NAFASI YA AJIRA: Kijana Mwenzangu Chukua Mkopo wa Kusambaza Nishati Safi ya Kupikia mijini na vijijini (Ni fursa kubwa sana hii)

Issue colateral...au wanatoa kwa mali kauli tu
 
Nashukuru kwa ushauri mzuri !
Tatizo unanunua kiwanja cha Halmashauri Tsh 2m, ndio dhamani yake.
Kiwanja hicho unaweza kukutumia kukopea Tsh 100 m?
Unaweza kukopea milioni 100, Inategemea akili yako umeichangamsha kiasi gani. Ndio nikaongeza na mawazo ya kujenga nyumba, na kuwapooza maafisa mikopo na mavaluer.

Ila katika hali ya kawaida, kama huna fedha ya kununua kiwanja cha milioni 2 unaanzaje kukomaa kukopa milioni 100!! Yaani ukiwa umechoka kabisa huna hela, huwezi kusema biashara ya milioni 5 kuwa ni ya kipuuzi na hivyo hukopi!!

Unaanza na fedha ndogo ili upate mtaji wako na kusonga mbele. Malalamiko ni vijana kutokuwa na hati za viwanja, sasa viwanja hivyo vinauzwa bei chee wanunue na viwasaidie kukopesheka. Ishu ni amount na sio tena ishu ya qualification
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…