NAFASI YA AJIRA: Kijana Mwenzangu Chukua Mkopo wa Kusambaza Nishati Safi ya Kupikia mijini na vijijini (Ni fursa kubwa sana hii)

Grest! Simple and clear. Kweli wewe ni manager wa makampuni.

Sasa fungua kampuni yako uache kuandikia makampuni ya watu( jokes)
😃😃😃
 
Wewe ndio meneja wa NMB?
 
Dhamana ya mkopo ni Hati ya nyumba!
Vijana hawana hati Wala nyumba!
Ni muda wa kujiongeza sasa, kununua viwanja vya serikali (halmashauri). Hapo jiji la Tanga wanauza viwanja vilivyopimwa kwa gharama ndogo tu ya kuanzia shilingi milioni 1. Mnaweza jichanga hata watatu mkapata kiwanja chenye hati na mkajenga nyumba ndogo tu mkaipaka rangi na kuweka alluminium ili kupandisha thamani, mkampooza na valuer aipandishe thamani, mpate mkopo kwa lengo la kuufanyia biashara na kuulipa. Ni njia ya kujiongeza kukidhi masharti ya kukopesheka.

Mnadanganya kwa faida, sio kukopa hela na kutolipa.

Jiangalizie viwanja hapo palipoandikwa LAND SALES, chagua Tanga jiji, Tunduru au Misungwi, ndio zipo plot za bei nafuu. Mbeya jiji vipo vya milioni 2 na kuendelea, mnajichanga hata 4
 
Nashukuru kwa ushauri mzuri !
Tatizo unanunua kiwanja cha Halmashauri Tsh 2m, ndio dhamani yake.
Kiwanja hicho unaweza kukutumia kukopea Tsh 100 m?
 
Aya mambo yaliwah kuja na hapo nyuma et kweny wilaya hela zimetolewa vijana mkakope daaah qumamae kbs, hakuna cha mama wazee ni usengeusenge mwingi kama wa airtel kukupa elfu ishirini kwenye account yako hahahahahah.
 
Aya mambo yaliwah kuja na hapo nyuma et kweny wilaya hela zimetolewa vijana mkakope daaah qumamae kbs, hakuna cha mama wazee ni usengeusenge mwingi kama wa airtel kukupa elfu ishirini kwenye account yako hahahahahah.
Kwenye gesi mambo hayapo hivyo. Limiti ya mkopo ni billioni mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…