Nadhani nilikosea kuoa binti niliemzidi sana umri

Nguvu za kiume umeishiwa ndugu pole sana fanya mazoezi kula vizuri piga show mtoto mpaka awe anaridhika unakojoa haraka haraka ili iweje
Mi wangu tofauti kanizid 15 yupo 40 something na moto anapeleka na kakuzidi wewe umri unakwama wapi dogo
Na wanawake kila tunavyokuwa hamu ya ngono inaongezeka zaidi
 
Vijana wa hovyo wape namba wampelekeee motroo. Ila piga tizi sana mkuu na acha kula masoda haya mabia kwa sana. Fanya mazoezi huo ndio umri wa kumchakata mtoto mpaka aombe pooh
 
Nisipojikaza nahisi nitasaidiwa ila kwakweli energy ya haya mambo sina kabisa kwa sasa, bora ningepata mtu mzima mwenzangu tukaenda aste aste tu.
piga mtoto mmoja au wawili uone kama ataendekeza hayo mambo. Atakuwa hana hata muda mpaka wewe mwenyewe utaulizia.
 
32 mwanangu bado sana.
Jana nlikua najaza taarifa wa wateja walikuja kutafuta huduma ya cheti cha kuzaliwa. Mume kazaliwa 1975 mke 1990. Ona gape hilo na bado jamaa anaichakata mbususu.

Mpige mimba mkeo.
 
Toa namba tukusaidie.
 
Miaka 22 ni mtu mzima?
 
Pole sana aisee,hakuna mwanaume rijali anayeweza kuandika ujinga huu.Eti bze maisha,jitibie haraka sana aisee
 
Weee. Sio kwa hivi vitoto vya millennium. Moja kwa 100. Naye huyo mmoja asikutane na mashoga zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…