

Matokeo yake ni yapi sasa. Mgogoro ukiwepo kati ya USA na China, Semiconductors ndani ya USA zitakuwa expensive makampuni ya USA yaliyopo nje yatapata benefit kutokana na cheap Rare Earth Metal zinazotoka China. Huku kampuni yake ya NVIDIA ikiweka ushindani kwenye makampuni ya INTEL nk.

Hii issue is not direct as you think.
Kwa ziara ya Pelosi anayefaidika ni mchina. Na huenda aliye organize safari hii ni mchina.

NGOJA TUONE.
Mnahamisha magoli....china ni mwanasesere wa USA
 
China kachukua hatua za busara sana, nawapongeza China. Marekani ni mchokozi na kwa makusudi anataka na anatumia mbinu yoyote ili China ishuke kiuchumi pale China itakapoingia vita na Taiwan. Kama kawaida Marekani atajiweka pembeni huku akicheka kicheko cha kebehi. Intelijensia ya China imefanya maamuzi sahihi sana ili kulinda uchumi wake.
 
Wale wazandiki waliokuwa wanasema Urusi ni mchokozi dhidi ya Ukraine, hawasemi chochote kuhusiana na mabavu , miguvu na vitidho vya kila namna alivyotumia USA kwa kumpeleka speaker wao huko Taiwani
 
Wale wazandiki waliokuwa wanasema Urusi ni mchokozi dhidi ya Ukraine, hawasemi chochote kuhusiana na mabavu , miguvu na vitidho vya kila namna alivyotumia USA kwa kumpeleka speaker wao huko Taiwani
wataiwan wanajiona wapo huru ndio maana wamempokea mgeni , wenye mamlaka ya Taiwan ni wataiwan wenyew na sio China
 
China kachukua hatua za busara sana, nawapongeza China. Marekani ni mchokozi na kwa makusudi anataka na anatumia mbinu yoyote ili China ishuke kiuchumi pale China itakapoingia vita na Taiwan. Kama kawaida Marekani atajiweka pembeni huku akicheka kicheko cha kebehi. Intelijensia ya China imefanya maamuzi sahihi sana ili kulinda uchumi wake.
Kwann wao wajione wana haki dhidi ya Taiwan na Taiwan isiwe na haki dhidi yao ? kama bado huelew bas ntakupia ada Milembe
 
Kumbe hii kampuni ya NVIDIA ni ya mume wa NANCY PELOSI... KAZI IPO
Si ya mme wake hiyo ni listed company, ila mme wake kanunua hisa nyingi kabla mswada wa chip haujapita
 
Hata sijakuelewa, yani mnunuzi wa hizo shares sio raia wa USA? Kama ndivyo basi inawezekana NVIDIA ikaleta ushindani.

Yote na yote bado USA haishindwi kuweka vikwazo wa hio NVIDIA kwenye nchi washirika kama 5G transmitters, huawei na ZTE endapo tu ikiwa threat kwa makampuni kama Intel. Kwa maana uzalishaji ukifanyika USA ni wazi bidhaa zake hazitoweza shindana na Chinese kwa bei.

Akipigwa marufuku isiuzwe ulaya na America China itafanya nini?

Halafu kama kiwanda kipo Taiwan China inanufaika vipi?

Kama USA anataka production ziwe locally China itaumia sana.
Nasemaga kila siku humu, China ni wa kawaida mno kwa US. US anaweza akamfanya china chochote atakacho.
 
Back
Top Bottom