FURSA KUBWA KWA WAJASIRIAMALI NA WAFANYABIASHARA!
View attachment 3220855
Benki ya
NMB imetenga
Shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya
Mikopo ya Miradi na Biashara za kusambaza Nishati Safi ya Kupikia kwa Watanzania.
SIFA ZA MKOPO:
✔
Riba nafuu ya 1% kwa mwezi (12% kwa mwaka, reducing balance hivyo effective interest rate ni
6.6%).
✔
Mkopo wa hadi Shilingi Bilioni 1 kwa mfanyabiashara mmoja.
✔
Muda wa mkopo hadi miaka 2 – unachagua muda wa kulipa usiozidi miaka 2.
Fursa hii ni kwa Wasambazaji wa Mitungi na Majiko ya Gesi!
UUzinduzi wa mkopo ulifanyika mbele ya
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, akiongozana na
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba pamoja na uongozi wa Benki ya NMB.
Usikose fursa hii! Tembelea NMB kupata maelezo zaidi.