Nakumbuka sana mkuu, wakat wa vita ukraine ilipoanza walisema china atakaa upande wa russia kwa kila kitu.Pro china wanatafuta pa kufutia aibu kwa kilichotokea jana, ni hawa hawa walikuwa wakisema china atazuia nancy kwenda taiwan
It's too late.. kuhamishia viwanda USA sahii wamechelewa mno mchini kashaibena teknolojia yao kitambo mnoHapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists.
China ameonesha namna mkubwa anvyotakiwa ku behave ili kuweka dunia iwe salama. Nchi nyingi zitamwamini mchina kuliko marekani.
Vilevile kwa namna hiyo imeonesha ni namna gani marekani hawako sawa ndani. Hii ni dawa ya kutuliza maumivu kwa muda mchache na siyo dawa ya kutibu tatizo walilonalo ndani huko wamarekani.
Tatizo kubwa lililopo ndani ya marekani na Nancy Pelosi ni kwamba imepitishwa Policy inayoyataka makampuni ya Semiconductors ya marekani kufanya kazi locally. Hapo Intel anapata benefit kubwa.
Upande wa mme wake Nacy Pelosi anaangukia pua na kampuni yake ya NVIDIA ambayo ipo Taiwan. You get the point now. Na unaunganisha dots.
Inasemekana mme wake anauza/ameuza hisa za NVIDIA kwa hasara. Pelosi hana cha kupoteza ni mtu ambaye hana matumaini. Yaani tukose wote style. Anavuruga uhusiano kati ya China na USA kwamba China ndio suppliers wa Rare Earth Metal ambazo ndizo zinatengeneza Semiconductors Huku USA and Taiwan ndio watengenezaji wakubwa wa Semiconductors.
Matokeo yake ni yapi sasa. Mgogoro ukiwepo kati ya USA na China, Semiconductors ndani ya USA zitakuwa expensive makampuni ya USA yaliyopo nje yatapata benefit kutokana na cheap Rare Earth Metal zinazotoka China. Huku kampuni yake ya NVIDIA ikiweka ushindani kwenye makampuni ya INTEL nk.
Hii issue is not direct as you think.
Kwa ziara ya Pelosi anayefaidika ni mchina. Na huenda aliye organize safari hii ni mchina.
NGOJA TUONE.
True.. Yani kwa uwekezaji USA aliofanya china leo hii umtoe alishindwa trump watu wakamgomea wataalamu wenyewe wa uchumi wa US wanasema kama iz i phone zingekuwa zinafnyiwa kila kitu apa USA basi bei yake ingekuwa mara3 ya hii tunayoiona sasa nini kingetokea apple wangecollapse faster na kingine soko la china na uwingi wa watu wao siyo mchezo nani ambaye alitaki soko la china elon musk mwenyewe magari yake ya umeme mengi yanatengenezewa china ata west wenyewe hawana cha kumfanya China kiuchumi ameshikilia makampuni yao yote makubwa ana hisa nyingi tuIt's too late.. kuhamishia viwanda USA sahii wamechelewa mno mchini kashaibena teknolojia yao kitambo mno
Kingine hizo rare earth metals dunia nzima zinaongoza kupatikana Kongo ambapo majeshi ya umoja wa mataifa wanawalinda wanayo yaiba(nchi za magharibi China ikiwepo na Rwanda pia)
Faida ya kuwepo kwa viwanda vya marekani nchini China ni uwepo wa cheap labour ambao wapo skilled sio kama marekani hao watu kuwalipa ni gharama.. so kama ikitoa viwanda vikahamishiwa Marekani tutakao umia ni sisi watumiaji.. tusishangilie kabisa wote tunajua China anajitahidi but kwenye tech bado anakuwa anategemea leseni nyingi kutoka USA ili aweze kufanya kazi
Hata sijakuelewa, yani mnunuzi wa hizo shares sio raia wa USA? Kama ndivyo basi inawezekana NVIDIA ikaleta ushindani.Hapa China ka win pakubwa sana kwenye international diplomacy. Wajinga wasiojua wanaangalia upade wa ubabe na primitive thinkig ya imperialists.
China ameonesha namna mkubwa anvyotakiwa ku behave ili kuweka dunia iwe salama. Nchi nyingi zitamwamini mchina kuliko marekani.
Vilevile kwa namna hiyo imeonesha ni namna gani marekani hawako sawa ndani. Hii ni dawa ya kutuliza maumivu kwa muda mchache na siyo dawa ya kutibu tatizo walilonalo ndani huko wamarekani.
Tatizo kubwa lililopo ndani ya marekani na Nancy Pelosi ni kwamba imepitishwa Policy inayoyataka makampuni ya Semiconductors ya marekani kufanya kazi locally. Hapo Intel anapata benefit kubwa.
Upande wa mme wake Nacy Pelosi anaangukia pua na kampuni yake ya NVIDIA ambayo ipo Taiwan. You get the point now. Na unaunganisha dots.
Inasemekana mme wake anauza/ameuza hisa za NVIDIA kwa hasara. Pelosi hana cha kupoteza ni mtu ambaye hana matumaini. Yaani tukose wote style. Anavuruga uhusiano kati ya China na USA kwamba China ndio suppliers wa Rare Earth Metal ambazo ndizo zinatengeneza Semiconductors Huku USA and Taiwan ndio watengenezaji wakubwa wa Semiconductors.
Matokeo yake ni yapi sasa. Mgogoro ukiwepo kati ya USA na China, Semiconductors ndani ya USA zitakuwa expensive makampuni ya USA yaliyopo nje yatapata benefit kutokana na cheap Rare Earth Metal zinazotoka China. Huku kampuni yake ya NVIDIA ikiweka ushindani kwenye makampuni ya INTEL nk.
Hii issue is not direct as you think.
Kwa ziara ya Pelosi anayefaidika ni mchina. Na huenda aliye organize safari hii ni mchina.
NGOJA TUONE.
Kabisa mkuuTrue.. Yani kwa uwekezaji USA aliofanya china leo hii umtoe alishindwa trump watu wakamgomea wataalamu wenyewe wa uchumi wa US wanasema kama iz i phone zingekuwa zinafnyiwa kila kitu apa USA basi bei yake ingekuwa mara3 ya hii tunayoiona sasa nini kingetokea apple wangecollapse faster na kingine soko la china na uwingi wa watu wao siyo mchezo nani ambaye alitaki soko la china elon musk mwenyewe magari yake ya umeme mengi yanatengenezewa china ata west wenyewe hawana cha kumfanya China kiuchumi ameshikilia makampuni yao yote makubwa ana hisa nyingi tu
Punguza kuangalia BBC na CNN.Safi sana na mimi ninaongezea kitu hapa ambacho wengi hawataki kukiongelea,huyu US Speaker alikua mstari wa mbele kupinga mauaji ya China pale Hong Kong 🇭🇰, alikwenda kule na kusimama na viongozi waliokua wanapinga ukatili wa China dhidi ya wapigania democracy wa 🇭🇰, China bado wana kisasi naye huyu strong woman, ni bora uwe na mwanamke mmoja kama huyu kuliko na kuwa na makunguru wa humu JF
Acha upumbavu, mimi sio zuzu wa kuangalia TBC..Punguza kuangalia BBC na CNN.
Kwahiyo kwa kuwa unaangalia BBC wewe sio zuzu?Acha upumbavu, mimi sio zuzu wa kuangalia TBC..
okay mkuuMume wa Nancy alikuwa mmiliki wa hisa aroung hisa 25,000 kaziuza at a loss. nvidia wana malaki ya hisa so siyo kweli kuwa eti mume wa Nancy alikuwa mmiliki kwa maana kuwa na na maamuz as mmiliki mwenye hisa nyingi.
Kama Mchina anajua hilo, mbona kelele nyingi Kama Chiriku!?Uzuri bibi ataondoka Taiwan ipo palepale jirani na china.......Shida ni juu yao
M_Russia mPaka Sasa anaua Ndugu zake wa Ukraine. Ni Kama Tanganyika ishambulie Zanzibar Baada ya muungano kuvunjika. Hii ni stupid idea, au sio!?Ujinga ni kudhani moto unatolewa kwa kupigana na kuua watu.
Soma bandiko langu nililoliandika mpaka mwisho. China ndiyo producer mkuu wa rare earth mineral. Na hizo rare earth mineral kwa sasa ni kama oil and gas. Kwa mtu mwenye akili utajiuliza mara mbilimbili.
Vilevile ndani ya marekani upo mpasuko mkubwa mno.
Kuku wako kwanini umshikie manati. Msubiri aingie bandani utamkamata na kumchinja kirahisi.
1. China kwenye upande wa diplomacy
2. China mpaka leo hii anahaki zote na sababu zote za kubadilisha uongozi ndani ya Taiwani
3. Angeamua kushambulia angeua wachina wenzake which is a stupid idea.
4. Hakuna sehemu china walisema watailipua ndege ya Nancy.
Tusubiri tuweze kuona.....
Mara hii mnahamisha magoli!? Hapo Crimea uko sehemu gani!? Nipe location. Nasikia siku hizi mnatumia currency ya M_Russia.nyie pro nato tufikishieni izi salamu kwa uyu bibi yenu kuwa akitoka apo Taiwani tunamuomba aje atembelee Crimea wananchi wanamkubali sana[emoji847][emoji847] alafu aone kitakachomkuta
Km ndugu kaamua kuwa upande wa adui unafanyaje?M_Russia mPaka Sasa anaua Ndugu zake wa Ukraine. Ni Kama Tanganyika ishambulie Zanzibar Baada ya muungano kuvunjika. Hii ni stupid idea, au sio!?
Mimi naaangalia CGTN television ya propaganda ya serikali ya China aka TBC ya China.Punguza kuangalia BBC na CNN.