Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,649
- Thread starter
-
- #181
Nakuelewa mkuu, ni kweli zinaprocedure! Nimeisha kusanya ushahidi na naendelea na taratibu. Nitawaachia wanasheria wangu wafuate taratibu.waoohππ mkuu but kesi zina procedure ndeefu, je umejipanga vizuri kumfungulia kesi huyo nguli wa ubelgiji????ππ
Hamuwezi kumpangia Rais mtakavyo nyie. Yeye ni mkuu ..Umeelewa lkn?
Oky kila kheri mkuuNakuelewa mkuu, ni kweli zinaprocedure! Nimeisha kusanya ushahidi na naendelea na taratibu. Nitawaachia wanasheria wangu wafuate taratibu.
Kama kweli wazazi walikufundisha uwezi ukatumia matusi katika hoja. Unachotakiwa ni kujibu hoja. Mbona wengi humu wamepinga kwa hoja au kutoa ushauri. Msomi kama weye uwezi tumia lugha chafu kuwasilisha hoja. Hii inanipa mashaka kidogo na malezi. Ebu nambie upumbavu wa hoja ya kushitaki upo wapi?Hahahahaha hebu nionyeshe KUKURUPUKA kwangu na kuingia humu kuandika upumbavu kama huo wa kwako. Usikimbie ukweli mimi wazazi wangu role models wangu na kitu ambacho nimebarikiwa toka kwao ni siku zote kuusimamia ukweli kama unafurahisha au unaudhi. Ulichoandika hapa ni upumbavu MTUPU. Uwe una tafakari kwa kina badala ya KUKURUPUKA.
Kama kweli wazazi walikufundisha uwezi ukatumia matusi katika hoja. Unachotakiwa ni kujibu hoja. Mbona wengi humu wamepinga kwa hoja au kutoa ushauri. Msomi kama weye uwezi tumia lugha chafu kuwasirisha hoja. Hii inanipa mashaka kidogo na malezi. Ebu nambie upumbavu wa hoja ya kushitaki upo wapi?
Namjua vizuri Tundu Lisu, kwa hoja kama hii anajibu kisheria hawezi tukana. Mtu anae kimbilia lugha za matusi ugomvi wataalamu wanasema anaufupi wa kufikiri. Hivyo anachoona kitamwokoa ni matusi.
Karibu utukane. Tukana sana! Lakini uwezi zuia nia na kusudi langu. Wala kunikatisha tamaa. Ubarikiwe!
Ha ha ha! Misemo hii watu wamekariri. Hivi watanzania hatuna mawazo mbadala, hata mtu akitoa hoja ukapingana nae kwa hoja mpaka kutumia misemo ambayo nadhani ishapoteza mvuto. Nauza vitumbua hiyo fedha inanitosha.Buku 7 imeingia?
Ndio nimeelewaUmeelewa lkn?
Sasa ndugu yangu unataka kunichonganisha, mie hapa naongelea kinachonihusu. Sheria ya madai inanitaka kuthibitisha damage niliyoipata kwa kile nacho kidai. Sasa hili nitalithibitisha vipi? sheria inataratibu zake.Matusi yangu unayaona lakini ya jiwe huyasikii wala kuyaona!!! Lini utamfungulia kesi jiwe kwa udhalimu wake.
Sasa ndugu yangu unataka kunichonganisha, mie hapa naongelea kinachonihusu. Sheria ya madai inanitaka kuthibitisha damage niliyoipata kwa kile nacho kidai. Sasa hili nitalithibitisha vipi? sheria inataratibu zake.
Juha...hahaSheria ina taratibu zake kumfungulia mashtaka jiwe lakini Lissu kila juha ana haki ya kufungua mashtaka dhidi yake.
Huko baba sipo wala hayanihusu.
Lissu keshafulia, ni wakupuuza tu kama wananchi mlivyompuuza mara ya kwanza kwenya maandamano yake ya nchi nzima.
Majuha wengi hawawezi elewa nini kinaongelewa wanakurupuka tu.Sheria ina taratibu zake kumfungulia mashtaka jiwe lakini Lissu kila juha ana haki ya kufungua mashtaka dhidi yake.
Mmmmh! Hasira ya mkizi furaha ya mvuvi!Ni jizi la kura fullstop.
Vyovyote vile iwe kuzimu ama Duniani,lakini akitoka yeye anakuja mwingine kutoka chama kilikile na wembe ni uleule.Eti magu liko kuzimu ??πππππ
Hawajui dawa ya deni ni kulipa...kwa bahati mbaya awamu hii washamba na limbukeni wametamalaki huku wakiteseka nafsi zao kwa ujuha waoUjuha uliokithiri!
Naye atakuwa jizi la kura kama hili?Vyovyote vile iwe kuzimu ama Duniani,lakini akitoka yeye anakuja mwingine kutoka chama kilikile na wembe ni uleule.
Je, kama madai ya Lissu ni kweli?? Subiri hadi tumwone raisi akiwa hai ndo uendelee na nia yako.Sina haja ya teuzi. Wabongo tuache kukariri. Si kila mtu anaishi kwa teuzi.